Anguko la CHADEMA lipo njiani

Anguko la CHADEMA lipo njiani

...Na huyo wa pili, yeye hakutaka 'longo-longo'..!!
Aliporomosha live 'sera' za CCM bungeni....!!!
Alitumia lile neno la ki-ingereza linaloanzia na 'F'..!!
Spika wa bunge na Mamndenyi wakajifanya kama vile hawajasikia...!!

Huyo wa pili kuna tetesi kuwa ni ahh sijui wanaitaje vile? Yaani mtu ambaye eeh! Kama kule Mombasa wanaita eeh! Aaa! Nimesahau tena, ila yule wa Uganda kapiga marufuku nini vile?


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Salaam, Picha yako kama ni yako unaonyesha u mwana mama, nijibu sababu ya CCM kumteka na kumpeleka ofisi za CCM na kumtesa na kumdhalilisha, kumpora simu mbili na fedha Paund 500 na Tsh 300,000.00 ikiwa siku moja kabla ya Uchaguzi, lengo lilikuwa nini kama sio kuwapoteza tension Chadema wamfikirie Mh Rose Kamili wawape nafasi nyinyi wenye tume ya Uchaguzi, Jeshi la Polisi na Green Guard nafasi ya kujipangia matokeo? (2) Kama Mwanamke, niambie ungejisikiaje kama yale yaliyompata Mama Rose Kamili yangekupata wewe au Mama yako Mzazi??
 
Kwani chama kimeanguka?
Kushindwa uchaguzi ni kuanguka?
Nakumbuka uchaguzi wa madiwani Arusha.

Wewr na wenzako wooote mnaodhani na kufikiri kuwa matukio ya kuwavua uanachama wasaliti na kushindwa ktk uchaguzi mdogo ni ishara ya kuanguka kwa chama makini kama CHADEMA mnaonesha mlivyo mbumbumbu.Mnahitaji kuwekwa chini ua uangalizi makini wa wana saikolojia wakuelimisheni kuwa huko ndiko kukua kwa chama. Someni principles za GROUP DYNAMICS.
Kinachfanywa na CHADEMA kinafanywa na jumuia yoyote inayoitwa kundi likiwemo CcM.
Wajinga kama wewe mtabaki kuimba nyimbo za wana magamba na kutiririkwa na mate kwa ,atumaini kuwa CHADEMA kitakufa, hakifi hadi nyote mfe
CHADEMA ni kundi la watu wenye nia njema na nchi hii,sababu tume ya Jaji Warioba imefuata maoni ua CHADEMA kufaanua mapendekezo ya kuandaa katika ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YENYE SERIKALI TATU .Kama hamjaelewa hadi hapo,mtaendelea kubaki na ndoto za serikali 2 wakati wenzenu tukiingia enzi za serikali 3 ndani ya NCHI MOJA?
 
Umeshakunywa maji taka huku
unaniharibia uzi wangu, shindwa pepo.

Huyo wa pili kuna tetesi kuwa ni ahh sijui wanaitaje vile? Yaani mtu ambaye eeh! Kama kule Mombasa wanaita eeh! Aaa! Nimesahau tena, ila yule wa Uganda kapiga marufuku nini vile?


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Arawa rudi kwenye uzi
mbona unahama.

Salaam, Picha yako kama ni yako unaonyesha u mwana mama, nijibu sababu ya CCM kumteka na kumpeleka ofisi za CCM na kumtesa na kumdhalilisha, kumpora simu mbili na fedha Paund 500 na Tsh 300,000.00 ikiwa siku moja kabla ya Uchaguzi, lengo lilikuwa nini kama sio kuwapoteza tension Chadema wamfikirie Mh Rose Kamili wawape nafasi nyinyi wenye tume ya Uchaguzi, Jeshi la Polisi na Green Guard nafasi ya kujipangia matokeo? (2) Kama Mwanamke, niambie ungejisikiaje kama yale yaliyompata Mama Rose Kamili yangekupata wewe au Mama yako Mzazi??
 
Mamandenyi unaweza ukawa uko sahihi na hoja yako lakini hii ni kutokana na haya

Kama ni kwa ajili ya ushindi wa Kalenga hii inaonyesha ni kiasi gani Watanzania wengi neon demokrasia ni kitendawili sasa sijui swala la Katiba Mpya litatupeleka wapi Mimi kwa mtazamo wangu wananchi wa Kalenga wamepiga kura kwa sympathy zaidi kuliko uhalisia zaidi..

Hii ni kujibu swali lako la kuondolewa kwa mmoja wa wanachadema na kuwahurumia wafiwa. Siku si nyingi wataligundua hilo.

Chadema wanahitaji busara zaidi katika kukiongoza chama...Viongozi wanatakiwa kujipanga upya. Wajaribu kuwapa uongozi wale wanaokubalika zaidi na jamii ndani ya Chadema.
 
Mamndenyi kudhalilisha kundi kubwa la akina mama, ninyi wanawake ndiyo wenye kuathirika zaidi na mfumo wa utawala wa CCM, kama wewe ni mama mwenye mtoto bila shaka umekwisha jione adha kubwa inayowakumba wajawazito wanapokwenda kujifungua, kuanzia unapopokelewa lazima uende na nyembe, beseni, gloves nk, ukifika labor una ombwa rushwa ya kuhudumiwa vizuri na wodini ndipo mnapolazwa mpaka chini! Hii ipo Tanzania nchi iliyo barikiwa na rasilimali nyingi za kila aina. Serikali inawasamehe kodi wanyonyaji lakini wewe rofa kajamba nani unatozwa kodi na kuombwa rushwa bila sababu za msingi.

Leo unashabikia mawakala (CCM) wa mabepari bila aibu! Mtoto wako unapoenda kumuandikisha darasa la kwanza, unadaiwa mlolongo wa michango ambayo inaliwa na hakuna wa kumuwajibisha mwenzake-wote wezi! Wanawake mmefanya suala la mahusiano kama sehemu ya kujipatia kipato kwa sababu hali ya maisha ni ngumu kuliko kawaida. Wanaume mmetufanya ATM mashine ili muweze kujikimu kimaisha. Hali hii imesababishwa na CCM lakini hujui.

Acha kuaibisha wanawake wenzako wanaokumbana na kibano cha CCM kila kukicha, badilika na ujitambue ili tuweke watu wanao weza kusimamia vizuri rasilimali za nchi kwa manufaa ya wananchi wote.
 
Hivi jamani kwani chadema ni chama au saccos ya mtei na familia yake? eeh hivi kumbe nyie hamjui, hebu ipatieni 2 years hii saccos kwishney
 
Hakika @mamndenyi umenena vyema.
Chadema kimekufa na mazishi yake yatafanyika chalinze na kuhudhuriwa na Dr.W.Slaa.

Hawa chadema wali zoea kuwasingizia wenzao kuwa wanauza majimbo sasa na jiuliza jimbo la Kalenga nani kaliuza kati ya hawa ? Je limeuzwa na Mbowe? Je limeuzwa na Bensoni ? Je limeuzwa na Mbowe? Je limeuzwa na Grace?
Tafadhali Makanda naomba mtwambie nani kati ya hao aliye uza jimbo?

Nakama chopa zingekuwa zina hesabiwa na bado wasingeweza kushinda uchaguzi.

Chadema wataendelea kupata kipigo hadi watakapo badilika na kuacha kuendesha chama kama tawi la Pride-Tanzania.
Ninge washauri wawatafute wazee wenye hekima wakawaombe msamaha walio wakosea.


Hivi kweli mliwadharau wana kalenga sana yani Lema ndiyo campaign manager wa uchaguzi serious kiasi kile? Kila mtu anajua Lema jamii hina mchukulia ni mtu ambaye hana hekima kabisa alaf mnapeleka Kalenga mnategemea nini?

Pia chadema waliwakosea sana wana Kalenga kwa kuwachagulia kiongozi wakati wao walisha mchagua waliye mhitaji,haikutosha wakawachukua vijana wa Arusha wakalinde kura za wana kalenga utafikiri wana kalenga sio watu makini au hawana macho.


R.I.P CHADEMA.
 
Mamndenyi kudhalilisha kundi kubwa la akina mama, ninyi wanawake ndiyo wenye kuathirika zaidi na mfumo wa utawala wa CCM, kama wewe ni mama mwenye mtoto bila shaka umekwisha jione adha kubwa inayowakumba wajawazito wanapokwenda kujifungua, kuanzia unapopokelewa lazima uende na nyembe, beseni, gloves nk, ukifika labor una ombwa rushwa ya kuhudumiwa vizuri na wodini ndipo mnapolazwa mpaka chini! Hii ipo Tanzania nchi iliyo barikiwa na rasilimali nyingi za kila aina. Serikali inawasamehe kodi wanyonyaji lakini wewe rofa kajamba nani unatozwa kodi na kuombwa rushwa bila sababu za msingi.

Leo unashabikia mawakala (CCM) wa mabepari bila aibu! Mtoto wako unapoenda kumuandikisha darasa la kwanza, unadaiwa mlolongo wa michango ambayo inaliwa na hakuna wa kumuwajibisha mwenzake-wote wezi! Wanawake mmefanya suala la mahusiano kama sehemu ya kujipatia kipato kwa sababu hali ya maisha ni ngumu kuliko kawaida. Wanaume mmetufanya ATM mashine ili muweze kujikimu kimaisha. Hali hii imesababishwa na CCM lakini hujui.

Acha kuaibisha wanawake wenzako wanaokumbana na kibano cha CCM kila kukicha, badilika na ujitambue ili tuweke watu wanao weza kusimamia vizuri rasilimali za nchi kwa manufaa ya wananchi wote.

acha uongo bana wanawake wenyewe ndio sisi tuko ccm, na ccm imetufanyia mengi..mfano mimi imenisomesha, imenipa kazi na tena nzuri tu, sasa kwanini niichukie ccm..nyie chadema ndio mmesaidia nini kazi kuembeza chopa tu huku watu mnaowahutubia hawana we unafikiri hiyo chopa ndio utawavuta?
 
Kila mtu akiandika kinyume Na CHADEMA Mnamuita buku7.Humjui huyo kama ni mwanachama wenu

hueleweki una maana gani kusema anguko la CHADEMA limetimia ni kwa sababu wanaacha CCM iendelee kubaka watu katika CHAGUZI ama ni kwa sababu polisi inawaback sana magamba?
ndio maana huyu kakoswa imani kaona mnalipwa bok 7
 
Anguko la CHADEMA unalipimaje? kwa kushidwa ujaguzi karenga au?

Kwa hiyo uwezo wa chadema wa kuchua dola mna upimaje kama si ushindi wa kwenye majimbo?
chadema sisi tuna sema kimekufa sababu tuu hata ukiangalia kwenye uchaguzi wa madiwani kwenye kata 27 wamepata 3, leo hii kati ya kura 28 na ushee wamepata 5000.

Na tukichukua hizi kura tukazigawa kila kata na tuka ufanya huu uchaguzi wa Kalenga kuwa wa madiwani Chadema hisingepata diwani hata mmoja.

Hii ni aibu kwa chama kinacho sema kinachukua dola 2015 labda wanaongelea dola ya marekani.

Hivyo basi chadema kimekufa.

R.I.P CHADEMA.
 
kumbe unaleta story ni nani alikuambia imenunuliwa?
au unajipendekeza upewe buku 7
 
Back
Top Bottom