Anne Semamba Makinda's Profile!

TANGU ASUBUI LEO, VITUO VYOTE VYA REDIO NA TELEVISHENI HAPA VINASHINDANISHA WATAZAMAJI WAKE, NA WASIKILIZAJI KUHUSU SPIKA MPYA MWANAMKE WA AFRIKA MASHARIKI , KATI NA JANGWA KUSINI MWA SAHARA! hakuna tena kujadili kuhusu mustakabali wa taifa letu, lililotekwa na mafisadi wachache wasiozidi kumi. watu wanazungumzia kuhhusu jinsia ya spika mpya makinda, wamesahau kuwa jinsia ya anna makinda siyo muarobaini ya matatizo ya nchi yetu. wakati tupo kwenye kiza hiki kinene kuzungumzia jinsia ya anna makinda , akina rostam azizi na wengine wako bize kule bahi na namtumbo wakichimba urenium na tutakapozinduka madini haya adimu yaktakuwa yamekwisha.

watanznia wenzangu, hakuna atakaye pinga hata mama makindaakishika kiti cha kikwete provided hatutakuwa na mafisadi humu nchini.

tuache kushangilia mongela kuwa rais wa beijing, makinda kuwa spika, migiro kuwa katibu wa un. dada zetu hawa wawe mbele kupigana dhidi ya mafisadi, hawa ni da da zetu, mama zetu, bibi zetu, wanastahili kupewa hivi vyeo, wana nwake msibweteke, vita ni kubwa mbele yenu. msikubali kuhungwa mnastahili.
 
kama jk anawapenda wanawake na angependa waongoze mihimili ya dola bila shaka angempisha dr asha rose migiro awe mgombea pekee wa ccm badala ya kikwete kwa kuwa kikwete nchi ilishamshinda
 
Very dissapointing! Nimemsikia akiongea, anatoa majibu ya hovyo hovyo tu/upeo mdogo sana(ya kidiploma diploma).
 
Kilakala Girls' Secondary School(Marian College) A-Level Education 1969 1970 HIGH SCHOOL

Odessa files zinaonyesha alipokuwa hapa aliwahi kuadabishwa na wenzake kwa kuwekewa upupu
 
READ THIS....



Anna Makinda: A distinguished woman politician
06_09_q41vns.jpg


TUMA ABDALLAH, 11th June 2009 @ 02:31,
For Anna Makinda joining politics was not a matter of coincidence. She was born a leader. She has so far spent almost all her life since graduation from college serving the nation and the people at various leadership positions.

Ms Makinda, an Accountant by profession trained at the Morogoro-based Institute of Development Management (IDM), started practising politics in primary school when she was an active member of TANU Youth League. At that time she served as a young pioneer.

She got her secondary education at Masasi Girls where she was also very active in politics. The school, she says, was run by Salvatorian Sisters who were foreigners and therefore left all political affairs in the hands of students. "I was the Chairperson of TANU Youth League branch there.

We used to do everything from receiving political leaders at the school to organization of commemoration of various anniversaries," she says. In 1975 she joined active politics at her pick age of 23 when she was nominated an MP through the youth wing and therefore becoming the youngest legislator of that time.

"Under one party there was a system of having MPs from various party organs such as Parents, Women, Cooperatives, Universities and Youth. I got an opportunity to enter the legislature through the latter," she says. She had just completed studies at IDM and employed by the Tanzania Audit Corporation (TAC).

"When I contested for the parliamentary seat I was still on probation at TIC. I graduated in June and joined the parliamentary race in October. When I won the seat I had two options of either becoming a full time MP or continuing with my employment at TIC as a state auditor.

I chose to become a full time legislator," she says. She opted for Bunge to avoid conflict of interest. "The salary at TIC was many times higher than that of Bunge and my employment there was guaranteed for many more years than Bunge which was a 5-year tenure…but I decided to take chances," she says.

Her decision was the right one. Bunge was where her future was. This is her seventh consecutive term in the National Assembly where she has served as a back bencher, a cabinet minister and now as Deputy Speaker. She has been a constituency MP (Njombe South) since 1995.

Given her age, at the beginning she thought she did not deserve to be there. Her obligation was therefore to learn and work hard to justify her presence. "I did not want people to start asking what is this young girl doing there," she says. Her determination worked as she turned to be one of the most active MPs.

