Anne Semamba Makinda's Profile!

mkipewa? msipopewa mnalala doro siyo? haya mmepewa kidole juu, juu tafadhali

Jamani kwa nini unasema hivyo? Hatulali bana. Si unaona Makinda alikuwa Naibu, Rose Migiro yuko UN nk. Tunaweza bana kama mfumo dume ukitukubali.
 
Tatizo si ana makinda, tatizo amepata vipi kuwa speaker. naona sasa TZ ni nchi inayoendeshwa kama a small stupid company. Mie naumia sana tena sana.

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo watu wanakurupuka tu na kuchagua mtu just because wanataka kuwaridhisha UN kuwa wanawake wanapewa kipaumbele. TZ hatuitaji kwa sasa ku embrace gender au religious interests, we need to keep forward.

Mie kwa hili kikwete anazidi kudhihirisha kuwa he is one of the weakest presidents we v ever got in TZ, the other one being Ali H Mwinyi.

Kamanda hayo unayoyasema kama yana ukweli basi tunayo shida kubwa.

Labda kwa maoni yako ni nini kifanyike? Maana katika 'Secret Ballot" wananchi "Wamewachagua Wao". Au imekaaje?
 
Jamani kwa nini unasema hivyo? Hatulali bana. Si unaona Makinda alikuwa Naibu, Rose Migiro yuko UN nk. Tunaweza bana kama mfumo dume ukitukubali.

Ni kama Chadema kuwakubali ThiThiemu kuwa ni chama makini na kinachofaa kuongoza nchi!!! Teh! Teh! Teh!
Big Lady, Mfume dume sijui jike upo vichwani mwa watu na sio uhalisia. Na mara nyingi wanatumia hiyo kitu kwa manufaa yao. chunguza utaona. "Za kuambiwa changanya na zakooooooo!!!!"
 
Viti maalum vya CCM aibu tupu kuna kina mama hata kusoma inakuwa shida... Jamani...

Haaaa haaaa JAMANI . . . . MWAYA tutafika yu . . .

Kwa Anna Makinda, je inaweza kuwa ameprove kuwa anaweza? Alipotolewa viti maalumu alienda kugombea jimboni. Since then amekuwa akishinda.

Hivi kuna wa viti maalumu wasiojua kusoma? We cant be serious!
 
From my heart anna makinda hafai kuwa spika wa bunge hili,
lakini nawashukuru mafisadi kwa kutimiza malengo yao ya kumuondoa former speaker samwel sitta, imeniuma sana,
na hapa ndipo itakapo dhihilisha kuwa wanawake hawafai kupewa madaraka makubwa. I tell you makinda yupo pale kulinda masilai ya mafisadi amini usiamini......................
Mwenye maamuzi pale ccm ni mafisadi, kikwete yupo tu kama kivuli, believe me or not!! Ccm itakua salama pale tu watapokuwa wameondoka lowassa, rostam, kikwete, chenge na wengine wengi....................
Narudia tena kusema makinda hana uwezo wa kuongoza bunge hili, si mlimuona alivyokuwa mbabaishaji bunge lililopita?

Sasa nagundua kuwa CCM waliplot kumwondoa the best speaker in the tanzania history, kweli alikuwa wa standard and speed. Kipindi cha 2005 hadi 2010 kila mtanzania alikuwa anajua kinachofanyika bungeni. Ikifika muda wa bunge watu walikuwa wanakimbilia kwenye vyombo vya habari kusikiliza na kuangalia vitu vya Six. Nilipata bumbuwazi kusikia Anne anachuka fomu, hii ina maana ilipangwa kuwa safari hii spika lazima awe a lady.
 
Mkuu, hebu lifanyie kazi kisha tuletee data, ingawa halitakuwa na uhusiano sana na utendaji wake.

Mtoto wa Anna atakuwa mkubwa kuliko huyo Neema. Neema atakuwa ni mtoto wa mke ambaye Prof alimuoa baada ya kuzaa na Anna. Watoto wa Prof kwa mke huyo wamesomea South Africa. I remain to be corrected .
 
She served as a back bencher for eight years till 1983 when she was appointed Minister of State in the Prime Minister and First Vice-President’s Office in charge of policy affairs, disaster management and coordination of government business in the National Assembly (Chief Whip). Ms Makinda says she became minister at a time when the country was faced with a lot of developmental challenges.

Duh! Wakati huo JK alikuwa wapi?
 
Mtoto wa Anna atakuwa mkubwa kuliko huyo Neema. Neema atakuwa ni mtoto wa mke ambaye Prof alimuoa baada ya kuzaa na Anna. Watoto wa Prof kwa mke huyo wamesomea South Africa. I remain to be corrected .

Tumekusoma Mkuu. Tuko pamoja.
 
Shikamoo BitiMkongwe!

Hili jina ni size yako kabisa. Hizo zilikuwa ni zama za Kitivo cha Kilimo, Mistu na Udaktari wa Mifugo cha UD. Halafu walikuwa wanakuja wajivuni wa Agricultural Engineering kutoka Main Campus, miaka 2 Main Campus halafu miwili Morogoro. Kaazi kweli kweli!

Marahaba Keil. Ni kweli cheti changu kimeandikwa "University of Dar es Salaam" wala hakuna reference yo yote ya Morogoro - cheti 'legal size' ukitaka kutolesha photocopy mpaka upunguze size to 90%. Enzi hizo SUA haijazaliwa. Graduation ilikuwa pale Engineering Main Campus.

Mamanalia hebu mpeni nafasi huyu mama halafu ndiyo mujudge kwamba amefanikiwa au la. Kwa nini munakuwa pessimistic kwa kila kitu? Huyu alishawahi kuwa mbunge tangu 1975 (I think), Minister, Mkuu wa Mkoa, Naibu Spika - basi bado ashindwe tu?
 
