Anne Kilango Malecela awa bubu ghafla

Katika hali ya kustaajabisha Mbunge machachari wa CCM amekua bubu ghafla kwenye hoja ya kuwajibisha mawaziri wabadirifu kwa kutokoenekana katika mijadala hata ya kuweka saini kama kweli alikosa nafasi ya kuongea. Je ni kweli mbunge huyu yupo tayari kumvisha Paka kengele au yupo tayari kutetea Paka asivikwe Kengele.Tuaomba afunguke kama kweli yupo na dhamira ya dhati ya kupambana na Mafisadi... Msimamo wake upo wapi...Same Mashariki tunasubiri sauti yetu kupitia wewe....
Bado naamini mama Ane Kilango ni Mpiganaji!Mpk nione zaidi ya ukimya huu ndio nitabadili msimamo
 
Aaaaahhhh alifikiri kwa kuongea sana na kutetea visivyotetewa,mwanae atapata ubunge wa Afrika Mashariki. Baada ya kupoteza pesa nyingi na mtoto kushindwa amekuwa na hasira sana.

Inatosha First Lady wetu. Msalimie Junior na Rais wetu!
 
Dhana na tafsiri yao ya ufisadi ilijengwa kwenye misingi ya chuki ya mtu mmoja na hiyo haina tija kwa taifa kwasababu tisadi siyo lowassa peke yake!
 
anaona aibu. huyu mama william ndo aliyezingirwa na wanakijiji ndani ya nyumba akitoa rushwa kwa wakina mama wakati wa chaguzi ndogo za udiwani kiwira, polisi walipokuja wakapiga mabomu ya machozi kwa wananchi wakatawanyika akapata chance ya kutoroka. aliye shinda uchaguzi ni mgombea wa chadema.
 
Nilishaandika humu toka zamani.. Cimpendi sana huyu Mama Kilango.. Ni mnafiki kupitiliza.. I pray huu ndio uwe muhula wake wa mwisho bungeni..
 
Vinaweza kuwepo vipimo, yanaweza kuwepo machekecheo, watu wanaweza sema na kujinasibu kuwa ni wenye uchungu na walalahoi, hapa ndio mahali ambapo mbivu na mbichi zinawekwa wazi. Kimsingi watakao weka sahihi toka CCM, pamoja na kuwa wanajiweka hatarini, itawasaidia kuonesha uhalisi wa nafsi zao na kujua kilichowapeleka bungeni. Hapa ni mahali pa kutunza kumbukumbu maana huu sasa baada ya CAG report utakuwa usaliti wa wazi kwa wananchi. We shall overcome, not so long, yes I can see the light at the end of the turnel. Keep up full force guys.
 
Katika hali ya kustaajabisha Mbunge machachari wa CCM amekua bubu ghafla kwenye hoja ya kuwajibisha mawaziri wabadirifu kwa kutokoenekana katika mijadala hata ya kuweka saini kama kweli alikosa nafasi ya kuongea.

Je ni kweli mbunge huyu yupo tayari kumvisha Paka kengele au yupo tayari kutetea Paka asivikwe Kengele.Tuaomba afunguke kama kweli yupo na dhamira ya dhati ya kupambana na Mafisadi...

Msimamo wake upo wapi...Same Mashariki tunasubiri sauti yetu kupitia wewe....

- Heshima mbele sana mkuu, naomba kuweka hii habari yako inapotakiwa: Mh. Anne Kilango amekuwa nje ya Bunge toka Jumatano, alikwenda jimboni kwake kusimamia matayarisho ya mwisho ya kufunguliwa kwa kiwanda alichokisimamia sana toka mwanzo wake cha Tangawizi, ambacho kinatazamiwa kufunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri hivi karibuni, baada ya kutoka Same East, ameruka moja kwa moja kwenda US, kutafuta malighafi zaidi za kiwanda hicho kipya kitakacholisaidia sana jimbo la Same East, na anatarajiwa kurudi nchini mwisho wa wiki ijayo.

- Kwa hiyo ninajua kwamba habari yako hii ni misguided tu na ni misinformed au ndio ule ule utabiri wa waganga wetu wa kienyeji, ila haina hata chembe moja ya ukweli, Mh. Anne Kilango amsimamia hoja ya Ma-DC peke yake wala hakuhitaji saini ya mtu yoyote, hawezi kukimbia ishu ndogo na very clear kama hii!

MUCH RESPECT!

William @DSM City!
 
aaaaahhhh alifikiri kwa kuongea sana na kutetea visivyotetewa,mwanae atapata ubunge wa Afrika Mashariki.

Baada ya kupoteza pesa nyingi,na mtoto kushindwa amekuwa na hasira sana.

nilijua tu na mimi mwaka 2015 nakwenda kumuondoa pale same ..jimbo haliendelei amebakia kwenye mipasho tu
 
- Heshima mbele sana mkuu, naomba kuweka hii habari yako inapotakiwa: Mh. Anne Kilango amekuwa nje ya Bunge toka Jumatano, alikwenda jimboni kwake kusimamia matayarisho ya mwisho ya kufunguliwa kwa kiwanda alichokisimamia sana toka mwanzo wake cha Tangawizi, ambacho kinatazamiwa kufunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri hivi karibuni, baada ya kutoka Same East, ameruka moja kwa moja kwenda US, kutafuta malighafi zaidi za kiwanda hicho kipya kitakacholisaidia sana jimbo la Same East, na anatarajiwa kurudi nchini mwisho wa wiki ijayo.

- Kwa hiyo ninajua kwamba habari yako hii ni misguided tu na ni misinformed au ndio ule ule utabiri wa waganga wetu wa kienyeji, ila haina hata chembe moja ya ukweli, Mh. Anne Kilango amsimamia hoja ya Ma-DC peke yake wala hakuhitaji saini ya mtu yoyote, hawezi kukimbia ishu ndogo na very clear kama hii!

MUCH RESPECT!

William @DSM City!

William acha kutuddanganya hapa, mimi nimezaliwa hapa hapa miamba na ndio hiki kiwanda kilipo ..huko marekani huyu mama kaenda kufanya nini ? malighafi gani zinazohusu tangawizi labda kaenda kufanya shopping ya nguo zake ,...

Sisi wakulima wa hapa tunataka kiwanda kifanye kazi na barabara iweke lami kuja huku juu milimani ..sasa hilo suala la kufuata malighafi huko marekani linaingiaje hapa?
Willy usifikirikuwa sisi watanzania wote ni wajinga kiasi hiki..mimi nipo huku kijijini na sio kwamba sijasoma nalima tangawizi huku nikiendelea kuongea na wananchi wangu huku ..mpe mama hizi salamu ..
Mimi nalima tangawizi hapa kwa muda wa miaka sita tayari .kwanza pesa yenyewe ya hiki kiwanda ilishaanza kuliwa na tukimuita CAG lazima atagundua madudu mengi tu ..
sema kwa vile hawa ndugu zangu wa hapa kijijini bado hawajafunguka ila mimi nishaanza kupita nyumba hadi nyuma na huyu mama mwaka 2015 harudi ng'o
 
Kumbukumbu zinaonyesha mama Anne Kilango Malecela alianza kudhoofika baada ya Sofia Simba kumlipua kuwa mumewe alichangiwa na Jeetu Patel hela ya kugombea urais
Akadai walipewa milioni 200 kama mchango wa arusi
Mambo aliyodhani ni siri akagundua yapo wazi
Akaamua asiendelee kurusha mawe wakati anaishi kwenye nyumba ya vioo
Toka wakati ule mashambulizi yake ni dhidi ya CDM na si mafisadi tena
 
- Heshima mbele sana mkuu, naomba kuweka hii habari yako inapotakiwa: Mh. Anne Kilango amekuwa nje ya Bunge toka Jumatano, alikwenda jimboni kwake kusimamia matayarisho ya mwisho ya kufunguliwa kwa kiwanda alichokisimamia sana toka mwanzo wake cha Tangawizi, ambacho kinatazamiwa kufunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri hivi karibuni, baada ya kutoka Same East, ameruka moja kwa moja kwenda US, kutafuta malighafi zaidi za kiwanda hicho kipya kitakacholisaidia sana jimbo la Same East, na anatarajiwa kurudi nchini mwisho wa wiki ijayo.

- Kwa hiyo ninajua kwamba habari yako hii ni misguided tu na ni misinformed au ndio ule ule utabiri wa waganga wetu wa kienyeji, ila haina hata chembe moja ya ukweli, Mh. Anne Kilango amsimamia hoja ya Ma-DC peke yake wala hakuhitaji saini ya mtu yoyote, hawezi kukimbia ishu ndogo na very clear kama hii!

MUCH RESPECT!

William @DSM City!

duuuu! Naona baada ya kuliwa pesa kijinga na watoto wa town dom na kushindwa uchaguzi sasa mama yako amekuhurumia na kukupa kazi ya kuwa mwenyekiti wa kurugenzi ya habari zinazohusu baba yako na mama yako pia ww ni msemaji mkuu wa familia yenu. Hongera kilaza wetu uliyeathirika ubongo due to uchaguzi na upepo wa bahari ya atlantic.
 
William acha kutuddanganya hapa, mimi nimezaliwa hapa hapa miamba na ndio hiki kiwanda kilipo ..huko marekani huyu mama kaenda kufanya nini ? malighafi gani zinazohusu tangawizi labda kaenda kufanya shopping ya nguo zake ,...

Sisi wakulima wa hapa tunataka kiwanda kifanye kazi na barabara iweke lami kuja huku juu milimani ..sasa hilo suala la kufuata malighafi huko marekani linaingiaje hapa?
Willy usifikirikuwa sisi watanzania wote ni wajinga kiasi hiki..mimi nipo huku kijijini na sio kwamba sijasoma nalima tangawizi huku nikiendelea kuongea na wananchi wangu huku ..mpe mama hizi salamu ..
Mimi nalima tangawizi hapa kwa muda wa miaka sita tayari .kwanza pesa yenyewe ya hiki kiwanda ilishaanza kuliwa na tukimuita CAG lazima atagundua madudu mengi tu ..
sema kwa vile hawa ndugu zangu wa hapa kijijini bado hawajafunguka ila mimi nishaanza kupita nyumba hadi nyuma na huyu mama mwaka 2015 harudi ng'o

- Ujumbe umefika, hayo mengine ni siasa as usual cha muhimu ilikuwa somo kueleweka, na inaonyesha limeeleweka!

RESPECT!

William @ DSM City!
 
duuuu! Naona baada ya kuliwa pesa kijinga na watoto wa town dom na kushindwa uchaguzi sasa mama yako amekuhurumia na kukupa kazi ya kuwa mwenyekiti wa kurugenzi ya habari zinazohusu baba yako na mama yako pia ww ni msemaji mkuu wa familia yenu. Hongera kilaza wetu uliyeathirika ubongo due to uchaguzi na upepo wa bahari ya atlantic.

- Hakuna baharia anaweza kuliwa pesa, nia ilikuwa kuweka somo na kwa haya majibu yako naona somo limeeleweka, that is all I colud ask from a Great Thinker kama wewe,

Otrherwise, sina mpango wa kuingia kujivua nguo kama unavyofanya maana wote tutaonekana hatuna akili, ha! ha! ha! ha! ha!

William @DSM City!
 
Kumbukumbu zinaonyesha mama Anne Kilango Malecela alianza kudhoofika baada ya Sofia Simba kumlipua kuwa mumewe alichangiwa na Jeetu Patel hela ya kugombea urais
Akadai walipewa milioni 200 kama mchango wa arusi
Mambo aliyodhani ni siri akagundua yapo wazi
Akaamua asiendelee kurusha mawe wakati anaishi kwenye nyumba ya vioo
Toka wakati ule mashambulizi yake ni dhidi ya CDM na si mafisadi tena

- Baada ya hayo maneno alienda kugombea tena ubunge wa Same East na akashinda tena kwa kishindo, naona somo limeeleweka hapa, otherwise hatujivui nguo na maneno ya mitaani huku kwenye uwanja wa Great Thinkers! ha! ha! ha!


William @DSM City!
 
Anne Kilango na Stella Manyanya wamenifedhehesha sana. Sijui wanasimamia nini? Kelele nyingi lakini hawasimami kwenye mstari. Very unfortunate.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom