Aiseeee hz coin na mm nataka,tupe ujanjaMkiu naona we unacheza ushabiki tuu hahahhahahaha Messi umemuweka defender hehhehehehe
Sipendi sana kutumie emulators kwenye simu ila nice games. Btw, mbna mba uayocheza ni sooo outdated??
Mkuu aya yako nayapata ajeSipendi sana kutumie emulators kwenye simu ila nice games. Btw, mbna mba uayocheza ni sooo outdated??
kwan sasa mkuu hupendi?Sipendi sana kutumie emulators kwenye simu ila nice games. Btw, mbna mba uayocheza ni sooo outdated??
nkiwapiga kuanzia tatu wananikimbia napewa ushindi wa mezani.Hii game mkuu unaipataje?
hzo ni game za psp nichek pmHii game mkuu unaipataje?
Multiplayer wananikimbia kakaUnacheza multiplayer kaka au unasema tu?
Mkuu auoni picha hapoWewe jamaa muongo![]()
![]()
Mpira ukaenda mtaani?
Tazama picha zangu hapo juu ma coin hadi 1.5M aseeAliyefanikiw kucheat coins anipe msaada jamani,nmeanza kuzitamani
Ndo tuelekeze na wengineTazama picha zangu hapo juu ma coin hadi 1.5M asee
Mkuuu kuna jamaa hao juu alielekeza vema sana na mimi nikajuaNdo tuelekeze na wengine
Mkuu inabidi kwanza u root simu yako kisha weka lucky patcher then fuata vema maelekezo ya jamaa pale juu.Aliyefanikiw kucheat coins anipe msaada jamani,nmeanza kuzitamani
Mimi naamini nitafanya kazi bila kucheat coins japo players wangu hawajafika level ya golden boys lakini mziki wao ni kwere record zangu ni matata sanaMkuu inabidi kwanza u root simu yako kisha weka lucky patcher then fuata vema maelekezo ya jamaa pale juu.
Mi sasa hivi kosi langu wote ni GOLDEN BOYS
.