BIG RESULTS NOW
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 673
- 36
Nyie malizeni yote lakini nawaambia Lowasa ndio Rais 2015 period.
wewe ajuza huwa nakushangaa sana unavyojidhalilisha kwa vijana wadogo ambao unawazaa mara mbiliMnakimbia mapori mnataka ajira ambazo hazipo;
njoo huku niliko nikutatie hata miguu sabini kwa sabini ulime ufuta.
wewe ajuza huwa nakushangaa sana unavyojidhalilisha kwa vijana wadogo ambao unawazaa mara mbili
Kwanza nikupongeze kwa uchambuzi wako murua uliondika ni ukweli mtupu, ni kweli anguko la Chadema limetimia.
Hapo kwenye blue text, hapo....!!!!
'Hati miliki' za hapo kwenye blue text zipo kwa jamaa 'zetu' wanaoonekana hapa kwenye picha....
![]()
![]()
huyo wa kwanza hapo anaporomosha matusi
Wewe mwanamke si utafute bwana akuoe kuliko kila saa kushinda hapa na habari za chadema na udini?Assalamu Alaikum wana Bodi wote.
Hii kwa ajili ya watu wote wenye mapenzi mema na demokrasia ya hapa nyumbani.
CHADEMA kilikuwa na muonekano wa kuweza hata kuiongoza dola.Tatizo ni nini kimetokea kwa hawa watani zangu hadi kufikia hali hii.
Je, ni kwa ajili ya kuendesha chama kama kikundi cha dini?
Je, ni kwa ajili ya kumtosa yule mheshimiwa dogo wa kule kigoma?
Je, ni kwa ajili ya viongozi kungangania madarakani?
Au walijisahau wapi?
Najua kabisa watani zangu matusi ndiyo jadi yenu lakini ukweli utaendelea kusimama;
Nawasilisha.
Assalamu Alaikum wana Bodi wote.
Hii kwa ajili ya watu wote wenye mapenzi mema na demokrasia ya hapa nyumbani.
CHADEMA kilikuwa na muonekano wa kuweza hata kuiongoza dola.Tatizo ni nini kimetokea kwa hawa watani zangu hadi kufikia hali hii.
Je, ni kwa ajili ya kuendesha chama kama kikundi cha dini?
Je, ni kwa ajili ya kumtosa yule mheshimiwa dogo wa kule kigoma?
Je, ni kwa ajili ya viongozi kungangania madarakani?
Au walijisahau wapi?
Najua kabisa watani zangu matusi ndiyo jadi yenu lakini ukweli utaendelea kusimama;
Nawasilisha.
yaelekea wewe hakulala nyumbani, asubuhi hii unawashwa na chadema? badala ya kuzungumzia kuhusu katiba mpya na mkanganyiko uliotokea jana wewe uaanza na Chadema. Kwani hawara yako amekuambia nini kuhusu rasilimali za nchi hii zinavyoporwa na Maccm? kweli wewe ni wa mgombani
aliyekuambia wote tunajua salamu ya kigaidi ni ninani wengine hatuna dini hapo ndipo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia majangaassalamu alaikum wana bodi wote.
Hii kwa ajili ya watu wote wenye mapenzi mema na demokrasia ya hapa nyumbani.
Chadema kilikuwa na muonekano wa kuweza hata kuiongoza dola.tatizo ni nini kimetokea kwa hawa watani zangu hadi kufikia hali hii.
Je, ni kwa ajili ya kuendesha chama kama kikundi cha dini?
Je, ni kwa ajili ya kumtosa yule mheshimiwa dogo wa kule kigoma?
Je, ni kwa ajili ya viongozi kungangania madarakani?
Au walijisahau wapi?
Najua kabisa watani zangu matusi ndiyo jadi yenu lakini ukweli utaendelea kusimama;
nawasilisha.
Wewe mwanamke si utafute bwana akuoe kuliko kila saa kushinda hapa na habari za chadema na udini?
aliyekuambia wote tunajua salamu ya kigaidi ni ninani wengine hatuna dini hapo ndipo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia majanga