She served as a back bencher for eight years till 1983 when she was appointed Minister of State in the Prime Minister and First Vice-President's Office in charge of policy affairs, disaster management and coordination of government business in the National Assembly (Chief Whip). Ms Makinda says she became minister at a time when the country was faced with a lot of developmental challenges.

We had the Late Edward Sokoine as the Prime Minister by then. The economic situation was very bad and it was really tough to get things moving," she recalls. Being a minister in the PMO in charge of operations of the central government, I had a lot to do. This is the time when my hair started to turn grey. We almost developed peptic ulcers," she says.

She was at one time Minister in the Prime Minister's Office (Information and Broadcasting) before she was appointed founder Minister for Community Development, Women Affairs and Children from 1990-1995. A big challenge at the Community Development ministry, she says, was to visualise how people can actively participate in bringing about their own development.

"We tried very hard to make people understand that they are the engine for their own development. The concept was to improve people's lives through self reliance. I liked the task," she says wishing that animation of the concept continues with the same speed.

She was appointed Ruvuma Regional Commissioner in 1995, the post she served till the year 2000. This, she says, was the responsibility that she liked most because it gave her daily direct contact with people.

"You work with the people. You can make plans and implement them. If you do it people will know you have done and if you don't they will know you have failed. When I was a minister there were some decisions I made which were not implemented at lower levels," she says.

She also likes very much working as a constituency MP, which she says also, gives her daily direct contact with her electorate. "With my people we plan what to do and when to do it," she says. From 2000 – 2005 she served as the Chairperson of the Parliamentary Standing Committee on Natural Resources, Environment and Poverty alleviation.

She was also Chairperson of Bunge, assisting the Speaker in the running of parliamentary sessions and other related matters. In 2005 she was elected the Deputy Speaker of the National Assembly, becoming the first Tanzanian woman to hold that position.

Ms Makinda is bold and visionary. She has made a turn around in Njombe's educational development. When she became the MP for Njombe in 1995, the area had very poor educational infrastructure with very few primary schools and a limited number of secondary schools.

"Now we have sufficient primary schools and a secondary school in every ward…We have also done well in the provision of other social services including health and water supply," she says. She says a big challenge now is to ensure that the people are economically empowered.

"With weak economic power, we won't be able to accomplish the other responsibilities. We have therefore to fight poverty," she says. Ms Makinda represents a constituency endowed with fertile land, blessed with good weather and hard working people.

"We don't have a problem with manpower. People in Njombe are very good in agriculture. We work on the farm throughout a year. What we badly need is facilitation in terms of adequate and timely availability of farm inputs and at affordable prices," she says.

Her life is full of experiences. She has also served in many boards of directors including the Tanzania Railways Corporation (TRC), National bank of Commerce (NBC), Texco, Legal Corporation, Tanesco, Mwatex, Mutex, Mbeya Tex, Engineers Registration Board and Bora Shoes Company.

She devoted, generously her time, energy and even material resources. She actually has a strongly-felt internal sense of duty, which makes her serious and gives her the motivation to follow through on tasks. She is a model citizen, and pillar of the community.

She is organized and methodical in her approach, and normally succeeds in any task she undertakes. For those who have known her over the years will agree that she has a drive for leadership, which is well-served by her quickness to grasp complexities and in making quick and decisive judgments.

Ms Makinda has a tremendous amount of potential. She is capable, logical, reasonable, and an effective individual with a deeply driven desire to promote national development. She is generally very loyal, faithful, and dependable and places great importance on honesty and integrity.

She has a strong sense of duty and is extremely dependable on following through with things which she has promised. Her inner strength is vividly reflected by her strong confidence in doing her work. One of the attributes that make her different from many women is that she does not feel intimidated by men or expect favours from them.

"I like to struggle. I believe I can always do what men can," she says citing as an example her life at IDM where there were only two women out of 52 students. "So the notion that women cannot do this to me does not apply. After all I don't have time to think that the people I am working with are men or women.

What matters to me is doing my work as per the laid down rules and regulations," she adds. Ms Makinda says she is irritated by the tendency of women who don't want to face challenges and seek relief on the pretext of their sex. "Many times women use emotions to show their capacity. That is not correct. We have to abide by rules and regulations governing our functions.

Law does not discriminate against in terms of sex, age or position," she says. She is also of the opinion that women should not sit down and think men are the reason for their underdevelopment rather than establishing what men do that makes women seen incapable. "There is no law that prevents women from showing their capability.

Once you are educated and you know your rights men and women become at par", she says adding, however, that the situation is rather different for women who have not gone to school. These, she says are pinned down by customs and traditions. "That's why we insist on educating the girl child. Because it is through education that women can be truly liberated," she says.

But Ms Makinda's leadership aptitude is rooted on his father who was a renowned politician. He retired in early 1970s as Regional Commissioner. He was also an MP as at that time when RCs were sitting in the Parliament by virtue of their positions. On gender equality, she says Tanzania has made a very big step forward and is ahead of many countries.

"If we manage to bring to the House a bill for 50-50 representation, we will be very far ahead of many," she notes. But she says being ahead of other countries is actually not a big deal, what matters is for the people to understand their roles and responsibilities. She observes that women comprise more than half the population but still weak in many ways.

So a few in power, she says, should work harder than men to compensate their weakness. "We should also support one another. Gone are the times of condemning one another. We have to stand together as one. The world is about fighting for our own rights. Let's work with men and thy will finally recognize us as their partners in development," she says.

First, the interview was based on GIGO (Garbage in, Garbage out). There was no hard questions i can tell, and there was no follow ups question to clarify what she proud to be. Before i go further, I have nothing against Ms. Makinda but i want to make it clear there is nothing New she will bring to the table.

Kwanza tuangalie sehemu kadhaa ambazo nimezihighlight. Kusema kwamba Mama Makinda amebadilisha Elimu ya Njombe bila kuweka data is total wrong. What is the benchmark of her maono? Under Ms.Makinda how many school were created compared to when and who was the MP? All this are valid questions which need serious answers. As far as health care, tell me does Njombe area have any Hospital which can perfom even a minor surgery? Now if all of your people have to travel to Muhimbili for even minor surgery then you come up front to tell us we're doing milestone in Healthcare, are you serious?


Why we have weak economy? Place like Njombe with a fertile land and good weather why there is a weak economy? How much CCM government contribute to that weak economy? Who to blame for that weak economy?

Manpower hasn't been Tanzania problem. Kwa miaka nenda uje tumekuwa na watu wa kutosha. Huyu Mama sidhani kama anafahamu anachoongea, au alikuwa anafanyiwa interview na mmoja wa mashabiki wake.

Bila hata aibu Muuliza maswali anaweka Board ambazo huyu mama amasave, hebu niambie ni kiwanda gani kati hivyo hapo kipo. Tanesco yenyewe bado inapumulia machine. What does that tell you kuhusu huyu mama? Mwatex (dead), NBC(dead), TRA (dead) soon Bunge ().

The moral of the story is Like Ridhiwani na wengine this is the product of kupigiana vifua, special favor, women right and you name it. This women is empty suit...... Na yule Tonny wa Atlanta ni mwanae?
 


- Well, huu ulikuwa ni uchaguzi mzuri sana maana hii ni nightmare ya mafisadi, wamejaribu sana kumzuia asirudi bungeni, lakini ni jasiri sana amepigana nao mpaka wameshindwa, anafaa sana kushika hii nafasi maana hana mchezo katika kazi za taifa na ni sauti nzito sana kule CC, huwa anawatwanga sana mafisadi, ni mpenda maendeleo na mpenda haki sana, Mungu amjalie na kazi yake mpya.

- Hii picha nilipiga naye Mvumi, Dodoma. Ninamfahamu kwa karibu ni mchapa kazi na kiongozi asiyependa mchezo, Mungu Aibariki Tanzania!

William.
 


- Well, huu ulikuwa ni uchaguzi mzuri sana maana hii ni nightmare ya mafisadi, wamejaribu sana kumzuia asirudi bungeni, lakini ni jasiri sana amepigana nao mpaka wameshindwa, anafaa sana kushika hii nafasi maana hana mchezo katika kazi za taifa na ni sauti nzito sana kule CC, huwa anawatwanga sana mafisadi, ni mpenda maendeleo na mpenda haki sana, Mungu amjalie na kazi yake mpya.

- Hii picha nilipiga naye Mvumi, Dodoma. Ninamfahamu kwa karibu ni mchapa kazi na kiongozi asiyependa mchezo, Mungu Aibariki Tanzania!

William.

Kamanda unajuana na kila mtu kwenye uongozi wa Tanzania. Tueleze zaidi unvyomjua mama Makinda zaidi ya kuuza naye sura.
 
Shikamoo BitiMkongwe!

Hili jina ni size yako kabisa. Hizo zilikuwa ni zama za Kitivo cha Kilimo, Mistu na Udaktari wa Mifugo cha UD. Halafu walikuwa wanakuja wajivuni wa Agricultural Engineering kutoka Main Campus, miaka 2 Main Campus halafu miwili Morogoro. Kaazi kweli kweli!

Hahaaaa na wewe hapo kwenye nyekundu inaelekea ni mfanyakazi au mwanafunzi wa hapo walipokuwa wanaenda UD
 
Kamanda unajuana na kila mtu kwenye uongozi wa Tanzania. Tueleze zaidi unvyomjua mama Makinda zaidi ya kuuza naye sura.

- Ni mchapa kazi asiyependa mchezo hata kidogo, infact huyu ni nightmare ya mafisadi wanajua sana na the fact kwamba amechaguliwa inaweza kwua dalili za mabadiliko makubwa sana katika uongozi wa Term ya pili ya Awamu ya nne, ni mpenda haki na mfuatilaji wa details za ishus, hivi karibuni alikuwa DC kwenye semina ya uongozi bora aliniambia kufurahishwa sana na system ya uwajibikaji kwa viongozi ya huku USA, Wapinzani bungeni wakiwa makini bila mapepe atawasaidia sana as long wanapeleka ishus zenye uhakiika na hasa FACTS,

- Mkuu hivi ndivyo ninavyomjua Mama Makinda kuhusu masilahi ya taifa!
na kwamba hata kurudi kwake bungeni ilikuwa kazi kubwa sana na ya ziada sana!

William.
 
Marahaba Keil. Ni kweli cheti changu kimeandikwa "University of Dar es Salaam" wala hakuna reference yo yote ya Morogoro - cheti 'legal size' ukitaka kutolesha photocopy mpaka upunguze size to 90%. Enzi hizo SUA haijazaliwa. Graduation ilikuwa pale Engineering Main Campus.

Mamanalia hebu mpeni nafasi huyu mama halafu ndiyo mujudge kwamba amefanikiwa au la. Kwa nini munakuwa pessimistic kwa kila kitu? Huyu alishawahi kuwa mbunge tangu 1975 (I think), Minister, Mkuu wa Mkoa, Naibu Spika - basi bado ashindwe tu?

Kumbe wewe ni age mate! Hata sisi tuliosoma Muhimbili miaka hiyo vyeti vimeandikwa

"University of Dar es Salaam" heshima bint Mkongwe

Mch Masa K
 
- Ni mchapa kazi asiyependa mchezo hata kidogo, infact huyu ni nightmare ya mafisadi wanajua sana na the fact kwamba amechaguliwa inaweza kwua dalili za mabadiliko makubwa sana katika uongozi wa Term ya pili ya Awamu ya nne, ni mpenda haki na mfuatilaji wa details za ishus, hivi karibuni alikuwa DC kwenye semina ya uongozi bora aliniambia kufurahishwa sana na system ya uwajibikaji kwa viongozi ya huku USA, Wapinzani bungeni wakiwa makini bila mapepe atawasaidia sana as long wanapeleka ishus zenye uhakiika na hasa FACTS,

- Mkuu hivi ndivyo ninavyomjua Mama Makinda kuhusu masilahi ya taifa!
na kwamba hata kurudi kwake bungeni ilikuwa kazi kubwa sana na ya ziada sana!

William.

Asante Kiongozi! Ngoja tumpe muda baadaye tutakurudia hahahahahahah stick on your words maana bunge la kipindi hiki nadhani si pole pole

Respect

Masa K
 


- Well, huu ulikuwa ni uchaguzi mzuri sana maana hii ni nightmare ya mafisadi, wamejaribu sana kumzuia asirudi bungeni, lakini ni jasiri sana amepigana nao mpaka wameshindwa, anafaa sana kushika hii nafasi maana hana mchezo katika kazi za taifa na ni sauti nzito sana kule CC, huwa anawatwanga sana mafisadi, ni mpenda maendeleo na mpenda haki sana, Mungu amjalie na kazi yake mpya.

