Anglophone Vs Francophone Africa: Harufu ya mpasuko wa kisiasa ndani ya Umoja wa Afrika (AU)

Uhuru, Umoja, Haki kwa wote ndio misingi ya utawala Bora, ndio misingi ya maendeleo katika nchi

Mawazo ya Wengi ni mtaji kwa Taifa..

Bahati nzuri najitambua, mimi sio mpenzi wala mwanachama wa Chama chochote cha Siasa

Mimi ni Mtanzania

Nchi za Afrika chini ya jangwa la Sahara, hakuna Siasa Kuna kuoneana

Waafrika Sheria wanazitunga Wenyewe wazipinga Wenyewe

Wanauwana kwa sheria waliozitunga Wenyewe
Mkuu, nikushauri tu. Kwa vile umejinasibu Kujitambua, ni vema sasa ukatafakari upya tafsiri uliyonayo kichwani juu ya dhana ya neno Haki, Uhuru na Maendeleo.
Hofu yangu in kuwa Utambuzi wako umejaa hila zilizojificha kwenye maneno matamu kinywani ya Haki, Uhuru na Maendeleo.

Jitafakari Upya.
 
Waafrika ni sub human, Binaadamu tulilokuwa bado hatujakamilika kuumbwa

Yaliyotokea Tanzania wakati wa Uchaguzi ndio yanayotokea Uganda wakati wa Uchaguzi.
Hii Mindset ndio adui yetu Mkuu. Tunashindwa kujivunia yetu badala yake tunajilaani kwa kutofanya wakoloni wetu wafanyavyo. Huu ni Utumwa mbaya sana.

Ni makosa kufikiri kuwa tunawajibu wa kufanya kila kinachofanyika kwa wengine.
 
Mkuu, nikushauri tu. Kwa vile umejinasibu Kujitambua, ni vema sasa ukatafakari upya tafsiri uliyonayo kichwani juu ya dhana ya neno Haki, Uhuru na Maendeleo.
Hofu yangu in kuwa Utambuzi wako umejaa hila zilizojificha kwenye maneno matamu kinywani ya Haki, Uhuru na Maendeleo.

Jitafakari Upya.
HAKI,UHURU,MAENDELEO mbona hayo maneno yako wazi,Haina haja ya kutafakari,au kunifanya mimi nijitafakari

Hivi hapa kwetu Tanzania hayo maneno yanatumiwa kivitendo?

UHURU sio kupandisha bendera tu,..

MAENDELEO sio kujenga flyingover,wakati wagonjwa wanalala chini Mahospitalini,Maiti zinadaiwa malipo,zitoke hospitalini ili zikazikwe..

HAKI ni uwezo wa Mtanzania kuwa na uhuru wa kuchagua nani awaongoze,,uhuru wa kufikiri,uhuru wa kuamua..nk

Je hayo yote yanapatikana Tanzania

Tafakari
 
HAKI,UHURU,MAENDELEO mbona hayo maneno yako wazi,Haina haja ya kutafakari,au kunifanya mimi nijitafakari

Hivi hapa kwetu Tanzania hayo maneno yanatumiwa kivitendo?

UHURU sio kupandisha bendera tu,..

MAENDELEO sio kujenga flyingover,wakati wagonjwa wanalala chini Mahospitalini,Maiti zinadaiwa malipo,zitoke hospitalini ili zikazikwe..

HAKI ni uwezo wa Mtanzania kuwa na uhuru wa kuchagua nani awaongoze,,uhuru wa kufikiri,uhuru wa kuamua..nk

Je hayo yote yanapatikana Tanzania

Tafakari
Mkuu, katika Utambuzi hupaswi sema hakuna haja ya kutafakari. Hakuna uhalali wa kusema hili liko wazi. Dunia iko full of illusions/Viini Macho.
Unachofikiri leo kuwa ni werevu sana chaweza kuwa ndio upumbavu uliokomaa, na ule unaofikiri ni upumbavu waweza kuwa ni werevu.

Jipe muda tena, tafakari upya dhana bebwa na huo msamiati wa HAKI, UHURU na MAENDELEO. Mimi naona Hila na Uovu uliomo.

Wakati unatafakari hayo, ondoa malalamiko, mapenzi, makovu, visasi, kutendwa, na hisia zozote. Ujikane mwenyewe kwanza, imani yako, experience yako, maisha yako, nk

Nikutakie Tafakari njema!
 
Mkuu, katika Utambuzi hupaswi sema hakuna haja ya kutafakari. Hakuna uhalali wa kusema hili liko wazi. Dunia iko full of illusions/Viini Macho.
Unachofikiri leo kuwa ni werevu sana chaweza kuwa ndio upumbavu uliokomaa, na ule unaofikiri ni upumbavu waweza kuwa ni werevu.

