Anna Abdalah: Makanisa yamekuwa mengi

Anna Abdalah: Makanisa yamekuwa mengi

Status
Not open for further replies.
Kwa kiasi fulani nakubaliana na huyu mama.
Nyumba za kuabudia zimekuwa zikijengwa ovyo bila mpangilo maalum, alafu unakuta wanapiga miziki sijui nini siku nzima. Yaani zimekuwa kero kwa kweli.
Mi nafikiri sheria ya ku regulate nyumba za ibada zitungwe. Yes tunataka Uhuru wa kuabudu, lakini basi tusibughuziane.

yaani mara nyingine unakuta kanisa ndani lina watu 2, lakini wamefungulia maspika mpaka mtaa wa tatu huko, ina bore sana
Mrembo Naona unachanganya mambo kweli. Hapa kuna hoja ya makanisa kuwa mengi na wewe umekuja na hoja ya makanisa kuwa mengi na kelele za waumini. Ok ni sawa sasa mbona kumbi za miziki na baa zimejaa huko mitaani kwetu na zinapiga miziki na hamzipigii kelele na zinafunguliwa zaidi na zaidi kila siku na nyie mnakuwa members wao na wale wa makanisa hawalalamiki?
Well, sikubaliani na kanisa kufanya disturbance kwa watu wengine lakini hilo halizuii kanisa kufunguliwa nyingi kama mabaa yanavyofunguliwa mengi. Shetwani ni kweli kwa sasa yuko kazini kupinga kile Mungu anafanya sasa...Kufuatilia maisha ya watu na kuwapunguza wasiende Jehanamu!
 
Last edited by a moderator:
Mrembo Naona unachanganya mambo kweli. Hapa kuna hoja ya makanisa kuwa mengi na wewe umekuja na hoja ya makanisa kuwa mengi na kelele za waumini. Ok ni sawa sasa mbona kumbi za miziki na baa zimejaa huko mitaani kwetu na zinapiga miziki na hamzipigii kelele na zinafunguliwa zaidi na zaidi kila siku na nyie mnakuwa members wao na wale wa makanisa hawalalamiki?
Well, sikubaliani na kanisa kufanya disturbance kwa watu wengine lakini hilo halizuii kanisa kufunguliwa nyingi kama mabaa yanavyofunguliwa mengi. Shetwani ni kweli kwa sasa yuko kazini kupinga kile Mungu anafanya sasa...Kufuatilia maisha ya watu na kuwapunguza wasiende Jehanamu!

Huyu mama italuwa anamaanisha madhehebu ya kikiristo yamekuwa mengi,kila siku linazuka dhehebu jipya.
 
Last edited by a moderator:
Mimi binafsi huwa Napata maudhi sana huku mitaani kwani usiku tunashindwa kulala yaani wote tunalazimishwa kuamka saa kumi na nusu alfajili kwa makelele ya "swala!!! swala!!! swala!!! amka, amka, kitanda chako ndilo kaburi lako, amka kumekucha!!!......" na pia zile za saaa mbili kasoro usiku. Watu tunapiga Safari lager zetu unasikia wallau wakibaru walahu wakibaru.

Kwani muda wa wa kuamka na kwenda kusali nania asiyeujua hadi kupigiana makelele na kutuharibia usingizi wetu.

Yaani natamani serikali wangelitunga sheria kuzuia matumizi ya spikas.


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!


Mimi ni Muislam,lakini kw kias flan nakuballiana na hoja zako katika suala kama hilo,inaweza kuwa kero hasa kwa wale wa upande wa pili,,

lakini pia na huu utaratibu wa kutuletea nyimbo za kumsifu bwana na mapambio kwenye ma bar hapa mjin sasa ushakua kero,kwenye ulevi pia wanaweka nyimbo za kuuonja utamu wa yesu kweli??

Tanzania raha saana,,,ha ha ha,,i love tanzania,,,
 
Samahanini naomba msinizodoe , ingawa najua hapa si mahali pake, kwa ufupi huyu mama atakuwa anasikiliza radio Clouds ambayo inaaharibu ubongo wa kizazi cha watanzania.
 
