Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,655
- 8,584
hahaha shem we njoo direct home bwana
ntakuja ila maelekezo muhimu maana naogopaga kupotea njia
hahaha shem we njoo direct home bwana
kama nakufaham vile..!
anyway ngoja nifanye research..!
Waweza kunifahamu..au usinifahamu! Fanya research kiongozi..!
nishakusoma mkuu!
wkend njema lakn..! safi sana
hahaahaaaa nimecheka sana
Ni kweli kabisa PM imetupatia vitu adimu, vitu vitamu...tumepata usingizi kupitia PM....!
Umecheka nini mkuu? Mbona sijaona cha kuchekesha hapo?
PM imenipa jeraha la moyo......sitaki maswali......
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Hahahaa umeongea kwa hisia mshenga, hongera
ntakuja ila maelekezo muhimu maana naogopaga kupotea njia
mahaba niue lol yakikolea sana huwezi kuficha kilicho moyoni hongera nelson
ndio maana nilikwambia sema jinsia yako ili naww uanze kupata vitam
teeh! yeah, angalau kwa hili niwasifu wadada wa jf jamani..kila siku kuwaponda tu wala haipendezi mshenga...!Hahahaa umeongea kwa hisia mshenga, hongera
usijali ngoja ikaribie ile siku yetu ........nitakupa ramani
kama naniliu teh teh teh teh
Teh teh tatizo nyota😉 kaoge maji ya ziwani
hahaahaaaw! pole ndugu ndo ya malimwengu hayo...!