Kazuri Kadada
JF-Expert Member
- Jul 8, 2014
- 536
- 435
Angola - KabindaSavimbi wa wapi?
Angola - KabindaSavimbi wa wapi?
Umemikumbusha mwaka 1998Angola - Kabinda
Upo deep sana kwa siasa za AfrikaFrancophones wanamshikamano sana, ile 2012 JK alifanya umafia sana, haswa kupata kura za nchi za kusini MWA afrika, na nchi kama haswa Congo, Rwanda, Burundi, Mozambique na Angola.
Nchi za Anglophone hazina mshikamano imara na hiyo inatokana na kuwa nyingi ya hizo nchi marais wake wanafanya chaguzi na kubadilishana madaraka tofauti na nchi kama Cameroon, Congo Brazzaville, Chad nk
Hakika wewe ni mzalendo (Pan Africanist)Naipenda historia ya Afrika
Mmarekani fekiSamora alikuwa wa Angola wee Soja acha ushamba
I understood you wellFrancophones wanamshikamano sana, ile 2012 JK alifanya umafia sana, haswa kupata kura za nchi za kusini MWA afrika, na nchi kama haswa Congo, Rwanda, Burundi, Mozambique na Angola.
Nchi za Anglophone hazina mshikamano imara na hiyo inatokana na kuwa nyingi ya hizo nchi marais wake wanafanya chaguzi na kubadilishana madaraka tofauti na nchi kama Cameroon, Congo Brazzaville, Chad nk
Huyo jamaa ni tapeli tu wa hapa mjini na hana Umarekani wowote ule mkuuMmarekani feki
Umetoa taarifa polisi juu ya utapeli wake?Huyo jamaa ni tapeli tu wa hapa mjini na hana Umarekani wowote ule mkuu
Atoe taarifa wapi. Huyo anajua kulalamika tuUmetoa taarifa polisi juu ya utapeli wake?
Mtoto wa kiume kupenda kulalamika huo ni udadaAtoe taarifa wapi. Huyo anajua kulalamika tu
Mwenzio anajisomea ila wewe unakalia kujirembaUpo deep sana kwa siasa za Afrika
Una uhakika? Wewe ni CUF?Ndio Africa hatuna chetu tunategemea colonial masters wetu
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Sio poa kumsema vibaya mwenzioMwenzio anajisomea ila wewe unakalia kujiremba
Tena ni udada ule wa kiwango cha lami heheheeeMtoto wa kiume kupenda kulalamika huo ni udada
Analalamika kama shabiki wa simbaAtoe taarifa wapi. Huyo anajua kulalamika tu
Chiku, yule shoga yako yupo wapi siku hizi?Analalamika kama shabiki wa simba
Mbona kama vile wewe sikuelewi elewi mkuuChiku, yule shoga yako yupo wapi siku hizi?