Kwa game kama ya mpira cheat yake kubwa ni coins na ukipata coins wachezaji unaowataka ukinunua kinachofuata ni kuwapeleka asilimia 100 baada ya hapo nini kinafuata?kuna game za actions ambazo mission zake ni ngumu kwelikweli ukiwa huna spirit ya kucheat unaweza kukaa hata siku kadhaa wiki au mwezi bila kucheza, hizo hata ukicheat ili uende next stage haina shida. Lakini raha ya challenging games ni kukomaa lets play responsibly wakuuNmeahirisha mkuu,kucheza bila kucheat sometimes kuna raha yake,spirit ya kucheza kwa morality inakuwepo
Vidole vyote vinauma saiziii[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Co kubwa sana 242.56 MBLina ukubwa gani
hii game nzuri eh?Full kunyanyua kwapa PES 2017
mkuu umeshalipata hili?pes leo wametangaza pro evolution soccer 2017 inakuja android mwishoni mwa mwezi huu.
ngoja tuone wazee wa uefa wana nini
yap nimelicheza sana tu best soccer game kwenye simu, kuanzia graphics, controller etc ila nimeli un install maana unacheza ukiwa na internet tu na kusajili hata kama una hela ni bahati nasibu.mkuu umeshalipata hili?
Aisee mkuu mimi ni mikono kabisa, vidole vilishakufa ganziNmeahirisha mkuu,kucheza bila kucheat sometimes kuna raha yake,spirit ya kucheza kwa morality inakuwepo
Vidole vyote vinauma saiziii[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ngoja nipumzike hata ka wiki ka1 aseeeeeAisee mkuu mimi ni mikono kabisa, vidole vilishakufa ganzi
online tu?hapana.yap nimelicheza sana tu best soccer game kwenye simu, kuanzia graphics, controller etc ila nimeli un install maana unacheza ukiwa na internet tu na kusajili hata kama una hela ni bahati nasibu.
download utest kama gb 2 hivi playstore.
ambalo ni offline ni hili dream league na first touch soccer basi, hata Fifa linahitaji uwe na net.online tu?hapana.
Kuna game gan lingne zuri tofauti na hayo?
okay first touch linafanana dls,au lina utofauti?ambalo ni offline ni hili dream league na first touch soccer basi, hata Fifa linahitaji uwe na net.
engine ni moja na kuna mambo yanafanana, ila first touch lina mambo mengi zaidi, kama league tofauti tofauti, mechi za kirafiki etc vitu ambavyo huvipati kwenye DLS. pia lipo 3D zaidi hili FTSokay first touch linafanana dls,au lina utofauti?
BORA HILI LA FIRST TOUCH,LINK YAKE?engine ni moja na kuna mambo yanafanana, ila first touch lina mambo mengi zaidi, kama league tofauti tofauti, mechi za kirafiki etc vitu ambavyo huvipati kwenye DLS. pia lipo 3D zaidi hili FTS
Hili game bado sijalielewa, tayari nime_download lakini bado nashindwa kupata utamu nao upata kwenye DLS.... Njoo mkuu utoe ufafanuzi uzuri wa hili game kabla sija unstallFull kunyanyua kwapa PES 2017
Umekua muwazi mkuu safi, kweli hili game linataka ucheze wakati lina access na internet.... Bado halijawa na uzuri kama DLSyap nimelicheza sana tu best soccer game kwenye simu, kuanzia graphics, controller etc ila nimeli un install maana unacheza ukiwa na internet tu na kusajili hata kama una hela ni bahati nasibu.
download utest kama gb 2 hivi playstore.
kila game lina uzuri wake na ubaya wake hata dream league lina mapungufu tena mengi tu, mfano unaweza eka tactics za kupaki basi (defensive) na kujaza mabeki kibao, ila muda wote ukafungwa magoli ya counter attack.Umekua muwazi mkuu safi, kweli hili game linataka ucheze wakati lina access na internet.... Bado halijawa na uzuri kama DLS