soskeneth
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 583
- 235
Ww umefanyaje mbona lipo fresh tuuuu,,, tena kila ukishinda unapanda level mm saiz nipo level ya 9 ni balaa huko ukishinda two match zingine kichapo tuu n offline game halihitaj access ya net wala nn,Hili game bado sijalielewa, tayari nime_download lakini bado nashindwa kupata utamu nao upata kwenye DLS.... Njoo mkuu utoe ufafanuzi uzuri wa hili game kabla sija unstall
Hili raha YAKE n kwamba league zote zipo na mashindano yote dunian yapo ,unaweza edit team yako,logo,kit na kadharika kama kweny DLS tuu
Mm saiz nipo UEFA CHAMPION LEAGUE NACHEZA