Sasa nagundua kuwa CCM waliplot kumwondoa the best speaker in the tanzania history, kweli alikuwa wa standard and speed. Kipindi cha 2005 hadi 2010 kila mtanzania alikuwa anajua kinachofanyika bungeni. Ikifika muda wa bunge watu walikuwa wanakimbilia kwenye vyombo vya habari kusikiliza na kuangalia vitu vya Six. Nilipata bumbuwazi kusikia Anne anachuka fomu, hii ina maana ilipangwa kuwa safari hii spika lazima awe a lady.

Ni kweli jambo hili ilipangwa makusudi ndo maana wanawake wengi sana waligombea ndani ya ccm, na pia kama Anne asingekuwa anajua kuwa Sita hatateuliwa asingeacha kugombea nafasi ya naibu spika.
Kinachonisikitisha ni kuwa kwanini CCM wanaosema hakuna ubaguzi wowote hata wa kijinsia watende tendo la ubaguzi la namna hii la kumnyima mtu haki ya kuwa kiongozi pamoja na kuwa na sifa zote eti kwa sababu ni mwanaume!!!!!!!!! Hii haikubaliki kwa chama makini!! Kweli CCM ni sikio la kufa.
 
Marahaba Keil. Ni kweli cheti changu kimeandikwa "University of Dar es Salaam" wala hakuna reference yo yote ya Morogoro - cheti 'legal size' ukitaka kutolesha photocopy mpaka upunguze size to 90%. Enzi hizo SUA haijazaliwa. Graduation ilikuwa pale Engineering Main Campus.

Mamanalia hebu mpeni nafasi huyu mama halafu ndiyo mujudge kwamba amefanikiwa au la. Kwa nini munakuwa pessimistic kwa kila kitu? Huyu alishawahi kuwa mbunge tangu 1975 (I think), Minister, Mkuu wa Mkoa, Naibu Spika - basi bado ashindwe tu?

Ukiangalia jinsi alivyokuwa anawahandle wapinzani alipokuwa anaendesha vikao wakati wa bunge lililopita utatambua kuwa she is short-fused!! Unless anabadilika kazi hii ya kuendesha bunge itamuwia vigumu sana hata akapata ugonjwa wa shinikizo la damu kama hanaompaka sasa!! She has to learn to be calm!!
 
Hivi Board Membership ni "Employment"?

BTW: Kumbe Anne amehusika na kuua mashirika mengi sana!
(1) National Bank of Commerce Board Member 1978 1983
(2) Surveyors Building Contractors Consultants Board Member 1978 1983
(3) Tanzania Railways Corporation Board Member 1977 1983
(4) Tanzania Legal Corporation Board Member 1977 1983
(5) Mbeya Textile Company Board Member 1977 1983
(6) National Textile Company Board Member 1976 1983
(7) Tanzania Elimu Supplies Board Member 1976 1983

Ndivyo CV yake inavyosomeka

1976 TO 1983 Ni shirika gani lilikufa ZAIDI YA KUFANIKIWA ZAIDI? ushabiki ni ugonjwa mbaya....chongo waweza ita kengeza na mbichi ukaita mbivu na slaa kuitwa rais....BORA MREMA ALIITWA RAIS WA MANZESE
 
Msekwa.JPG
kaka umechemka huyo ni mume wa Anna Abdallah
 
ndio maana viwanda kibao vimekufa

mtu mmoja anakuwa boardy memba kwa mashirika zaid ya 3 wa walati mmoja?!

Ina maana watu hawakuwepo wa kushika nafasi hizo. Kama ndivyo mbona hao hao ndio walileta "vidonge vya uzazi wa mpango ILI KUPUNGUZA WATU?"
 

Msekwa ameingiaje hapo? Nijiavyo mimi huyu dingi Msekwa ni mume wa Anne Abdallah labda kama walikwisha pigana tipper! Anna Abdalla alikuwa mwenyekiti wa muda kuongoza uchaguzi wa Anna Makinda! Mafisadi wamechukua Ikulu, Bunge na Mahakama! Tasisi ya Takukuru ilisha wekwekwea kwapani longi! Ila ngoma nzito bunge hili-Na amini lazima patachimbika tu humo bungeni. Time will tell!
 
Kazi anayo ndiyo maana hotuba yake fupi baada ya kuchaguliwa kuwa spika amesema ataanza kujifunza sheria na kanuni za kuliongoza bunge. halafu mbona kama amekaa kiubabe babe ili kuficha udhaifu wake kuwa sheria inampiga kushoto ili hali bunge hili limejaa wasomi kbao hasa nyanja ya sheria? miaka yoye hii hata kujiendeleza na degree ya online?
 
Tatizo si ana makinda, tatizo amepata vipi kuwa speaker. naona sasa TZ ni nchi inayoendeshwa kama a small stupid company. Mie naumia sana tena sana.

Hatuwezi kuwa na nchi ambayo watu wanakurupuka tu na kuchagua mtu just because wanataka kuwaridhisha UN kuwa wanawake wanapewa kipaumbele. TZ hatuitaji kwa sasa ku embrace gender au religious interests, we need to keep forward.
Mie kwa hili kikwete anazidi kudhihirisha kuwa he is one of the weakest presidents we v ever got in TZ, the o
ther one being Ali H Mwinyi.

Hilo ndo tatizo , amepataje huo uspika??
Haiwezekani abebwe na kuwekwa hapo pasipo maslahi ya watu wengine! Wasiwasi mwingine ni namna alivyokuwa anpata shida na haoja za wapinza, nakumbuka alivyopata shida sana kumzuia marehemu Chacha Wangwe kutoahoja yake akiwa naibu speaker sasa anapokuwa Speaker itakuwaje?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom