Apewe hongera mgunduzi wa PM

Apewe hongera mgunduzi wa PM

Mie natamani kuwa invisible,full maumbeya,nani kapigwa kibuti,nani anaolewa,nani kapewa mchongo wa kazi......nani katapeliwa......sheer entertainment.

Haina masaada sana kwa kuwa hawajui hao watu zaidi ya ID zao...

Mbaya zaidi kuna ID's nyingine hutumiwa na zaidi ya mtu mmoja...

JF ni wakati mwingine ni kama game vile...
 
Mashart gani kusema tu kuwa ni Me au Ke au hautak kujulikana jinsia yako?

Heee mdau hivi kila mtu humu anaeuliza swali ni lazima jinsia yake ijulikane??khaaaa , hata hivyo nishapata jibu la swali langu so case closed.
 
Najiuliza kama hii mitandao ingeanza kipindi tunapata uhuru nimecheka sn
 
Haina masaada sana kwa kuwa hawajui hao watu zaidi ya ID zao...

Mbaya zaidi kuna ID's nyingine hutumiwa na zaidi ya mtu mmoja...

JF ni wakati mwingine ni kama game vile...

Mkuu ni kweli hatujui????
 
Definately...

Mathalani unawezaje kuwajua watu wanane watumiao ID moja...utamjua mmoja tu labda!!!

Kwani system yao ukijiandikisha haidectect hii username is already in use?au unamaanisha watu kupeana log in details?....nifafanulie plz
 
Back
Top Bottom