Jipe muda tena, tafakari upya dhana bebwa na huo msamiati wa HAKI, UHURU na MAENDELEO. Mimi naona Hila na Uovu uliomo.

Wakati unatafakari hayo, ondoa malalamiko, mapenzi, makovu, visasi, kutendwa, na hisia zozote. Ujikane mwenyewe kwanza, imani yako, experience yako, maisha yako, nk

Nikutakie Tafakari njema!
Mimi na.wengi kama mimi hatulalamiki kuhusu UHURU hapa kwetu Tanzania.wala hatujipi muda wa kutafakari kila kitu kiko wazi

Tumeona watu wenye mawazo tafauti vipi wanavyofanyiwa,wengine wamepoteza maisha, wengine wamekimbia nchi..nk

Ukweli,MAENDELEO hayaletwi na fikra moja tu

UHURU haufurahiwi kwa kupandishwa bendera tu

HAKI inakuwa sio haki tena kama itatolewa kwa upande mmoja tu

Tafakari
 
Mimi na.wengi kama mimi hatulalamiki kuhusu UHURU hapa kwetu Tanzania.wala hatujipi muda wa kutafakari kila kitu kiko wazi

Tumeona watu wenye mawazo tafauti vipi wanavyofanyiwa,wengine wamepoteza maisha, wengine wamekimbia nchi..nk

Ukweli,MAENDELEO hayaletwi na fikra moja tu

UHURU haufurahiwi kwa kupandishwa bendera tu

HAKI inakuwa sio haki tena kama itatolewa kwa upande mmoja tu

Tafakari.
Heri yako wewe na wenzako Mkuu!

Bado nitakusihi kufanya tafakari upya juu ya nini hasa kipo ndani ya maneno HAKI, UHURU na MAENDELEO. Nafanya hivyo kwasababu umijitangaza Kujitambua.

Dunia imejaa Viini Macho! Tusiogope kuvunjika moyo kwa vile tulivyoviamini sana au kuvipenda.
 
Heri yako wewe na wenzako Mkuu!

Bado nitakusihi kufanya tafakari upya juu ya nini hasa kipo ndani ya maneno HAKI, UHURU na MAENDELEO. Nafanya hivyo kwasababu umijitangaza Kujitambua.

Dunia imejaa Viini Macho! Tusiogope kuvunjika moyo kwa vile tulivyoviamini sana au kuvipenda.
Kheri ya mwaka mpya,. kaka..

Waliokaa wakaona kuwa nchi haijengwi kwa maarifa na fikra za mtu mmoja au kikundi cha watu wenye itikadi moja,waliona mbali...

Walioamua kuwashirikisha raia wote kwa maamuzi ya maendeleo za nchi zao,ndio hao tunaokwenda kuwaomba misaada,ndio hao tunawaita wafadhili..

Kwanini sisi tusiweze kuijenga nchi yetu kwa pamoja,kwanini tusiweze kuwajuisha wengine hata kama wako tafauti kifikra katika kuijenga nchi yetu..

Nchi za Afrika chini ya Jangwa la Sahara ndio nchi tajiri kwa rasilimali,lakini vilevile ndio nchi maskini kipita duniani

Uwezo mwafrika mweusi katika kufanya maamuzi ni mdogo sana,hisia zimetutawala kuliko uhalisia katika maamuzi yetu..

Kama hatukubadilisha mfumo wetu wa kufikiri na kuona mambo kwa uhalisia wake basi tutabaki kama tulivyo,na tutaitwa kila majina

Anyaway,tufunge huu mjadala amini unachokiamini,naamini ninacho amini

Naheshimu mawazo yako,kama hukubaliani na ninachokiamini sawa tu,hiyo ndio moja ya falsafa ya Demokrasi
 
Kheri ya mwaka mpya,. kaka..

Waliokaa wakaona kuwa nchi haijengwi kwa maarifa na fikra za mtu mmoja au kikundi cha watu wenye itikadi moja,waliona mbali...

Walioamua kuwashirikisha raia wote kwa maamuzi ya maendeleo za nchi zao,ndio hao tunaokwenda kuwaomba misaada,ndio hao tunawaita wafadhili..

Kwanini sisi tusiweze kuijenga nchi yetu kwa pamoja,kwanini tusiweze kuwajuisha wengine hata kama wako tafauti kifikra katika kuijenga nchi yetu..

Nchi za Afrika chini ya Jangwa la Sahara ndio nchi tajiri kwa rasilimali,lakini vilevile ndio nchi maskini kipita duniani

Uwezo mwafrika mweusi katika kufanya maamuzi ni mdogo sana,hisia zimetutawala kuliko uhalisia katika maamuzi yetu..

