aaaaahhhh alifikiri kwa kuongea sana na kutetea visivyotetewa,mwanae atapata ubunge wa Afrika Mashariki.
Baada ya kupoteza pesa nyingi,na mtoto kushindwa amekuwa na hasira sana.
hata hivyo pole na sarakasi za dodoma...mwambie mama akija huku milimani asifikiri kuwa watu huku hatujasoma tunalima tangawizi na tumepiga kitabu vile vile- Ujumbe umefika, hayo mengine ni siasa as usual cha muhimu ilikuwa somo kueleweka, na inaonyesha limeeleweka!
RESPECT!
William @ DSM City!
eti uyu josephine ndo alitk awe firstlady!!chek mipasho yake ovyooooo.
Bado naamini mama Ane Kilango ni Mpiganaji!Mpk nione zaidi ya ukimya huu ndio nitabadili msimamo
Namnukuu Anne Kilango katika moja ya mchangoa aliotoa bungeni kwa hisia zidi ya Mafisadi
''''' HakyaMungu Mheshimiwa Spika tusipopata majibu juu ya ufisadi Bungeni patachimbika!!!!!''' Mbona hapajachimbika mpaka leo na majibu ya ufisadi bado!!
Hakuna jipya kwa wabunge wa CCM!
kitu gani hapo kadanganya? kwanza vaa mavadhi ya heshima ndio uje hapa tuongee unamuonyesha nani mapaja yako hapa
hizi zako ni hoja za aina gani?mkuu kama umeishiwa hoja kajisaidie ukalale...mavazi yangu sio mjadala tulionao..uyo josephine mbona anavaa visuluali vya kubana makalio!!
ok umeshinda mama mipashomkuu kama umeishiwa hoja kajisaidie ukalale...mavazi yangu sio mjadala tulionao..uyo josephine mbona anavaa visuluali vya kubana makalio!!
hata hivyo pole na sarakasi za dodoma...mwambie mama akija huku milimani asifikiri kuwa watu huku hatujasoma tunalima tangawizi na tumepiga kitabu vile vile
- Sarakasi za Dodoma hazikuwa sawa na kuvuka Bermuda Triangle, tena mara tatu nikiwa Baharia, nimeingia siasa za bongo in only three months, nimeweza kufika hatua ya mwisho kitu ambacho wengi waliokuwepo kabla yangu wameshindwa, so tupo kwenye the right track na subira huwa inavuta heri.
- Somo kuhusu mama naona limeeleweka sana sina sababu ya kulirudia tena, saa ya kulala sasa unajua tena mkuu wangus!
Willie @DSM City!
Ni kweli kabisa hawa wabunge wa same wote wawili kazi kugawa sukari huko vijinini na mahindi ili wapare wawaone wanawasaidia. Same amkeni hacha muishwa ni vaghenji.yeye na matayo lazima wang,oke upareni,,,,,,,wanatia aibu wapare wanaonekana vilaza kilimanjaro,,shame,,shame,,shame,,,,,,,,,,,,,,,,wameidumaza upare,,,,wapare wamepoteza heshima mikononi mwa watu hawa,,,,,nchi ile imepauka,,vijana wamepoteza nuru,,,wazee ni mburi tu,,,,kina mama ni bendera fuata upepo,,,,,wakipewa kanga na chai ni vigelegele kutwa na kusifia ujinga shauri ya shida,,,,,,,upare amkeni,,,,hacha,,,hariiika nresari,,,,,,,,,mpaka lini.....
Katika hali ya kustaajabisha Mbunge machachari wa CCM amekua bubu ghafla kwenye hoja ya kuwajibisha mawaziri wabadirifu kwa kutokoenekana katika mijadala hata ya kuweka saini kama kweli alikosa nafasi ya kuongea.
Je ni kweli mbunge huyu yupo tayari kumvisha Paka kengele au yupo tayari kutetea Paka asivikwe Kengele.Tuaomba afunguke kama kweli yupo na dhamira ya dhati ya kupambana na Mafisadi...
Msimamo wake upo wapi...Same Mashariki tunasubiri sauti yetu kupitia wewe....
Ni kweli kabisa hawa wabunge wa same wote wawili kazi kugawa sukari huko vijinini na mahindi ili wapare wawaone wanawasaidia. Same amkeni hacha muishwa ni vaghenji.
Katika hali ya kustaajabisha Mbunge machachari wa CCM amekua bubu ghafla kwenye hoja ya kuwajibisha mawaziri wabadirifu kwa kutokoenekana katika mijadala hata ya kuweka saini kama kweli alikosa nafasi ya kuongea.
Je ni kweli mbunge huyu yupo tayari kumvisha Paka kengele au yupo tayari kutetea Paka asivikwe Kengele.Tuaomba afunguke kama kweli yupo na dhamira ya dhati ya kupambana na Mafisadi...
Msimamo wake upo wapi...Same Mashariki tunasubiri sauti yetu kupitia wewe....
mkuu kama umeishiwa hoja kajisaidie ukalale...mavazi yangu sio mjadala tulionao..uyo josephine mbona anavaa visuluali vya kubana makalio!!