Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
William;
Mkuu kwanza habari za siku? Tumepoteana sana humu jamvini na nashukuru leo nimekutia machoni.
Most intresting ni facts zako. Kwanza unatumia ID yako ya kweli na picha yako, so Anna Makinda na Wadau wanakusoma na wanajua ni nani na utakuwa judged kwa hilo.
Nasshukuru kwamba umetupatia first hand information ambazo hazijachakachuliwa.
Wakati mengi uliyotuleza ni mazuri na hakika ni ya uhakika, je kuna mapungufu yoyote ya Kiuongozi aliyonayo ambayo wewe binafsi unayajua? Utakuwa umetusaidia sana kama utatuambia maana najua Anne is not an Angel.
Usipotee sana Mkuu.
Mkuu kwanza habari za siku? Tumepoteana sana humu jamvini na nashukuru leo nimekutia machoni.
Most intresting ni facts zako. Kwanza unatumia ID yako ya kweli na picha yako, so Anna Makinda na Wadau wanakusoma na wanajua ni nani na utakuwa judged kwa hilo.
Nasshukuru kwamba umetupatia first hand information ambazo hazijachakachuliwa.
Wakati mengi uliyotuleza ni mazuri na hakika ni ya uhakika, je kuna mapungufu yoyote ya Kiuongozi aliyonayo ambayo wewe binafsi unayajua? Utakuwa umetusaidia sana kama utatuambia maana najua Anne is not an Angel.
Usipotee sana Mkuu.