Apk ya Dream League soccer 2017

Apk ya Dream League soccer 2017

Luna njia gani ya kufanya kudonload dlg2019 maana play store.halipo yapo fake Napia uki download kupitia Google limegoma pia
 
Hili game nilikuta rafiki yangu analo kwenye simu yake kwakua mimi naweza kucheza Play Station mpira nikaona nicheze hili game pia.

Nikawa napossess mpira vizuri tu. Tabu ipo kwenye kuscore, nahisi ni mazoea ya PS mfano kwenye PS kuna angle ukikaa ukitoa pasi ya triangle/ V atakayeuunga huo mpira ni lazima uelekee golini. Kwenye hili game mpira ulikua unatoka nje completely.

So nikajikuta nina % kubwa za possession ila magoli mawili au moja, yule bwana akicheza yeye magoli 8 mpaka 10 ila possession kwake ni ndogo hata 30.

Nikajua tu hili siendani nalo.
 
Hili game nilikuta rafiki yangu analo kwenye simu yake kwakua mimi naweza kucheza Play Station mpira nikaona nicheze hili game pia.

Nikawa napossess mpira vizuri tu. Tabu ipo kwenye kuscore, nahisi ni mazoea ya PS mfano kwenye PS kuna angle ukikaa ukitoa pasi ya triangle/ V atakayeuunga huo mpira ni lazima uelekee golini. Kwenye hili game mpira ulikua unatoka nje completely.

So nikajikuta nina % kubwa za possession ila magoli mawili au moja, yule bwana akicheza yeye magoli 8 mpaka 10 ila possession kwake ni ndogo hata 30.

Nikajua tu hili siendani nalo.
Kuna utofaut kidogo, ila ukiendelea kulicheza utalizoea, hata mm ktk Ps sina control,, mambo ni tofauti,, ila sisi tunaotumia phone kwa hii dream soccer hutuambii kitu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nipo.. ila upande ule kimpira bado sijavuka division 7 nateseka Sana nikifika hapo
Hebu naomba mbinu mbadala unatumia formation gani na unatumia attack au difence ama unaweka kawaida tu..?
Hahaha pole mkuu mm niko division 5,,
Mziki mnene mechi ngumu sana,

Mda mwingine na mm nachezea kipigo. Ila ktk game 8 lazima na mm nishinde angalau mechi 3 na suluhu kadhaa,

MFUMO:
mifumo yote inafaida inategemea ba mpinzani wako, ukikutana na fundi anayepiga pass nyingi we cha kufanya weka

(moderate) na upige zile longpass usitake kumiliki mpira maana hutaamini kitakachotokea,, kuna siku nlimiliki mpira kwa 76% ila huwezi amini nilipigwa 5 kwa 1

(Defenc) sikushauri mkuu kumbuka huku online kuna wanajua kumiliki mpira na anajua longpass,, matokeo huwez shinda kwa huu mfumo labda ukutane na mwenye kiwango kidogo,,

(Attack) huu mfumo mtamu sana maana piga nikupige vidole vyako viwe chap chap sana ktk kuachia mashuti ya kustukiza kwa sababu mpira haukai ktk ya uwanja,, hapa kupigwa au kupiga mtu kipigo cha mbwa mwizi ni kugusa,, hapa watu huwa wanakimbiaga ,

Kwa level hiyo ya division 7 tumia sana attack kipindi cha kwanza upate matokeo mapema alafu kipindi cha pili tumia moderate,,

Ila neno langu sio sheria,, ila pia network iwe poa, mie mara nyingi nacheza usiku kwa sababu network iko poa,, kule kukwama kwama hakuna na ikitokea basi ni kidogo,





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha pole mkuu mm niko division 5,,
Mziki mnene mechi ngumu sana,

Mda mwingine na mm nachezea kipigo. Ila ktk game 8 lazima na mm nishinde angalau mechi 3 na suluhu kadhaa,