- Hii picha nilipiga naye Mvumi, Dodoma. Ninamfahamu kwa karibu ni mchapa kazi na kiongozi asiyependa mchezo, Mungu Aibariki Tanzania!

William.


Shut up Malecela! Wewe umekula jasho la Watanzania kupitia mzee wako.Lazima utetee SISIEM ,maana baba yako yuko huko,unasema Makinda mchapa kazi,prove amefanya nini la maana??
 


- Well, huu ulikuwa ni uchaguzi mzuri sana maana hii ni nightmare ya mafisadi, wamejaribu sana kumzuia asirudi bungeni, lakini ni jasiri sana amepigana nao mpaka wameshindwa, anafaa sana kushika hii nafasi maana hana mchezo katika kazi za taifa na ni sauti nzito sana kule CC, huwa anawatwanga sana mafisadi, ni mpenda maendeleo na mpenda haki sana, Mungu amjalie na kazi yake mpya.

- Hii picha nilipiga naye Mvumi, Dodoma. Ninamfahamu kwa karibu ni mchapa kazi na kiongozi asiyependa mchezo, Mungu Aibariki Tanzania!

William.

Well ni mchapakazi kama unavyosema kwa kweli na mimi ndio intuition inavyoniambia kwa kumuona mara chache si rahisi

kumuyumbisha ila kazidi ukali ambao muda mwingine ni mzuri nashangaa watu waosema bunge litamshinda.Mama Makini

so long as ajatumwa na waujumu uchumi bunge litakuwa safi tu maana usipokuwa mkali unaweza kuishia kuongea pumba

bungeni just imagine kura vinaharibika ,what the hell mbunge anaharibu kura yake !?Au Ole Sendeka ukisema umwachie andelee kuongea upupu kwa kivuli cha demokrasia no way.

Challenge hasa kwa wabunge vijana ni kusoma katiba ya Tanzania na kanuni za bunge ili watuwakilishe vyema ,hata

akionewa waweze kusema spika kavunja kipengele gani ktk kanuni za bunge au katiba.

Swali la msingi kwangu hasa kwa William unaweza ku mention accomplishment zake kwamba kama vile amekuwa kwenye

board nyingi amechangiaje zisianguke,alipokuwa Mkuu wa mkoa,alipokuwa waziri ,na naibu spika .Ukiweza ku mention kila

mmoja utanitoa ktk kumshabikia kuingia kuwa inspired on what she accomplished
.

Ukali wa mama Makinda akiuwekwa kwenye direction sahihi maslahi ya nchi itakuwa safi sana.

Kama nakosea najua watalaam watanyosha ,
 
Shut up Malecela! Wewe umekula jasho la Watanzania kupitia mzee wako.Lazima utetee SISIEM ,maana baba yako yuko huko,unasema Makinda mchapa kazi,prove amefanya nini la maana??

- Ha! ha! ha! ha! Great Thinker na Great Thinking ha! ha! ha! ha! hillarious bro ha! ha! yaani umenivunja mbavu sana ha! ha! ha! ha!

William.
 
Shut up Malecela! Wewe umekula jasho la Watanzania kupitia mzee wako.Lazima utetee SISIEM ,maana baba yako yuko huko,unasema Makinda mchapa kazi,prove amefanya nini la maana??

Mkuu hebu heshima Kidogo Wiliam ametulia sana leo anamwaga data! Chuki na ubinafsi wake hebu weka kando tumjue mama Makinda. William if you opt to ignore haters utasaidia. Unajua mambo ya kifamilia ya huyu mama Spika? naosoma controverse nyingi hapa JF nisaidie kidogo kuweka mistari sahihi
 
Well ni mchapakazi kama unavyosema kwa kweli na mimi ndio intuition inavyoniambia kwa kumuona mara chache si rahisi kumuyumbisha ila kazidi ukali ambao muda mwingine ni mzuri nasangaa watu waosema bunge litamshinda.Mama Makini so long as ajatumwa na waujumu uchumi

Swali la msingi kwangu hasa kwa William unaweza ku mention accomplishment zake kwamba kama vile amekuwa kwenye board nyingi amechangiaje zisianguke,alipokuwa Mkuu wa mkoa,aliokuwa waziri ,na naibu spika .Ukiweza ku mention kila mmoja utanitoa ktk kumshabikia kuingia kuwa inspired na what she accomplished .

Ukali wa mama Makinda akiupweka kwenye direction sahihi maslahi ya nchi itakuwa safi sana.

Kama nakosea najua watalaam watanyosha ,

- Well accomplishment zake kwenye viteongo vingine vya kazi alizowahi kuzifanya huko nyuma sidhani kama zinaweza kueleza anything on what she will accomplish kwenye bunge, kwa sababu majukumu ya huko alikotoka hayafanani kabisaa na ya kuongoza bunge la Jamhuri, labda kwanza tungejadili nini kinatakiwa kwa kiongozi kuwa a good Spika! au?

- Tizama mfano wa Mheshimiwa Keenja, alipokuwa City alifanya wonders kwa vile kule alikuwa one man show, lakini sio siri kwenye uwaziri haikuwa kama alivyokuwa City kwa sababu yalikuwa ni majukumu yenye mazingara tofauti!



William.
 
- Ha! ha! ha! ha! Great Thinker na Great Thinking ha! ha! ha! ha! hillarious bro ha! ha! yaani umenivunja mbavu sana ha! ha! ha! ha!

William.


Nafikiri ungepost hii message kwa blogu ya Michuzi ,maana naye ni mkereketwa wa SISIEM kama wewe.
Hatutaki UFISADI hapa JF
 

- Well accomplishment zake kwenye viteongo vingine vya kazi alizowahi kuzifanya huko nyuma sidhani kama zinaweza kueleza anything on what she will accomplish kwenye bunge, kwa sababu majukumu ya huko alikotoka hayafanani kabisaa na ya kuongoza bunge la Jamhuri, labda kwanza tungejadili nini kinatakiwa kwa kiongozi kuwa a good Spika! au?

- Tizama mfano wa Mheshimiwa Keenja, alipokuwa City alifanya wonders kwa vile kule alikuwa one man show, lakini sio siri kwenye uwaziri haikuwa kama alivyokuwa City kwa sababu yalikuwa ni majukumu yenye mazingara tofauti!



William.

William unaweka uCCM hapa umeacha kujibu swalki la msingi kwa kuweka utani

Sema walau kidogo
Swali la msingi kwangu hasa kwa William unaweza ku mention accomplishment zake kwamba kama vile amekuwa kwenye board nyingi amechangiaje zisianguke,alipokuwa Mkuu wa mkoa,aliokuwa waziri ,na naibu spika .Ukiweza ku mention kila mmoja utanitoa ktk kumshabikia kuingia kuwa inspired na what she accomplished .

Asante

Masa K
 
- Ni mchapa kazi asiyependa mchezo hata kidogo, infact huyu ni nightmare ya mafisadi wanajua sana na the fact kwamba amechaguliwa inaweza kwua dalili za mabadiliko makubwa sana katika uongozi wa Term ya pili ya Awamu ya nne, ni mpenda haki na mfuatilaji wa details za ishus, hivi karibuni alikuwa DC kwenye semina ya uongozi bora aliniambia kufurahishwa sana na system ya uwajibikaji kwa viongozi ya huku USA, Wapinzani bungeni wakiwa makini bila mapepe atawasaidia sana as long wanapeleka ishus zenye uhakiika na hasa FACTS,

- Mkuu hivi ndivyo ninavyomjua Mama Makinda kuhusu masilahi ya taifa!
na kwamba hata kurudi kwake bungeni ilikuwa kazi kubwa sana na ya ziada sana!

William.



Sorry maelezo yako mengine naona mazuri tu ila kwa nini mna notation ya kusema mtu anasaidia au atasaidia pale napofanya wajibu wake.
Mfano hapo kwenye red yeye anatakiwa kutenda haki kufanya wajibu wake si kusaidia neno hilo ndio linafanya viongozi wajione waungu watu
 
Back
Top Bottom