Big Lady
JF-Expert Member
- Nov 23, 2009
- 546
- 75
mkipewa? msipopewa mnalala doro siyo? haya mmepewa kidole juu, juu tafadhali
Jamani kwa nini unasema hivyo? Hatulali bana. Si unaona Makinda alikuwa Naibu, Rose Migiro yuko UN nk. Tunaweza bana kama mfumo dume ukitukubali.