Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,070
- 43,515
unapojibu hoja soma vizuri sijasema unapaki basi then unafungwa, nimesema unapaki basi then unafungwa counter attack, hio inaonyesha jinsi game lisivyo na uhalisia.Pes 2017 ni uchafu tu kama unalipenda basi hujajua game nzuri, nimesha unstall muda tu sioni la umuhimu kuendelea kukaa nalo, wewe umesema DLS lina mapungufu mengi tu sasa hoja yako kuu ni hiyo Kwamba huwezi kupaki basi kwamba utafungwa tu sasa hapo umeongea nini mapungufu kwenye kufungwa? halafu nilitegemea ukijibu ungetaja mapungufu, badala yake unakuja kuniuliza nimecheza pes2017?dls ndiyo game lenye kupendwa zaidi kwa kuwa ni bora zaidi hata rate kaangalie playstore utaona DlS limepewa high recommendation rate than Pes 2017 nenda playstore usibishane na mimi.
kwenye mpira unaposet tactics zako kama defensive mabeki wako wanatakiwa wawe nyuma kabisa, sasa umeset defensive then timu pinzani inakuwa na forward wengi mbele kuliko mabeki wako inaleta maana?
na mimi sijasema pes 2017 ni perfect nimetoa udhaifu wake mwingi tu hapo juu, kama vile dream league lilivyo na udhaifu na madhaifu mengine ya dream league haya.
-huchezi mechi ya exhibition (ukachagua timu mbili ukazichezesha)
-huwezi badili timu, timu yako ni hiyo hiyo hadi unakufa
-league zisizo na uhalisia
*ligi yenye timu 15
*hakuna UEFA wala Kombe lifananialo, global cup ni mtoano tu hata makundi hamna
-gameplay yake haina uhalisia vitu kama corner ni almost lazima kufunga, kuna timu mabeki wa kati wapo mbali mbali unamkimbiza tu mchezaji katikati moja kwa moja hadi anaenda kufunga, muulize mtu yoyote anaefunga magoli 20+ atakwambia anafungaje, kuna jamaa amepost pia screenshot hi humu muulize amefungaje.
-huna uwezo wa kuchagua graphics, ukiwa na simu ya highend yenye full HD au Quad HD ukicheza multiplayer na mtu game linaslow down
-formation ni hizo hizo unapangiwa huwezi chagua custom formation ambayo unaitengeneza mwenyewe
-huwezi toa individual command kwa mchezaji mmoja
-huwezi tengeneza tactics
hayo machache ninayoyakumbuka hapa yapo mengine ukitaka zaidi naweza fanya research