Apk ya Dream League soccer 2017

Ngoja nihangaikie ujue... s4 sumsung nashndwa kupigaga screen shoot wait nitafute apps rahis ya kucapture screenshort
Press power + volume down at same time
samsung ni power + home button kwa mpigo

Galaxy-s4-screenshot.jpg
 
dream league 2016 na 2017 ni game moja tu, kama una coin update na.playstore zitabaki coin zako
Mkuu hii kitu ukiiupdate kutoka ile ya 2016 kwenda 2017 haiwezi kuanza na moja?maana nimefika mbali mno na timu yangu ni stable sana so sipo tayari kupoteza hawa wachezaji nimesota sana kupata hela za kuwanunua na kucheat kwaajili ya hizo coin sihusudu kabisa
 
Mkuu hii kitu ukiiupdate kutoka ile ya 2016 kwenda 2017 haiwezi kuanza na moja?maana nimefika mbali mno na timu yangu ni stable sana so sipo tayari kupoteza hawa wachezaji nimesota sana kupata hela za kuwanunua na kucheat kwaajili ya hizo coin sihusudu kabisa


uki update data hazipotei,

ila kuwa salama fanya backup, nenda file manager halafu click android kisha data tafuta folder la dream league kisha copy halafu paste mahala salama, kisha update. likitokea la kutokea unarudisha 16 kisha unarudisha data zako.
 
najaribu ku cheza kwa kutumia Wi-Fi lkn nashindwa mwenye kufahamu jinsi ya kufanya set up plz nisaidie ufundi
 
uki update data hazipotei,

ila kuwa salama fanya backup, nenda file manager halafu click android kisha data tafuta folder la dream league kisha copy halafu paste mahala salama, kisha update. likitokea la kutokea unarudisha 16 kisha unarudisha data zako.
Nashukuru sana mkuu
 
najaribu ku cheza kwa kutumia Wi-Fi lkn nashindwa mwenye kufahamu jinsi ya kufanya set up plz nisaidie ufundi
Mnatakiwa kuwa na simu tatu moja itafanya kazi hotspot itaunganisha simu mbili kupitia hiyo hotspot ya simu moja hizo mbili zilizounganishwa ndizo zitakazo tumika kucheza game
 
Back
Top Bottom