Hapo hakikisha nafasi kwenye simu yako ipo pia bando iwe vizuri then unaweka ok itaendelea kudownload lakini ni vyema zaidi ukitumia WI-FI kudownload kama utawezawakuu mbona langu limegoma linaniandikia hiv![]()
Nimefuta vitu nafsi bado imekataHapo hakikisha nafasi kwenye simu yako ipo pia bando iwe vizuri then unaweka ok itaendelea kudownload lakini ni vyema zaidi ukitumia WI-FI kudownload kama utaweza
Kwa kawaida huwa inaandika kiasi cha nafasi inayohitajika kwahiyo unaweza kuangalia na kubalance ukiona inakuwa shida kwamba kuna apps za muhimu zitapotea basi unabaki tu na ile ya 2016 mkuuNimefuta vitu nafsi bado imekata
Badilisha jina hilo weka jina unalolipenda kwa timu yakoDLS mpka raha saiz elite division full kuwachapa tuu mwanzo wa league mpka mwisho
PW pwBadilisha jina hilo weka jina unalolipenda kwa timu yako
Unacheza multiplayer kaka au unasema tu?BEST FOOTBALL GAME EVER![]()
![]()
Cheza mulplayer.. Tukutane timu yangu inaitwa tanzaniaAsanteni sana ndugu zangu.Nimeliweka jana hili game,nikaroot simu kisha nikaweka LUCKY PATCHER.Asee leo nimehack coin hadi 1000000.
Nimeshinda ligi kwa kushinda mechi zote na draw moja tu.Nimeshinda pia GLOBAL CHALLENGE....
asanteni wakuuu
Utamu was hiki game ni online.. Huko kwingine ni utoto
utakuwa umedownload apk ya 4020 na hapo unaforce data za 4040 utakesha. umedownload wapi hilo game?
Nimedownlodd kwenye play store browser kote imegomautakuwa umedownload apk ya 4020 na hapo unaforce data za 4040 utakesha. umedownload wapi hilo game?
Kuna bundle ya kawaida tu unaweza kutumiaMbona kama linahitaji wireless connection pekee
Uko online mkuu?Hahahaa mkuuu poa yangu inaitwa GUSSA FC
pengine ni issue za permission jaribu kugusa hio notification halafu allow itumie mobile data, ikikataa kabisa itabidi udownload manual,Nimedownlodd kwenye play store browser kote imegoma