MFUMO:
mifumo yote inafaida inategemea ba mpinzani wako, ukikutana na fundi anayepiga pass nyingi we cha kufanya weka

(moderate) na upige zile longpass usitake kumiliki mpira maana hutaamini kitakachotokea,, kuna siku nlimiliki mpira kwa 76% ila huwezi amini nilipigwa 5 kwa 1

(Defenc) sikushauri mkuu kumbuka huku online kuna wanajua kumiliki mpira na anajua longpass,, matokeo huwez shinda kwa huu mfumo labda ukutane na mwenye kiwango kidogo,,

(Attack) huu mfumo mtamu sana maana piga nikupige vidole vyako viwe chap chap sana ktk kuachia mashuti ya kustukiza kwa sababu mpira haukai ktk ya uwanja,, hapa kupigwa au kupiga mtu kipigo cha mbwa mwizi ni kugusa,, hapa watu huwa wanakimbiaga ,

Kwa level hiyo ya division 7 tumia sana attack kipindi cha kwanza upate matokeo mapema alafu kipindi cha pili tumia moderate,,

Ila neno langu sio sheria,, ila pia network iwe poa, mie mara nyingi nacheza usiku kwa sababu network iko poa,, kule kukwama kwama hakuna na ikitokea basi ni kidogo,





Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ahsante defense sijawahi itumia ni moderate au attack ndo mpango mzima
Kuna vi kenge nikikutana navyo huwa navipiga mpaka huruma!
Na hiyo huwa nikishuka daraja div 8..
Sijui kwanini div 7 imeniwia ugumu ndo najiuliza maguru yaliopo div 1 na 2 sindo unapigwa magoli mpaka unaenda kujifukiza😂😂
 
Ha ha ahsante defense sijawahi itumia ni moderate au attack ndo mpango mzima
Kuna vi kenge nikikutana navyo huwa navipiga mpaka huruma!
Na hiyo huwa nikishuka daraja div 8..
Sijui kwanini div 7 imeniwia ugumu ndo najiuliza maguru yaliopo div 1 na 2 sindo unapigwa magoli mpaka unaenda kujifukiza
Kila division kuna wanyonge na wababe,,

Cheki sasa alama nilizopata siwez shuka daraja , nataka nikomae niingie division 4

Screenshot_20200515-095932.jpeg

Hizo mechi nilizosuluhu yaaan nlikuwa nachomoa tu, napigwa nachomoa , hata hizo nlizoshinda nimeshinda ktk mazingira magum kweli,, hyo mechi nliyotoka 3-3 aiseh huyo mpuuzi unaupiga aiseeh nlichomoa dk ya 92, huyo mpuuzi ana wachezaji wa zamani tupu, ana Ronaldo de lima, Zidane, Cafu , Beckham, Ronaldinho, pia ana Maradona ndani ,,,
Hadi nlistuka aiseh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ahsante defense sijawahi itumia ni moderate au attack ndo mpango mzima
Kuna vi kenge nikikutana navyo huwa navipiga mpaka huruma!
Na hiyo huwa nikishuka daraja div 8..
Sijui kwanini div 7 imeniwia ugumu ndo najiuliza maguru yaliopo div 1 na 2 sindo unapigwa magoli mpaka unaenda kujifukiza
Tatizo lako nahisi unapiga pass nyingi

Pass piga unaongoza zaidi goli mbili tena angalau kuanzia dk ya 80 , maana pale ni kupoteza mda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila pasi sijacheza mpira!
Butua sishanishinda ndo nitafungwa Kama mbwa koko iliopotea njia
Pass hata mm napiga tena nyingi tu, ila sasa huku online watu wanaweza vyote,, mie nikianza tu huwa nasaka magoli kwanza,, baada ya hapo ndo naweza kupiga pass na lengo huwa kupoteza mda tu,,

Ila kwa hyo style yako ukipoteza wenzako wanapga minaz

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom