Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,220
- 5,626
Last edited by a moderator:
Pm za wadada wote zimefungwa, kama unachat na mtu pm ukijua ni demu jua ni dume hilo...
mahaba niue lol yakikolea sana huwezi kuficha kilicho moyoni hongera nelson
Hahahaaa kwa hiyo unamaanisha mi dume?
bora umuulize kwasababu nimeshtuka vbaya mno...
Sitaki kuamini haya maneno yanatoka kinywani kwako........
Pm za wadada wote zimefungwa, kama unachat na mtu pm ukijua ni demu jua ni dume hilo...
Jaman nifundishen mi mgeni jamvi hili,huko ku PM unafanyaje ili nimPM mtu na mimi
kabla ya kukufundisha hebu tuambie ww ni ke au me
Am watching u....