Antetokounmpo
JF-Expert Member
- Feb 5, 2020
- 1,242
- 1,997
Kwenye umeme how? Hebu elezea kidogoUfaransa inaitegemea Chad kinishati, Bila Chad Ufaransa haina Umeme, Bila Umeme Nchi haiwezi kwenda..
Utafikiria haya ninayokwambia ni uongo lakini hizo habari nimezipata kwa mshika fedha wa Balozi fulani katika kitengo cha Misaada kwa Nchi za Afrika..
Afrika tunaiendesha Ulaya kwa Mambo mengi