nimeshawahi hadisiwa na babu yangu sasa hivi ni marehemu! Enzi hizo huyu mama alishawahi kugowambanisha marehemu mzee rashid mfaume kawawa na pius msekwa kidogo zipigwe kavukavu kisa alikua anate***! Na wote wawili! Aliyekuja kuwasulihisha ni marehemu baba wa taifa mzee julius nyerere, akawaita wote watatu, anna abdala, kawawa na msekwa, anna abdala akaulizwa kati ya hawa mabwana wawili ni yupi unamtaka? Anna abdala akasema namtaka msekwa, kawawa akasema namwachia mungu!
Baada ya hiyo story naomba kujua umri wa kustaafu ni miaka mingapi?