William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Mkuu,hoja ya awali haikuhusiana na swali wapi alipo ndugu Kilango kwa sasa.
Hoja ilikuwa ni zipi zaweza kuchukuliwa kama sababu za ukimya wake kadiri mada inavyoeleza.
- Wakati wa kusaini karatasi ya Zitto, hakuwepo alikuwa Same kwenye kutayarisha kufungua kiwanda alichokijenga kw ajimbo lake, na sasa bado yupo huko, mara ya mwisho aliipinga hoja ya Serikali ya kuwaondoa ma-DC kwenye katiba mpya, na akafanikiwa kuiondoa!
William.