Ni kweli kabisa PM imetupatia vitu adimu, vitu vitamu...tumepata usingizi kupitia PM....!
Daaa jamani hayo ndio masharti ya mafunzo,???mhhhhh
Nilijua tu watu watabisha
PM imewapa watu wachumba, imewapa one-night stand, PM imewapa watu wafadhili wa masomo..kupitia PM watu wamenegotiate biashara, PM imewafanya watu wawe karibu zaidi binafsi binafsi, Pm imewapa watu mambo ya siri amabyo huwezi yaona kwenye post na thread za kawaida. PM ndani ya JamiiForum ndio the best feature ever innovated, apewe hongera aliyebuni hii kitu.
mmmmh! Punguza kunichunga basi
Ati nini
sio mashart ila tunataka tujue namna ya kukufundisha.. Ufundishwaji wa ke na me ni tofauti
Kwa hiyo mie ni kidume???
Hahahaa yote yanawezekana
Ngoja nami labda 2015 nitapata PM
^^
Hahahaaaa mdau ukishanifundisha,ntakuPm nikwaambie sex yangu.
Mi hata sikuchunguzi...najikuta tu macho yameelekea kwako
mwogope Mungu mkuu.... Inamaana hata mwanasheria mkuu hujawahi pata pm yake?
lakn hapana bhana! Inamaana utetez wa wanawake wote ule leo uwe me?
Hapana hyo ni njia ya kupunguza speed yangu. Hata sikubali
Na wewe huamini??
Ni kweli kabisa PM imetupatia vitu adimu, vitu vitamu...tumepata usingizi kupitia PM....!