Anne Kilango Malecela awa bubu ghafla

Usilazimishe kila mtu aamini unachokoiamini, tunataka viongozi na si washabiki wasiokuwa tayari kujisimamia, mwache asimamie anachokiamini na zaidi asimamie maslahi ya Taifa na Jimbo lake na si hoja ya zito ingawa kwa jinsi ninavyoona hoja hii inamashiko sana ingawa si lazima kila mmoja aamini sawa na mimi.
 
Katika hali ya kustaajabisha Mbunge machachari wa CCM amekua bubu ghafla kwenye hoja ya kuwajibisha mawaziri wabadirifu kwa kutokoenekana katika mijadala hata ya kuweka saini kama kweli alikosa nafasi ya kuongea.

Je ni kweli mbunge huyu yupo tayari kumvisha Paka kengele au yupo tayari kutetea Paka asivikwe Kengele.Tuaomba afunguke kama kweli yupo na dhamira ya dhati ya kupambana na Mafisadi...

Msimamo wake upo wapi...Same Mashariki tunasubiri sauti yetu kupitia wewe....


Waliomfanyia vitu vyeusi 1995 wamempigia simu kwamba watamrudia tena akaona akae mbali na mchakato asije akafanyiwa tena vitu vyeusi. hawezi kufurukuta tena huyu
 
Yuko kimya Mwanae William alishidwa Ubunge pamoja na Campaign ya hali ya Juu, Usiku na Mchana bila kulala

Mzee John nae angeshinda tena ubunge pale mtera humo Bungeni tungepata complete Family BABA MAMA TOTO duh kweli Siasa kama ufalme haikosi mrithi.
 
I didn't trust this lady from beginning. Alipewa kifunga mdomo. Alinibos sana alipokuwa Rungwe juzijuzi
 
Hawezi lolote ameshindwa kusimamia miradi mbalimbali ktk jimbo lake imeliwa na watendaji hakuna usimamizi mazubut
 
Huyu mama aligawa rushwa katika uchaguzi mdogo wa Kiwira. Ushahidi wa hakika ninao. Nilimuamini sana kipindi flani, lakini nimegundua kwamba ni wale wale opportunists, wala simshangai kwa huu ukimya.
 
Huyu mama nilikuwa namheshimu lakini wizi wa kura aliokuwa anaufanya kule kiwira kwa kuwagawia akina mama hela na kanga kwenye jengo la saccos. Limemuumbua na zile awards alizowahi kuzipata ni kama zime exprire sasa hana la kupigia kelele. Anasubira vumbi litulie ndio aanze kelele zake. Huyu tunamjua. Subiri mtakuja msikia
 
Huyu mama nilikuwa namheshimu lakini wizi wa kura aliokuwa anaufanya kule kiwira kwa kuwagawia akina mama hela na kanga kwenye jengo la saccos. Limemuumbua na zile awards alizowahi kuzipata ni kama zime exprire sasa hana la kupigia kelele. Anasubira vumbi litulie ndio aanze kelele zake. Huyu tunamjua. Subiri mtakuja msikia

- Ameeenda US kutafuta malighafi za kiwanda kipya alichowajengea wananchi wa jimbo la Same East, ambacho kikifunguliwa next week kitasaidia ajira na kipato kwa wananchi wengi wa jimbo na mikoa ya karibu so, ni mambo ya priority between bunge na wananchi wa jimbo!

Willie @DSM City!
 
Hapa maslahi ya mtu kwanza, kama anavizia UWT hawezi kujitokeza kupinga ufisadi. Kipimo cha unafiki kinapatikana katika sakata hili!!:shut-mouth:
 
- Ameeenda US kutafuta malighafi za kiwanda kipya alichowajengea wananchi wa jimbo la Same East, ambacho kikifunguliwa next week kitasaidia ajira na kipato kwa wananchi wengi wa jimbo na mikoa ya karibu so, ni mambo ya priority between bunge na wananchi wa jimbo!

Willie @DSM City!

William!

Usitake kudanganya wana jamvi. Mali ghafi ya kiwanda hiki cha Tangawizi hapa Mamba au kiwanda kingine? Kama ni kiwanda cha tangawizi hapa Mamba, wewe na Mh. Kilango ni waongo wakubwa. Kiwanda hiki kilishakufa siku nyingi. Kilicho baki ni kudanganya umma ambao haupo hapa Mamba kwamba eti kuna Kiwanda cha Tangawizi. Kwanza wakulima wa tangawizi wote tulisha wafukuza kwa kusababisha ukame usio na kipimo hapa Mamba. Na sasa wamehamia maeneo ya Gonja Mpirani, Maore ikiwa ni pamoja na kuchangia kuharibu msitu wa hifadhi unao tenganisha Mpirani na Maore. Na tayari kumeshaanza kutokuelewana kati ya wakulima wa mpunga na wa tangawizi kwa kile kinachoonekana ni ukosefu wa maji kwa ajili ya kilino cha mpunga. Na wapo mbioni kufukuzwa na wananchi wa vijiji tajwa. Hata hivyo, wanapo vuna tangawizi zao, wanapeleka moja kwa moja kwenye masoko yenye bei kubwa na si kudanganywa eti na kiwanda cha tangawizi kilicho jaa ufisadi unao simamiwa na yule mama.

Mwisho, ningekushauri uwe unafabya utafiti kabla ya kutolea majibu habari usiyo kuwa na uhakika nayo.
 
- Ameeenda US kutafuta malighafi za kiwanda kipya alichowajengea wananchi wa jimbo la Same East, ambacho kikifunguliwa next week kitasaidia ajira na kipato kwa wananchi wengi wa jimbo na mikoa ya karibu so, ni mambo ya priority between bunge na wananchi wa jimbo!

Willie @DSM City!
Mali ghafi au vipuri vya kiwanda? Kama hicho kiwanda kinategemea malighafi kutoka @newyork city hakitufai inatakiwa ipatikane same tena kwa wakulima huo ni wizi tuu
 
William!

Usitake kudanganya wana jamvi. Mali ghafi ya kiwanda hiki cha Tangawizi hapa Mamba au kiwanda kingine? Kama ni kiwanda cha tangawizi hapa Mamba, wewe na Mh. Kilango ni waongo wakubwa. Kiwanda hiki kilishakufa siku nyingi. Kilicho baki ni kudanganya umma ambao haupo hapa Mamba kwamba eti kuna Kiwanda cha Tangawizi. Kwanza wakulima wa tangawizi wote tulisha wafukuza kwa kusababisha ukame usio na kipimo hapa Mamba. Na sasa wamehamia maeneo ya Gonja Mpirani, Maore ikiwa ni pamoja na kuchangia kuharibu msitu wa hifadhi unao tenganisha Mpirani na Maore. Na tayari kumeshaanza kutokuelewana kati ya wakulima wa mpunga na wa tangawizi kwa kile kinachoonekana ni ukosefu wa maji kwa ajili ya kilino cha mpunga. Na wapo mbioni kufukuzwa na wananchi wa vijiji tajwa. Hata hivyo, wanapo vuna tangawizi zao, wanapeleka moja kwa moja kwenye masoko yenye bei kubwa na si kudanganywa eti na kiwanda cha tangawizi kilicho jaa ufisadi unao simamiwa na yule mama.

Mwisho, ningekushauri uwe unafabya utafiti kabla ya kutolea majibu habari usiyo kuwa na uhakika nayo.


- Hizi bongo wanaita swagga, na wala sina shida ya kuhangaika kukujibu maana ni sate of time!, Mheshimiwa ameenda US, Minnesota kutafuta malighafi kwa ajili ya kiwanda ambacho kitafungulwia rasmi na Rais wa Jamhuri next week,

- Sina uhakika kama tupo one page, lazima upo ukurasa tofauti sana bro! Kajipange tena!


Willie @DSM City!
 
- Hizi bongo wanaita swagga, na wala sina shida ya kuhangaika kukujibu maana ni sate of time!, Mheshimiwa ameenda US, Minnesota kutafuta malighafi kwa ajili ya kiwanda ambacho kitafungulwia rasmi na Rais wa Jamhuri next week,

- Sina uhakika kama tupo one page, lazima upo ukurasa tofauti sana bro! Kajipange tena!


Willie @DSM City!

Mwili wako hauendani na matendo yako!
 
Huenda ni mkakati alioona ungemuwezesha kupata uwaziri!!!
Nadhani hakuwa anajua msimamo wa JK kuhusu sakata husika,aliogopa kumkwaza!
 
- Yupo Same tena kwenye matayarisho ya kufungua kiwanda kipya cha tangawizi!

William.

Mkuu,hoja ya awali haikuhusiana na swali wapi alipo ndugu Kilango kwa sasa.
Hoja ilikuwa ni zipi zaweza kuchukuliwa kama sababu za ukimya wake kadiri mada inavyoeleza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom