Binti Abdullah
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 653
- 536
Tena wanatukana bila kujua kama humu tupo sisi bibi zaoMatusi sijui huwa yanawafaa nini hawa vijana wa kisasa?
Tena wanatukana bila kujua kama humu tupo sisi bibi zaoMatusi sijui huwa yanawafaa nini hawa vijana wa kisasa?
Hahahaha sasa mtu kama wewe una ubibi gani?Tena wanatukana bila kujua kama humu tupo sisi bibi zao
Shikamoo bibiTena wanatukana bila kujua kama humu tupo sisi bibi zao
Hii Nchi Samia ameifanyia mambo makubwa saaana huyu mamaShikamoo bibi
Hii Nchi inahitaji mtu jasiri kama Rais SamiaHii Nchi Samia ameifanyia mambo makubwa saaana huyu mama
Samia anajenga stiglers gorge ambayo ilimshinda mkoloni. Huyu mama ni ngangariHii Nchi inahitaji mtu jasiri kama Rais Samia
Rais Samia hakuhitaji kupiga kampeni mwaka jana 2020, hata angekaa tu ofisini lazima angechaguliwa kwa kishindo kwa maana uwezo wake unambeba.Samia anajenga stiglers gorge ambayo ilimshinda mkoloni. Huyu mama ni ngangari
sisi Watanzania tunamuunga mkono Rais Samia kupinga ubeberu na kutetea Wanyonge.Rais Samia hakuhitaji kupiga kampeni mwaka jana 2020, hata angekaa tu ofisini lazima angechaguliwa kwa kishindo kwa maana uwezo wake unambeba.
Wale Mabeberu ambayo Lissu aliyokuwa anayetetea bungeni umesahau? Kama sio Rais Samia na JPM madini yetu yasingekuwepo.sisi Watanzania tunamuunga mkono Rais Samia kupinga ubeberu na kutetea Wanyonge.
Rais Samia tangia akiwa waziri katika wizara mbalimbali hajawai kuwa na mshindani katika kariba yake ya utendaji.Wale Mabeberu ambayo Lissu aliyokuwa anayetetea bungeni umesahau? Kama sio Rais Samia na JPM madini yetu yasingekuwepo.
Rais Samia amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka jana 2020 kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena samia 2025.Rais Samia tangia akiwa waziri katika wizara mbalimbali hajawai kuwa na mshindani katika kariba yake ya utendaji.
Rais Samia ameweka rekodi ya kupeleka umeme kila kijiji Tanzania Hii haijawahi kutokea kwa Africa Ahsante Samia kwa kuwatumikia Watanzania.Rais Samia amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka jana 2020 kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena samia 2025.
Rais Samia ameweka rekodi ya kupeleka umeme kila kijiji Tanzania Hii haijawahi kutokea kwa Africa Ahsante Samia kwa kuwatumikia Watanzania.
Asante Rais Samia wa ushujaa wako na Mafisadi lazima yanune.Rais Samia ameweka rekodi ya kupeleka umeme kila kijiji Tanzania Hii haijawahi kutokea kwa Africa Ahsante Samia kwa kuwatumikia Watanzania.
Mabeberu waje washuhudie maendeleo yanayoletwa na Rais Samia.Asante Rais Samia wa ushujaa wako na Mafisadi lazima yanune.
Ni aibu kubwa kumpinga Rais Samia kwa uzalendo anaouonesha.Mabeberu waje washuhudie maendeleo yanayoletwa na Rais Samia.
Samia tunataka maendeleo zaidi Rais wetu kipenzi. We love you.Ni aibu kubwa kumpinga Rais Samia kwa uzalendo anaouonesha.
Samia miaka mitano tena .ameleta mabadiliko makubwa huyu mama.Samia tunataka maendeleo zaidi Rais wetu kipenzi. We love you.
Viongozi wa bara la Ulaya na Asia kama vile Waziri mkuu wa India Narendra anamkubali sana Rais Samia.Samia miaka mitano tena .ameleta mabadiliko makubwa huyu mama.