Hivi Mama Ana Abdallah ni dini gani? huyu si ni mke wa Mzee Pius Msekwa? ambae ni Mkatoliki? kuhusu kauli ya Mama namuunga mkono kwani TZ Makanisa yanaota kama uyoga! kila mtu anataka kujenga Kanisa ili afaidike na sadaka za Waumini mfano mwangalie Askofu Kakobe na wachungaji wengine wanavyokusanya pesa za waumini kila Jumapili na Jumamosi! hizi pesa zinaenda wapi? zinakaguliwa na wahasibu? Wa TZ hatuna budi kubadilika na Serikali ni lazima ichukue uamuzi mgumu kuhusu ujengaji holela wa Makanisa nchini!Watu hujenga kutokana na mahitaji! sasa leo si dhani kama waumini wamekosa Makanisa ya kuabudia mpaka tunatumia nguvu na fedha za Waumini bure kujengea Makanisa! utakuta kanisa liko tupu! halafu unajenga lingine aingie nani humo? MaMama Ana Abdallah nakuunga mkono na kuwaomba Wabunge wote wasio wadini wamuunge mkono!
Kadogoo mbona na misikiti inafunguliwa mingi zaidi mitaani?? mbona na nyumba anazotumia shetani zinaota kwa kasi pia???
 
Last edited by a moderator:
Hivi Mama Ana Abdallah ni dini gani? huyu si ni mke wa Mzee Pius Msekwa? ambae ni Mkatoliki? kuhusu kauli ya Mama namuunga mkono kwani TZ Makanisa yanaota kama uyoga! kila mtu anataka kujenga Kanisa ili afaidike na sadaka za Waumini mfano mwangalie Askofu Kakobe na wachungaji wengine wanavyokusanya pesa za waumini kila Jumapili na Jumamosi! hizi pesa zinaenda wapi? zinakaguliwa na wahasibu? Wa TZ hatuna budi kubadilika na Serikali ni lazima ichukue uamuzi mgumu kuhusu ujengaji holela wa Makanisa nchini!Watu hujenga kutokana na mahitaji! Leo si dhani kama waumini wamekosa Makanisa ya kuabudia mpaka tunatumia nguvu na fedha za Waumini bure kujengea Makanisa! utakuta kanisa liko tupu! halafu unajenga lingine aingie nani humo? MaMama Ana Abdallah nakuunga mkono na kuwaomba Wabunge wote wasio wadini wamuunge mkono!
 
Kadogoo mbona na misikiti inafunguliwa mingi zaidi mitaani?? mbona na nyumba anazotumia shetani zinaota kwa kasi pia???
Mkuu nimeuliza maswali mengi mbona nawewe unaniuliza swali kabla hujajibu yangu? naomba uwe mkweli!
 
Last edited by a moderator:
Mimi nina mawazo tofauti kwani ninavyowajua wanasiasa wetu wa nchi zinazoendelea,mawazo yao,uwezo wa wakufikiri,utayari wao na uchambuzi ni sawa nguruwe pori ambaye hatizami mbele anapokimbia nimpaka agonge mti ndo ajue kunakizuizi mbele.Kwa hiyo shangai maneno ya ANNA Abdallla kwani uwezo wake imeishia hapo kwa hoja.Lakini nawaliotuma msg nao ni sehemu ya tatizo kwani ANNA akichemka kwa kuwa ni mkristu si ukiristu ndo umechemka? jibu anna kachemka,Kwahiyo nasisi tuna maryenge ya kutizama mambo nasi pia ni tatizo.
Nimewasilikiliza wanasiasa wetu na mapungufu yao ya kuona kiini cha tatizo.Mimi naamini wengi wetu hatufikiri na kama tunafikiri hatufikiri sawasawa na kama tunafikiri sawasawa tunafikiri kwa kutumia matumbo yetu na miguu na siyo kichwa.Tusububiri na tuone kama matatizo yetu yataisha kwa kutunga sheria za kuzuia maneno ya uchochezi huku tukifikiri kwa miguu.
 
Mimi ni Muislam,lakini kw kias flan nakuballiana na hoja zako katika suala kama hilo,inaweza kuwa kero hasa kwa wale wa upande wa pili,,

lakini pia na huu utaratibu wa kutuletea nyimbo za kumsifu bwana na mapambio kwenye ma bar hapa mjin sasa ushakua kero,kwenye ulevi pia wanaweka nyimbo za kuuonja utamu wa yesu kweli??

