Apewe hongera mgunduzi wa PM

Apewe hongera mgunduzi wa PM

Toka mwezi huu umeanza, umekuwa na jitihada kubwa sana ya kujipromote. Hongera sana kwa hilo mkuu
 
PM imewapa watu wachumba, imewapa one-night stand, PM imewapa watu wafadhili wa masomo..kupitia PM watu wamenegotiate biashara, PM imewafanya watu wawe karibu zaidi binafsi binafsi, Pm imewapa watu mambo ya siri amabyo huwezi yaona kwenye post na thread za kawaida. PM ndani ya JamiiForum ndio the best feature ever innovated, apewe hongera aliyebuni hii kitu.

PM unamaanisha Prime Minister au? Sijakuelewa.
 
PM imenipa jeraha la moyo......sitaki maswali......

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kuna mtu humu nimemPM tangu mwezi uliopita naona kauchuna tu.....naomba unijibe PM yangu dada....au unirudishie buku langu nilo kurushia vocha.....nakupa dakika sifuri.....tu otherwise nakupiga BAN

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
PM haijanipa cha maana zaidi ya kutukanwa na madada wa humu JF bila wao wenyewe kujitathmini, kutulia na kutafsiri mambo kwa wakati.

Aiseee utakuwa una tezi dume si bure.
 
Back
Top Bottom