Apewe hongera mgunduzi wa PM

Apewe hongera mgunduzi wa PM

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
1,637
Reaction score
463
PM imewapa watu wachumba, imewapa one-night stand, PM imewapa watu wafadhili wa masomo..kupitia PM watu wamenegotiate biashara, PM imewafanya watu wawe karibu zaidi binafsi binafsi, Pm imewapa watu mambo ya siri amabyo huwezi yaona kwenye post na thread za kawaida. PM ndani ya JamiiForum ndio the best feature ever innovated, apewe hongera aliyebuni hii kitu.
 
PM imewapa watu wachumba, imewapa one-night stand, PM imewapa watu wafadhili wa masomo..kupitia PM watu wamenegotiate biashara, PM imewafanya watu wawe karibu zaidi binafsi binafsi, Pm imewapa watu mambo ya siri amabyo huwezi yaona kwenye post na thread za kawaida. PM ndani ya JamiiForum ndio the best feature ever innovated, apewe hongera aliyebuni hii kitu.
 
mahaba niue lol yakikolea sana huwezi kuficha kilicho moyoni hongera nelson
 
PM haijanipa cha maana zaidi ya kutukanwa na madada wa humu JF bila wao wenyewe kujitathmini, kutulia na kutafsiri mambo kwa wakati.
 
PM haijanipa cha maana zaidi ya kutukanwa na madada wa humu JF bila wao wenyewe kujitathmini, kutulia na kutafsiri mambo kwa wakati.

Kwani yule mliyepeana mimba hamkukutana pm?
 
Back
Top Bottom