Anguko la CHADEMA lipo njiani

Anguko la CHADEMA lipo njiani

Tanzania siku hizi kila mtu ni mchambuzi wa mambo ya siasa kwamba hata Mamndenyi naye amekuwa mchambuzi mahiri!? hahahahaaa heri umasikini wa pesa kuliko umasikini wa akili.

mambo vipi mkuu Mwita!!? naOna tumepoteana kweli! kwema!!?
 
Last edited by a moderator:
Watanzania hatutaki chopa tunataka chama makini na viongozi makini uhuni uhuni wao na usanii wao wapeleke huko arusha na moshi shwaini kabisa chadema.
Ambako kuna watu waelewa kuliko Kalenga
 
Hivi na wewe umeenda shule? Nakerwa na mijitu inayojivika upofu kama wewe. Unatuletea udini hapa? Sasa umepost nini? hopeless. Zito alisaidia chama kushinda chaguzi ndogo ngapi? Acha upofu wa fikra. Zito kasaidia Mkoa wa Kigoma kupata wabunge wangapi wa Chadema? Ondoa upuuzi wako hapa.
 
Umemaliza?
Hivi na wewe umeenda shule? Nakerwa na mijitu inayojivika upofu kama wewe. Unatuletea udini hapa? Sasa umepost nini? hopeless. Zito alisaidia chama kushinda chaguzi ndogo ngapi? Acha upofu wa fikra. Zito kasaidia Mkoa wa Kigoma kupata wabunge wangapi wa Chadema? Ondoa upuuzi wako hapa.
 
Naona una mineno miiingi;
kwani ni nani kakukataza kufungua uzi wako?
Ungekuja na hoja ya kwanini nchi inaendelea kuteketeza mabilioni ya fedha kwa lidubwasha; IPTL ungeeleweka lakini siyo hii fitna. Heri ungehoji:
IPTL ni mdudu gani?
Ilifikaje nchini?
Akina nani wapo nyuma ya hii kampuni?
Ni nani aliyesaini mkataba tata wa IPTL serikalini?
Mazingira ya mkataba yana harufu ya rushwa?
Kwa nini serikali kupitia Tanesco imeendelea kulipa mabilioni yote hayo bila kutaka revise mkataba tata wa IPTL?
Kama serikali imelemewa na IPTL na sasa PAP wananchi wachukue hatua gani kwa umjula wao ili kunusuru kodi yao?
 
Assalamu Alaikum wana Bodi wote.

Hii kwa ajili ya watu wote wenye mapenzi mema na demokrasia ya hapa nyumbani.

CHADEMA kilikuwa na muonekano wa kuweza hata kuiongoza dola.Tatizo ni nini kimetokea kwa hawa watani zangu hadi kufikia hali hii.

Je, ni kwa ajili ya kuendesha chama kama kikundi cha dini?
Je, ni kwa ajili ya kumtosa yule mheshimiwa dogo wa kule kigoma?
Je, ni kwa ajili ya viongozi kung'ang'ania madarakani?
Au walijisahau wapi?
Najua kabisa watani zangu matusi ndiyo jadi yenu lakini ukweli utaendelea kusimama;

Nawasilisha.

Hapo kwenye blue text, hapo....!!!!
'Hati miliki' za hapo kwenye blue text zipo kwa jamaa 'zetu' wanaoonekana hapa kwenye picha....

4.+Livingstone+Lusinde+aka+Kibajaji+akihutubia+Makiba.jpg



peter-serukamba-april4-2013%281%29.jpg
 
Assalamu Alaikum wana Bodi wote. Hii kwa ajili ya watu wote wenye mapenzi mema na demokrasia ya hapa nyumbani. CHADEMA kilikuwa na muonekano wa kuweza hata kuiongoza dola.Tatizo ni nini kimetokea kwa hawa watani zangu hadi kufikia hali hii. Je, ni kwa ajili ya kuendesha chama kama kikundi cha dini? Je, ni kwa ajili ya kumtosa yule mheshimiwa dogo wa kule kigoma? Je, ni kwa ajili ya viongozi kung’ang’ania madarakani? Au walijisahau wapi? Najua kabisa watani zangu matusi ndiyo jadi yenu lakini ukweli utaendelea kusimama; Nawasilisha.
aslamu alikum mwenyewe, mambo ya CHADEMA yaache yalivyo hujui lolote kuhusu CDM, wee nenda kale NGURUWE kama kawaida yako, na fuatilia chama chenu cha kiboko haramu na kialishababu.
 
Ni watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri kama wewe ndo wanaojua kuwa Chadema inaanguka, subiri anguko lake hadi utazeeka utaiacha
 
CHADEMA hatujapoteza bali siku ahadi siku tunazidi kujengeka. MUNGU IBARIKI CHADEMA NIPO SIKU TUTASHIKA DOLA .
 
Njoo na 'another rap'
hii bado hujasomeka.
aslamu alikum mwenyewe, mambo ya CHADEMA yaache yalivyo hujui lolote kuhusu CDM, wee nenda kale NGURUWE kama kawaida yako, na fuatilia chama chenu cha kiboko haramu na kialishababu.
 
Umemaliza?
kaka umenena hapo, huyu anayejiita Mamndenyi hajui lolote kuhusu siasa, cc tunajaribu kuzuia udini lkn yy anaendekeza. Unajuwa mara ya mwisho Mamndenyi alilazwa MIREMBE kwahyo nahic hajapona vizur na alitoroka Mirembe.
 
Heee kwahiyo wakati mimi nazeeka wewe ndo unazaliwa au?
Ni watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri kama wewe ndo wanaojua kuwa Chadema inaanguka, subiri anguko lake hadi utazeeka utaiacha
 
Njoo na 'another rap' hii bado hujasomeka.
wenye akili , busara na hekima kama cc huwa hatumalizi ila wapuuzi, washenzi, mliolaaniwa kama nyie mnaochochea udini ndo mnamaliza kila kitu kwa kukosa hoja za msingi na maarifa.
 
ETATA
Haki ya nani wewe ni chizi;
Mirembe nayo ni kama hizo hizo nyingine.
kaka umenena hapo, huyu anayejiita Mamndenyi hajui lolote kuhusu siasa, cc tunajaribu kuzuia udini lkn yy anaendekeza. Unajuwa mara ya mwisho Mamndenyi alilazwa MIREMBE kwahyo nahic hajapona vizur na alitoroka Mirembe.
 
Last edited by a moderator:
Tuma salamu
uchague na another rap.
wenye akili , busara na hekima kama cc huwa hatumalizi ila wapuuzi, washenzi, mliolaaniwa kama nyie mnaochochea udini ndo mnamaliza kila kitu kwa kukosa hoja za msingi na maarifa.
 
mm naona opic yako imekaa kishabiki. ulipaswa uchambue kwanza chaguzi zimefanyikaje na mazingira yake kisha ndipo ulete maoni yako. hapo tungeweza kuchangia ila naona umekurupuka bila utafiti. no research no right to speak

Mazingira yalikuwaje? Mbona chopa zilikuwepo kulinda kura, makamanda kibao kutoka A town, na palikuwa na msemo bora kabisakabisa usemao,"piga kura linda kura," Haya sasa, mazingira gani mabaya! Na mlibishana na RPC kuhusu chopa na mwisho mkaruhusiwa kuzunguka nalo kukagua vituo vya kupigia kura! Sasa ulitaka mazingira gani? Au watu wote wajaze kura kwa Tendegu kwa nguvu??! Akili za kibavicha bana!
 
Back
Top Bottom