Tanzania raha saana,,,ha ha ha,,i love tanzania,,,
Hapo ndio ushahidi tosha kwamba Wakristo ni wavumilivu sana hata mimi nachukizwa sana na tabia hiyo ila sina la kufanya, pata picha kama nyimbo za kaswida zingekuwa zinapigwa bar.....

Jibu unalo nadhani unafahamu dhahiri shahiri ni nini kingefuata, na hapo ndipo unapopata tofauti kubwa iliyopo kati ya wafuasi wa SAW na Jesus.
 
Mimi ni Muislam,lakini kw kias flan nakuballiana na hoja zako katika suala kama hilo,inaweza kuwa kero hasa kwa wale wa upande wa pili,,

lakini pia na huu utaratibu wa kutuletea nyimbo za kumsifu bwana na mapambio kwenye ma bar hapa mjin sasa ushakua kero,kwenye ulevi pia wanaweka nyimbo za kuuonja utamu wa yesu kweli??

Tanzania raha saana,,,ha ha ha,,i love tanzania,,,

Kwani hizo nyimbo wanaopiga ni waumini wachungaji au wamiliki wa bar.

kama unaona kero si uende kwenye bar wanazopiga kaswida.!!
 
Huyu mama kweli amezidi kuwa mlopokaji, kwa suala hili la kuona makanisa yamekuwa mengi ninanaanza kuona sasa zile athali za kulazwa uchi na wachawi pale Magu akiwa DC zimeanza kufanya kazi, anahitaji maombi ili mapando ya kichawi yang'oke la sivyo hali itaendelea kuwa mbaya kadili anavyozeeka!
 
da, mkuu mimi sina ufahamu juu ya hili jambo, ila ni vema kama ukanipa nami nikajua, na ni dini gani inayopewa kipaumbele hapo wizarani kwenye usajili kuliko nyingine?

Fanya researcha yako mkuu takuja jua tu! Nimefuatilia sana kitu hii
 
Huyu mama nazeeka vibaya. Vinginevyo ana mwathiriko fulani si bure. Juzi juzi hapa tena alitoa pumba eti wapinzani wasimkosoe spika kwa sababu bado anawapa nafasi za kuchangia as if ni favor yake. Leo tena anaibuka na upumbavu mwingine eti makanisa mengi.

Nadhani pia ccm hawana hoja za maana ndiyo maana wanatoa ush....z wa matumbo yao bungeni ili kutoonekana kwamba hawasemi.


Huyu mama akumbuke yaliyomkuta Mwanza. Asidhani yaliyomkimbiza Mwanza yanaweza kudhibitiwa bila Ukristo. Tena atafakari mara mia kabla hajaendelea na ujinga wake huo. Kama hana hoja, anyamaze.
 
Leo nilimsikiliza bungeni huyu mama akitoa wimbo mpya. Kwamba makanisa yamekuwa mengi na nadhani kwa kauli yake hiyo anahitaji yapunguzwe, sijui kiasi gani anajua mwenyewe. Jamani, kila siku tunaomba viongozi wetu hawa wa weigh out kauli zao kabla ya kuzitoa.

Hivi ngoja nimuulize tena mama Anna Abdalah, mbona sijawahi kusikia akilalamika kuwa vituo vya polisi vimekuwa vingi? Hivi anajua kazi za makanisa? Naona sasa anataka kuleta hoja kuwe na makanisa mangapi nchini??

Mama Anna kwa hili ulichemka kabisaaaaaa na tukisema ni udini unakusumbua utakataa? najua utakataa kwa kigezo cha majina yako lakini rohoni umejaza udini.
:angry:

wakati alikuwa mama ntilie alikuwa anamlilia BWANA MUNGU ALIYE HAI alipopewa mume JOHN MALECHELA kaona amemaliza kero zake, amesahau alipotoka kwa kuwa anamwaga chakula kwenye jalala usiku na mchana
 
Jamani mnakurupuka kujibu negatively kwa kuwa kasema mwana CCM,angesema mtu Wa CDM mngechangia positively.hiyo yote kutaka kura tu,fanyeni utafiti kwa alilosema,huenda lina ukweli.Acheni kupayuka ovyo,Kwani Yesu aliagiza pawe na utitiri Wa madhehebu yanayomfuata?Uovu Wa wanadamu ndio chanzo cha utitiri huo na hiyo ni kazi ya shetani wala msimsingizie Yesu kwa huo ushetani wenu.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom