Apk ya Dream League soccer 2017

Apk ya Dream League soccer 2017

Cheki Macoin ya Kumwaga.
4ba982433feb2ab85f6d2d88acd0ab67.jpg
Nawezaje kuhack kupata hzo Coins?!
 
Hapa raha ya game ni nini sasa. Raha ya game ni hizo challenge ili uumize kichwa.
inategemea na aina ya game, kuna games mpaka ucheat ndio unalimaliza 100% bila kucheat haliishi.

na usifananishe games za simu na real games za pc au console, games za simu zimetengenezwa ili wakufilisi tu hela zako huwa kikawaida huwezi kuzimaliza nyingi zao bila kununua coins. hivyo unacheat kulibalance tu game
 
Hapo ndo hata mm pananipa shida
Ukishindwa yote hayo kuna njia simple kupata coin, yani washa data hakikisha upo online then angalia clips kwa kubonyeza show video kinakua kwa chini kushoto hapo mbele ya page ya game kila video ina 30 coins!!..

cheki mpka ufikishe coins utakazo then nenda category ya club then click uwanja halafu uwe unachagua kila jukwaa unali upgrade!..

NB: ukiweza pata 5,000+ coins then ukifika kwenye sehemu ya uwanja unaselect auto build inakujengea uwanja kwa coins ulizonazo!
 
Kuna message huwa inakuja ukifikisha idadi ya game flani kuplay so unaweza ukaweka automatic upgrade au manual upgrade uwanja wako.
Kila ukicheza game 15+ (game zima lina mechi 18) inaanza kukuomba jenga uwanja ili uwe promoted ushauri wangu ukilianza game we zikusanye coins mpka 5,000+ hapo unaenda unajenga uwanja kwa hela yote thn ukimaliza unacheza bila stress!!..

ILA HAWA A.MADRID wamenikosesha ELITE CUP mara 3 sasa dah!!..
 
b83784d96ac1ade00f9f41ec9e7c35ce.jpg


Hivi after Elite division kuna michuano gani tena??? Au ndio mwisho??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom