Frega Bao
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 554
- 362
Kwa game kama ya mpira cheat yake kubwa ni coins na ukipata coins wachezaji unaowataka ukinunua kinachofuata ni kuwapeleka asilimia 100 baada ya hapo nini kinafuata?kuna game za actions ambazo mission zake ni ngumu kwelikweli ukiwa huna spirit ya kucheat unaweza kukaa hata siku kadhaa wiki au mwezi bila kucheza, hizo hata ukicheat ili uende next stage haina shida. Lakini raha ya challenging games ni kukomaa lets play responsibly wakuuNmeahirisha mkuu,kucheza bila kucheat sometimes kuna raha yake,spirit ya kucheza kwa morality inakuwepo![]()
Vidole vyote vinauma saiziii![]()

