Anna Abdalah: Makanisa yamekuwa mengi

Anna Abdalah: Makanisa yamekuwa mengi

Status
Not open for further replies.
Tatizo ni madhehebu ya kikiristo,yanazuka kila siku mapya,ndio yeye akasema makanisa mengi,nakupa mfano,waweza kuta eneo moja ,ypo makanisa matatu mpaka manne,ni madhehebu tofauti,na hawa wote wanaabudu tofauti,waingiliani ibada zao,Mkiristo huyu haingii kanisa hili na yule haingii kanisa lile,na wote ni waafrika,wa Tanzania.
Tofauti katika uislamu,waislamu wote,wa Tanzania,na wageni waafrika kwa waarabu,wote wanaingia msikti mmoja.
mbona eid kila dhehebu husali siku yake?
 
kwani misikiti ipo mingapi mama ABDALAAHAH ALLAH?
Wadau,

Mistaken Identity!!???

Anna Margareth Abdallah (born July 26, 1940)

Nilisoma thread ya Haruna Maundi na Ali Hassan Mwinyi.

Usikubali kuchokozeka kirahisi.
 
Mimi ni Muislam,lakini
kw kias flan nakuballiana na hoja zako katika suala kama hilo,inaweza
kuwa kero hasa kwa wale wa upande wa pili,,

lakini pia na huu utaratibu wa kutuletea nyimbo za kumsifu bwana na
mapambio kwenye ma bar hapa mjin sasa ushakua kero,kwenye ulevi pia
wanaweka nyimbo za kuuonja utamu wa yesu kweli??
Tanzania raha saana,,,ha ha ha,,i love tanzania,,,
hata mimi hili la kupiga muziki wa injili kwenye bar huwa linaniboa sana, sielewi logic yake, tumefikia mahali kila kitu kitu kinageuzwa chepesi tu
 
Yeah_sio lazima aende Uarabuni
mkuu,..aende Mbeya kwa Wanyakyusa atakutana na akina
Mohamed,Omari,Juma,Abdallah and the like.......haya mambo yanahitaji
uelewa ili kujiridhisha kabla ya kurusha mawe mkuu.
kwa wanyakyusa utawakuta akina juma, yusuph, issa wengi tu lkini majina ya abdallah, mohamed au omary mie sjakutana nao
 
Asante Dada Anna ,Msema kweli ni kipenzi cha Mungu ,kama ni kweli umetamka hilo wengi tupo nawe kuna makanisa mengi Tanzania na kati ya hayo mengi yao hayafanyi mambo ya kuabudu ni vitega uchumi vya watu, ukiangalia hapa Zanzibar sasa kuna makanisa yanachomoza kama vile uyoga kila kukicha unajuiliza nini kimeajiri ?
 
Anajua concept ya freedom of worship?
Acha tu yaongezeke wao wajikite kuhakikisha hayavunji katiba!
 
Kwa kiasi fulani nakubaliana na huyu mama.
Nyumba za kuabudia zimekuwa zikijengwa ovyo bila mpangilo maalum, alafu unakuta wanapiga miziki sijui nini siku nzima. Yaani zimekuwa kero kwa kweli.
Mi nafikiri sheria ya ku regulate nyumba za ibada zitungwe. Yes tunataka Uhuru wa kuabudu, lakini basi tusibughuziane.

yaani mara nyingine unakuta kanisa ndani lina watu 2, lakini wamefungulia maspika mpaka mtaa wa tatu huko, ina bore sana

kwa hiyo wewe zile kelele za alfajili zinazohimiza "kumekucha"utafikiri tumeomba kuamshwa sawa tuu!wewe mbinafsi na unayeendekeza UDINI,acha hizo mambo.
 
Asante Dada Anna ,Msema kweli ni kipenzi cha Mungu ,kama ni kweli umetamka hilo wengi tupo nawe kuna makanisa mengi Tanzania na kati ya hayo mengi yao hayafanyi mambo ya kuabudu ni vitega uchumi vya watu, ukiangalia hapa Zanzibar sasa kuna makanisa yanachomoza kama vile uyoga kila kukicha unajuiliza nini kimeajiri ?

Acha yachomoze tu. Watu sio marobot wa kuwapangia hata ibada zao.
Vikiwa ni vitega uchumi na wateja wamekubali inakuuma nini?
 
hata mimi hili la kupiga muziki wa injili kwenye bar huwa linaniboa sana, sielewi logic yake, tumefikia mahali kila kitu kitu kinageuzwa chepesi tu
NEMAsis na wengine, naomba nieleweshwe hivi muziki wa injili ukipigwa ndani ya Bar kuna dhambi gani? na kama ni dhambi imeandikwa kitabu kipi cha biblia?
 
Last edited by a moderator:
ushauri wangu kwa wale walio na hoja kwamba makanisa ni sehemu ya kutengeneza pesa lakini hata wao hawana chochote mfukoni bali wanashinda wanapiga mihayo kwa nini na wao wasifanye mradi huu mzuri unaolipa?
Ninaamini kama makanisa yangelikuwa yanalipa kiasi ambacho tunataka kuaminishwa hapa basi kungelikuwa na kanisa kila baada ya nyumba moja. Kama unadhani ni rahisi hivyo kufungua kanisa na ukafanikiwa kupata pesa jaribu tu kwanza maana waliokuwa na mawazo hayo na wakajaribu woooote walishindwa! watu wasiandike mawazo yao tu ya kusadikika.
 
ushauri wangu kwa wale walio na hoja kwamba makanisa ni sehemu ya kutengeneza pesa lakini hata wao hawana chochote mfukoni bali wanashinda wanapiga mihayo kwa nini na wao wasifanye mradi huu mzuri unaolipa?
Ninaamini kama makanisa yangelikuwa yanalipa kiasi ambacho tunataka kuaminishwa hapa basi kungelikuwa na kanisa kila baada ya nyumba moja. Kama unadhani ni rahisi hivyo kufungua kanisa na ukafanikiwa kupata pesa jaribu tu kwanza maana waliokuwa na mawazo hayo na wakajaribu woooote walishindwa! watu wasiandike mawazo yao tu ya kusadikika.

Zama za uwazi hizi, mfumo wa biashara huria unataka biashara iwe wazi kwa wote.

Hata kama makanisa ni biashara, kwa nini serikali isifanye biashara hii iwe huru?

Kwa nini inataka kuweka vikwazo vingi kwa wajasiriamali tofauti kuingia katika biashara hii?

That is against the rules of free trade! Barriers to entry and exit are against free trade.

Tukisema wao washaanzisha makanisa yao na wanataka kuwaminyia wengine "kutoka" katika biashara ya kukusanya sadaka watakataa?

This is wrong any way you cut it.
 
Hawa ndio watu wanatakiwa wapumzike, kwa sababu wako bado kwenye analogi, tuko kwenye digitali sasa hivi
 
anna + Abdalah kazi ipoilikuwaje hapo?hata hapo hajaona kuwa hatakiwi kuongelea swala la udini hata kidogo maana yeye ni half cast
 
Simjui Moh ni nani lakini Uislam upo hata Adam kaukuta hapa duniani! Do not confuse Quran and Islam!! Muslims believes in INJILI,ZABURI,TAURATI and QURAN.

Pole sana kijana. Et uislam ulikuwepo tokea Adam, sasa kwanini Moh ni wa kwanza? Eti mnaamini Injili!! Hivi unafahamu maana ya Injili? Unafahamu kuwa Injili inakiri kuwa Yesu ni Mungu. Mbona unaleta burdani weye.

Unaweza nionyesha Injili kwenye Koran? Unaweza nionyesha Taurat kwenye Koran?!!!

Unafahamu kuwa Hiyo Korani kaleta Gibrel msaidizi wa Allah na si Allah. Unamfahamu msemaji mkuu katika Koran?
 
Where EMT at ?

I'm at Old Trafford.

Huyu mama wakati anahesabu hayo makanisa alijumuisha pia makanisa ya nyumbani? Kama vipi mwambieni huyo mama asilete za kuleta makanisa siyo majengo bali ni watu waaminio.

Naamini ni hivyo hivyo kwa Waislamu pia maana ni majuzi tuu wakati wa mapinduzi ya Misri, tuliona Waislamu wa huko wakiswali live katikati ya barabara bila kuguswa na polisi au washawasha. Hawakuhitajiji kwenda kwenye majengo ya msikiti kuswali.

Ajaribu kujiuliza mwenyewe mbona huwa wanasali/swali mle mjengoni kabla ya vikao vyao vya bunge, kwani ni jengo la kanisa/msikiti lile?

Kwa wale wanaofuata maandiko ya Bibilia, kwenye Agano la Kale kulikuwa hakuna majengo ya kuombea. "Naye alipotambua hilo, alikwenda moja kwa moja hadi nyumbani kwa Mariamu, mama yake Yohana aliyeitwa Marko pia, ambapo watu wengi walikuwa wamekusanyika pamoja, wakiomba" (Matendo 12:12).

"Wasalimuni Priska na Akwila pamoja na kanisa lililo nyumbani mwao" (Warumi 16:3-5).

"Wasalimuni ndugu walioko Laodikia, pamoja na Nimpa, na kanisa lililo nyumbani mwake (Wakolosai 4:15).

Na kwa dada yetu Afia, na Arkipo, mtenda kazi mwenzetu, na kwa kanisa lililo nyumbani mwako" (Filemoni mstari wa 2).

Hata Agano la Jipya ni vile vile. Yesu alisema kuwa "Mahali popote ambapo wawili au watatu wamekusanyika pamoja katika Jina langu, nipo katikati yao" (Mathayo 18:20).

Yesu hakusema chochote kuhusu mahali pa waamini kukutanika. Hata kama wapo waamini wawili tu, aliahidi kuwepo kama watakusanyika katika jina lake. Full stop, nukta!

Sasa huyu mama analeta gozi gozi wakati hata hajui maandiko yanasemaje? Huyu mama anaweza akaongoza mpango mzima wa kuvunja majengo yote ya makanisa nchini lakini makanisa bado yataendelea kuwepo majumbani mwa waamini, ikwezekana hata kwenye miili yao.

Sasa hapo itambidi awauwe kabisa ili kuyamaliza hayo makanisa. Kwa vile mtu akila nyama ya mtu ataendelea kula tuu, basi atageukia majengo ya misikiti na pale Waislamu watakapokuwa wanaswali barabarani, basi ataiangamiza miili yao.

Hebu mwambieni huyo mama aache gozi gozi, afanye kilichompeleka mjengoni. Asitupotezee muda tuko bize tunauguza waamini wa kule Old Trafford wengine wapo intensive care unit ati na hali zao ni mbaya sana.
 
You have lost your mind bwana mdogo,
Name Allah si geni katika jamii ile,Allah is just Arabic name which means God,even christians Arabs use the word Allah in their daily prayers,go and open arabic bible and see by yourslf,,

Anyway hapa si kwenye malumbano haya,tukutane kule kwenye jukwaa la dini...

Unajaribu kukimbia swali kuhusu jina Abdallah. Nivigumu sana kumtetea Allah ambaye aliabudiwa na pagans kabla ya kuzaliwa Moh. Ndio maana hata maana ya jina Abdallah unogopa kusema.
Inakuwaje Baba ya Moh aitwe Abdallah kabla ya Allah kuleta Uislam kupitia Moh ambaye ni mtoto wa Abdallah?
 
Simjui Moh ni nani lakini Uislam upo hata Adam kaukuta hapa duniani! Do not confuse Quran and Islam!! Muslims believes in INJILI,ZABURI,TAURATI and QURAN.

Kama uislam umemtangulia Adam basi ni yule nyoka ndio aliouleta maana alitupwa duniani kabla ya Adam.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom