Anguko la CHADEMA lipo njiani

Anguko la CHADEMA lipo njiani

Assalamu Alaikum wana Bodi wote.
Hii kwa ajili ya watu wote wenye mapenzi mema na demokrasia ya hapa nyumbani.
CHADEMA kilikuwa na muonekano wa kuweza hata kuiongoza dola.
Tatizo ni nini kimetokea kwa hawa watani zangu hadi kufikia hali hii.
Je, ni kwa ajili ya kuendesha chama kama kikundi cha dini?
Je, ni kwa ajili ya kumtosa yule mheshimiwa dogo wa kule kigoma?
Je, ni kwa ajili ya viongozi kung'ang'ania madarakani?
Au walijisahau wapi?
Najua kabisa watani zangu matusi ndiyo jadi yenu lakini ukweli utaendelea kusimama;
Nawasilisha.

Madam Mamndenyi watanzania wamegutuka kuwa hii ni SACCOS ya kilaghai ukizingatia UPATU umeshawafanya sana vibaya miaka ya nyuma.eg DECI
 
Mamndenyi , Mwanasiasa wa kiingereza anayeitwa Harold Wilson alishawahi kusema, A week is a long time in politics.

CHADEMA walikuwa wanabebwa na siasa za uwongo, majungu na kilaghai ambazo zilikuwa zinatumia lift kuwafikia wananchi huku ukweli ukitumia ngazi.

Kwa sasa ukweli umefika kwa wananchi na matokeo ndiyo haya tunayoshuhudia.

Kuna viongozi wengine waridiriki mpaka kwenda London na kupiga picha mbele ya helikopta na kuudanganya umma kuwa wameenda kununua helikopta katika mwendelezo wao wa siasa za uwongo na ulaghai.

It's time to catch up with reality.

Hebu waulize, hiyo helikopta walinunua?.

attachment.php


Thread yake ilikuwa hii,
 
Kinachowamaliza ndio hiki;
hamjakomaa kisiasa;
hivi unafikiria kuwa naogopa matusi mimi?

yaelekea wewe hakulala nyumbani, asubuhi hii unawashwa na chadema? badala ya kuzungumzia kuhusu katiba mpya na mkanganyiko uliotokea jana wewe uaanza na Chadema. Kwani hawara yako amekuambia nini kuhusu rasilimali za nchi hii zinavyoporwa na Maccm? kweli wewe ni wa mgombani
 
Helkopta za kufanyia kampeni kwa nchi yetu ni upuuuzi na uzushi mtupu;
tena zinawatisha watu wakijua kuwa ndo wameshavamiwa;

Akina lema na wenzie wanaenda kujishoo huko majuu na kulia lia njaa zao hawana jipya.

Mamndenyi , Mwanasiasa wa kiingereza anayeitwa Harold Wilson alishawahi kusema, A week is a long time in politics.

CHADEMA walikuwa wanabebwa na siasa za uwongo, majungu na kilaghai ambazo zilikuwa zinatumia lift kuwafikia wananchi huku ukweli ukitumia ngazi.

Kwa sasa ukweli umefika kwa wananchi na matokeo ndiyo haya tunayoshuhudia.

Kuna viongozi wengine waridiriki mpaka kwenda London na kupiga picha mbele ya helikopta na kuudanganya umma kuwa wameenda kununua helikopta katika mwendelezo wao wa siasa za uwongo na ulaghai.

Hebu waulize, hiyo helikopta walinunua?.

attachment.php


Thread yake ilikuwa hii,
 
Mamndenyi , Mwanasiasa wa kiingereza anayeitwa Harold Wilson alishawahi kusema, A week is a long time in politics.

CHADEMA walikuwa wanabebwa na siasa za uwongo, majungu na kilaghai ambazo zilikuwa zinatumia lift kuwafikia wananchi huku ukweli ukitumia ngazi.

Kwa sasa ukweli umefika kwa wananchi na matokeo ndiyo haya tunayoshuhudia.

Kuna viongozi wengine waridiriki mpaka kwenda London na kupiga picha mbele ya helikopta na kuudanganya umma kuwa wameenda kununua helikopta katika mwendelezo wao wa siasa za uwongo na ulaghai.

It's time to catch up with reality.

Hebu waulize, hiyo helikopta walinunua?.

attachment.php


Thread yake ilikuwa hii,

Chalinze waje hata na punda tunawasubiri
 
we bibi kalenga si mmetetea jimbo lenu kwa nini unataka kufanya ionekane kama vile mmechukua jimbo la cdm!!!
 
Hatutaki waanguke tunataka wawe wazalendo na kutii mamlaka mambo yao ya kihuni waachane nayo
ni kweli wanafanya mambo ambayo kwa tafsiri ya magamba yanaonekana ya kihuni; mambo yenyewe kwa uchache ni kama ifuatavyo;
1. Kuhamasisha wananchi watanzania wawe walizi wa rasilimali zao
2. Kukemea Ufisadi ulioimaliza hii nchi kama EPA,MEREMETA, RICHMOND, USAFIRISHAJI WA TWIGA, UWINDAJI HARAMU NK.
3. IMEMWAAJIBISHA MAFISADI, MPAKA LEO MAWAZIRI WANABADILISHWA KILA WAKATI.
4. IMEPIGANIA KATIBA MPYA..MPAKA SASA NDIYO INAYOTENGENEZWA
ni hayo tu kwa uchache ambayo yanaonekana ni ya kihuni chadema inafanya.
 
Mingoi na mwisho wa hii deci ni kila mmoja kudai mafungu yake;
hapo ndipo mambo yatakuwa hadharani.
Madam Mamndenyi watanzania wamegutuka kuwa hii ni SACCOS ya kilaghai ukizingatia UPATU umeshawafanya sana vibaya miaka ya nyuma.eg DECI
 
Last edited by a moderator:
yaelekea wewe hakulala nyumbani, asubuhi hii unawashwa na chadema? badala ya kuzungumzia kuhusu katiba mpya na mkanganyiko uliotokea jana wewe uaanza na Chadema. Kwani hawara yako amekuambia nini kuhusu rasilimali za nchi hii zinavyoporwa na Maccm? kweli wewe ni wa mgombani

Very typical of wanazi wa CDM. Badala ya kujibu na kuchambua hoja matusi yanaanza...
 
Assalamu Alaikum wana Bodi wote.
Hii kwa ajili ya watu wote wenye mapenzi mema na demokrasia ya hapa nyumbani.
CHADEMA kilikuwa na muonekano wa kuweza hata kuiongoza dola.
Tatizo ni nini kimetokea kwa hawa watani zangu hadi kufikia hali hii.
Je, ni kwa ajili ya kuendesha chama kama kikundi cha dini?
Je, ni kwa ajili ya kumtosa yule mheshimiwa dogo wa kule kigoma?



Je, ni kwa ajili ya viongozi kung'ang'ania madarakani?
Au walijisahau wapi?
Najua kabisa watani zangu matusi ndiyo jadi yenu lakini ukweli utaendelea kusimama;







Nawasilisha.
Sio lazima kupost, unaweza kuchangia kwa wenzako wanaopost kamba za kueleweka afu ukaongeza idadi za post na rep
power. Kamba haieleweki mamdenyi!! review
 
Hakuna wanachokifanya;
Hivi ukiwa unaruka huko angani ha helkopta utawaona wapi hao wananchi ili usemezane nao?

ni kweli wanafanya mambo ambayo kwa tafsiri ya magamba yanaonekana ya kihuni; mambo yenyewe kwa uchache ni kama ifuatavyo;
1. Kuhamasisha wananchi watanzania wawe walizi wa rasilimali zao
2. Kukemea Ufisadi ulioimaliza hii nchi kama EPA,MEREMETA, RICHMOND, USAFIRISHAJI WA TWIGA, UWINDAJI HARAMU NK.
3. IMEMWAAJIBISHA MAFISADI, MPAKA LEO MAWAZIRI WANABADILISHWA KILA WAKATI.
4. IMEPIGANIA KATIBA MPYA..MPAKA SASA NDIYO INAYOTENGENEZWA
ni hayo tu kwa uchache ambayo yanaonekana ni ya kihuni chadema inafanya.
 
Akili mgando, pole zako.
Sio lazima kupost, unaweza kuchangia kwa wenzako wanaopost kamba za kueleweka afu ukaongeza idadi za post na rep
power. Kamba haieleweki mamdenyi!! review
 
Kwanza nikupongeze kwa uchambuzi wako murua uliondika ni ukweli mtupu, ni kweli anguko la Chadema limetimia.

Hahahahaaaa.. vipofu bwana, eti uchambuzi murua.. Hii kweli mahaba nitese. Mtasubiri sana hilo anguko na badala yake mtajikuta mnaanguka nyie.
 
Back
Top Bottom