Apk ya Dream League soccer 2017

Apk ya Dream League soccer 2017

Mda wote niko 5 sipandi sishuki

Ila kuna mda unakutana ns timu ambayo haina uwanja mkubwa hao ndo wa kupiga

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu mmeshafika division ya ngapi..?
Mi nipo ya 4..! Naona kabisa ya 3 siingii bila kufanya figisu..😂
Kwenye hili gemu kuna figisu sana lzm utumie akili kuwa tu na wachezaji wenye uwezo sio tatizo bali uwezo wa kuwachezesha pia bila kusahau mbinu na figisu za kiwango cha lami..!
Mpk kufika hapo nimeelewa mengi sana mission yangu mpk nifike division ya kwanza nione Kuna vibopa kweli au vipi sahivi mtu akija hovyo anachezea vibaya Sana na uhakika wa kutokushuka daraja ninao tatizo kupanda tu!.. mpk kitaeleweka..😅
 
me nmefika legendary division saiv natafuta ela ya wachezaji nianze online match
Wakuu mmeshafika division ya ngapi..?
Mi nipo ya 4..! Naona kabisa ya 3 siingii bila kufanya figisu..
Kwenye hili gemu kuna figisu sana lzm utumie akili kuwa tu na wachezaji wenye uwezo sio tatizo bali uwezo wa kuwachezesha pia bila kusahau mbinu na figisu za kiwango cha lami..!
Mpk kufika hapo nimeelewa mengi sana mission yangu mpk nifike division ya kwanza nione Kuna vibopa kweli au vipi sahivi mtu akija hovyo anachezea vibaya Sana na uhakika wa kutokushuka daraja ninao tatizo kupanda tu!.. mpk kitaeleweka..
 
me nmefika legendary division saiv natafuta ela ya wachezaji nianze online match
Online sio pa kunyea wewe hakikisha wachezaji wako wapo strong enough yani wawe black uwezo asilimia Mia hapo ndo utaanza kuwa na ahueni.. Kuna ka Siri kamoja nakafatilia huku online juu ya wachezaji kakiwin watanikoma..😂

Mkuu we bado unahangaika na coin wakati Kuna namna ya ku hack ukapata mikoin isiyoisha au wewe unacheza la 2020..?
Sisi tunacheza dream league 2019.
 
me nacheza la 2020 na online niko tier15 na wachezaj hawahawa wenye rate 60
Online sio pa kunyea wewe hakikisha wachezaji wako wapo strong enough yani wawe black uwezo asilimia Mia hapo ndo utaanza kuwa na ahueni.. Kuna ka Siri kamoja nakafatilia huku online juu ya wachezaji kakiwin watanikoma..

Mkuu we bado unahangaika na coin wakati Kuna namna ya ku hack ukapata mikoin isiyoisha au wewe unacheza la 2020..?
Sisi tunacheza dream league 2019.
 
ndo ili nalicheza nawasha data nazma mda nacheza ila mech ikiisha nawasha ili ijisave af nazima tena
Mkuu umelipakuwa wapi, mm nili unstall bahat mbaya bt nilipo instal tena nikakuta liko tofauti na kucheza ni mpk uwashe data, nipe link
 
Wakuu mmeshafika division ya ngapi..?
Mi nipo ya 4..! Naona kabisa ya 3 siingii bila kufanya figisu..
Kwenye hili gemu kuna figisu sana lzm utumie akili kuwa tu na wachezaji wenye uwezo sio tatizo bali uwezo wa kuwachezesha pia bila kusahau mbinu na figisu za kiwango cha lami..!
Mpk kufika hapo nimeelewa mengi sana mission yangu mpk nifike division ya kwanza nione Kuna vibopa kweli au vipi sahivi mtu akija hovyo anachezea vibaya Sana na uhakika wa kutokushuka daraja ninao tatizo kupanda tu!.. mpk kitaeleweka..
nilifika div 3,nimecheza round mbili tu nimerudishwa nilikotoka div 4,,yaani ni kwa moto
 
nilifika div 3,nimecheza round mbili tu nimerudishwa nilikotoka div 4,,yaani ni kwa moto
Jana tu nimekula kipondo nimerudi division ya 5!!.. Kama ni kukandwa basi Jana nilikula migoli ya uhakika..😂
Natumai nitarudi Tena division 4 najijua mpk niizoee ndo nitaivuka sahivi wacha wanionee.. mkuu timu yako inaitwaje..?
Yakwangu ni Saturn.. Kuna njemba nilishawahi mfunga mpk akakasirika alivyoona magoli yamekuwa mengi akaanza kujifunga makusudi..😂😂
Mi nilikuwa hata sihangaiki anaanza mpira anaurudisha golini kwake anajifunga 😂 mi nikawa namuandikia tu "thanks"..😅
 
Wakuu mmeshafika division ya ngapi..?
Mi nipo ya 4..! Naona kabisa ya 3 siingii bila kufanya figisu..
Kwenye hili gemu kuna figisu sana lzm utumie akili kuwa tu na wachezaji wenye uwezo sio tatizo bali uwezo wa kuwachezesha pia bila kusahau mbinu na figisu za kiwango cha lami..!
Mpk kufika hapo nimeelewa mengi sana mission yangu mpk nifike division ya kwanza nione Kuna vibopa kweli au vipi sahivi mtu akija hovyo anachezea vibaya Sana na uhakika wa kutokushuka daraja ninao tatizo kupanda tu!.. mpk kitaeleweka..
Jina mpuuzi alifuta game,

 
Jana tu nimekula kipondo nimerudi division ya 5!!.. Kama ni kukandwa basi Jana nilikula migoli ya uhakika..
Natumai nitarudi Tena division 4 najijua mpk niizoee ndo nitaivuka sahivi wacha wanionee.. mkuu timu yako inaitwaje..?
Yakwangu ni Saturn.. Kuna njemba nilishawahi mfunga mpk akakasirika alivyoona magoli yamekuwa mengi akaanza kujifunga makusudi..
Mi nilikuwa hata sihangaiki anaanza mpira anaurudisha golini kwake anajifunga mi nikawa namuandikia tu "thanks"..
Kuna watu hii dunia wana visirani sana
 
Jana tu nimekula kipondo nimerudi division ya 5!!.. Kama ni kukandwa basi Jana nilikula migoli ya uhakika..
Natumai nitarudi Tena division 4 najijua mpk niizoee ndo nitaivuka sahivi wacha wanionee.. mkuu timu yako inaitwaje..?
Yakwangu ni Saturn.. Kuna njemba nilishawahi mfunga mpk akakasirika alivyoona magoli yamekuwa mengi akaanza kujifunga makusudi..
Mi nilikuwa hata sihangaiki anaanza mpira anaurudisha golini kwake anajifunga mi nikawa namuandikia tu "thanks"..
inaitwa Chelsea fc lakini pia kwa chini kuna bekatheboytz,ww umeitumia jina gani mbali jina la timu
 
Jana tu nimekula kipondo nimerudi division ya 5!!.. Kama ni kukandwa basi Jana nilikula migoli ya uhakika..
Natumai nitarudi Tena division 4 najijua mpk niizoee ndo nitaivuka sahivi wacha wanionee.. mkuu timu yako inaitwaje..?
Yakwangu ni Saturn.. Kuna njemba nilishawahi mfunga mpk akakasirika alivyoona magoli yamekuwa mengi akaanza kujifunga makusudi..
Mi nilikuwa hata sihangaiki anaanza mpira anaurudisha golini kwake anajifunga mi nikawa namuandikia tu "thanks"..
Kuna majina kama covid na mengine ya ajibu hao watu wanadunda hatari
 
2020 la moto
Very true
Screenshot_20200827-065113.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom