Frega Bao
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 554
- 362
Kikosi kazi chenyewe ni hiki hapaMaana pamoja na kwamba sina coin za wizi lakini naweza fanya objectives zote zikaenda vyema kutokana na uwezo halisi wa timu yangu yenye ushindani mkubwa
Kikosi kazi chenyewe ni hiki hapaMaana pamoja na kwamba sina coin za wizi lakini naweza fanya objectives zote zikaenda vyema kutokana na uwezo halisi wa timu yangu yenye ushindani mkubwa
Lakini pia hakuna hali ya hewa ambayo inanipa changamoto kama hii ya barafuKikosi kazi chenyewe ni hiki hapa
Hahaha ila hapo kwenye most assist jitahid aseee 3 chache sanani mwendo wa kunyanyua makwapa tu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Na miongoni mwa mechi nazopotezaga au kutoa droo ni katika hali hii ya barafu sa ingine mpira hufanana na mabonge ya barafuLakini pia hakuna hali ya hewa ambayo inanipa changamoto kama hii ya barafu
Ni kweli kabisa mkuu naungana na wewe katika hilo. Hali hii (ya barafu) kushinda ni mara chache kuliko kupoteza au kutoa drooNa miongoni mwa mechi nazopotezaga au kutoa droo ni katika hali hii ya barafu sa ingine mpira hufanana na mabonge ya barafu
Mi hii hali ya hewa ya barafu akinifunga goliiii moja tu nadhira,Mpira auchezeki aiseeee,nakuwaga mtazamaji mpaka dk 90 ziisheeeLakini pia hakuna hali ya hewa ambayo inanipa changamoto kama hii ya barafu

Mkuu unakuwaje mtazamaji?usiombee uwe mtazamaji halafu umekutana na Arsenal, PSG, Atletico au Chelsea bora ukubali kuquit mechi upoteze coin ucheze mechi nyingine maana inaruhisiwaMi hii hali ya hewa ya barafu akinifunga goliiii moja tu nadhira,Mpira auchezeki aiseeee,nakuwaga mtazamaji mpaka dk 90 ziisheee![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Mkuu unakuwaje mtazamaji?usiombee uwe mtazamaji halafu umekutana na Arsenal, PSG, Atletico au Chelsea bora ukubali kuquit mechi upoteze coin ucheze mechi nyingine maana inaruhisiwa![]()
![]()
![]()
aiseee barfuu inavyoanguka Mpira hauonekani vizuri.Stage ya mwisho unacheza against timu yako baada ya kuwa umeifunga timu ya first touch mkuuHivi stage ya mwisho huu mchezo ni stage gan?
Ile barafu ni habari nyingine sana,nadhani waliiweka kwa makusudi maana sijaiona sehemu ya kubadili hali ya hewa zaidi ya kubadili jezi (home and away)![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
aiseee barfuu inavyoanguka Mpira hauonekani vizuri.
Niliipendaga sana game ya REAL FOOTBALL kwenye Nokia button kwa zile sifa zake za kubadilisha hali ya hewa,jezi,rangi za mipira na nyavu n.kIle barafu ni habari nyingine sana,nadhani waliiweka kwa makusudi maana sijaiona sehemu ya kubadili hali ya hewa zaidi ya kubadili jezi (home and away)

Ni offline mkuuHii ni kucheza online tu,
Una space kubwa
Aisee ile ilikuwa ni mdebwedo kweli yaniNiliipendaga sana game ya REAL FOOTBALL kwenye Nokia button kwa zile sifa zake za kubadilisha hali ya hewa,jezi,rangi za mipira na nyavu n.k
Lilikua Bonge la game kwa vilongalonga vya button![]()
![]()
![]()