Kama hatukubadilisha mfumo wetu wa kufikiri na kuona mambo kwa uhalisia wake basi tutabaki kama tulivyo,na tutaitwa kila majina

Anyaway,tufunge huu mjadala amini unachokiamini,naamini ninacho amini

Naheshimu mawazo yako,kama hukubaliani na ninachokiamini sawa tu,hiyo ndio moja ya falsafa ya Demokrasi
Heri yako pia Mkuu.

Nilikukaribisha kwenye tafakari zilizo nje ya Nini kimefanyika au kutofanyika. Nje ya Matukio, kwani huonekana kuwa ni aidha Majigambo au Malalamiko. Nje ya yote hayo.

Je, tunatazamaje dhana bebwa na neno Haki na Uhuru? Je tunatafsiri sahihi ya dhana bebwa na neno Maendeleo?

Ni kwa vile ulitamka Kujitambua!

Mkuu, MTU mweusi si duni vile unavyodai hapa. Ukuu wetu upo na bora kupita wote. Shida IPO kwa wale wanaofikiri ni lazima tufanye kila kinachofanyw na wengine, hao hawatakwepa kuwa watumwa was Kifikra.

Shida ni tunapotaka kulinganisha Ukuu wetu katika Tiba na kuhoji mbona hatuna Hospital kama zao(mfano tu)
 
Heri yako pia Mkuu.

Nilikukaribisha kwenye tafakari zilizo nje ya Nini kimefanyika au kutofanyika. Nje ya Matukio, kwani huonekana kuwa ni aidha Majigambo au Malalamiko. Nje ya yote hayo.

Je, tunatazamaje dhana bebwa na neno Haki na Uhuru? Je tunatafsiri sahihi ya dhana bebwa na neno Maendeleo?

Ni kwa vile ulitamka Kujitambua!

Mkuu, MTU mweusi si duni vile unavyodai hapa. Ukuu wetu upo na bora kupita wote. Shida IPO kwa wale wanaofikiri ni lazima tufanye kila kinachofanyw na wengine, hao hawatakwepa kuwa watumwa was Kifikra.

Shida ni tunapotaka kulinganisha Ukuu wetu katika Tiba na kuhoji mbona hatuna Hospital kama zao(mfano tu)
Mkuu,hamna anaefananisha na wengine..

Kama miaka ya 60 Tanzania na South Korea tulikuwa sawa kiuchumi au tukuwapita kidogo,..

Ukifananisha baada ya Tanganyika kujipatia UHURU na kuanza kujiendesha wenyewe vipi South Korea imetuacha kwa kila kitu..

Huo ni mfano wa nchi zote za Africa chini ya Jangwa la Sahara

Hapo ndio utagundua kuwa Waafrika ni watu duni,sub human beings
 
Mkuu,hamna anaefananisha na wengine..

Kama miaka ya 60 Tanzania na South Korea tulikuwa sawa kiuchumi au tukuwapita kidogo,..

Ukifananisha baada ya Tanganyika kujipatia UHURU na kuanza kujiendesha wenyewe vipi South Korea imetuacha kwa kila kitu..

Huo ni mfano wa nchi zote za Africa chini ya Jangwa la Sahara

Hapo ndio utagundua kuwa Waafrika ni watu duni,sub human beings
Sentensi yako ya kwanza inakinzana na aya zilizofuata. Hukuona hilo Mkuu? Tuliache hili Mkuu.

Ndugu, Kujitambua humaanisha namna vile MTU anavyoweza kufungua Ukuu uliomo ndani yake na kuuwajibikia kulingana na mahitaji ya jamii yake.
Bahati mbaya kwako ulichokifungua ndani yako ni Uduni na Unyonge, kiasi cha kujiona kuwa ni sawa na mnyama. Hilo si tokeo la kujitambua bari kumezeshwa makusudio ya watu.

We are not sub humans, na hatujawahi kuwa ila tu kwa wanyonge.
Usijidunishe Mkuu, huko ni kukwepa wajibu wako huku ukifikiri uko sahihi sana. Cheza nafasi yako kikamilifu hata kama in ndogo kiasi gani.
 
Sentensi yako ya kwanza inakinzana na aya zilizofuata. Hukuona hilo Mkuu? Tuliache hili Mkuu.

Ndugu, Kujitambua humaanisha namna vile MTU anavyoweza kufungua Ukuu uliomo ndani yake na kuuwajibikia kulingana na mahitaji ya jamii yake.
Bahati mbaya kwako ulichokifungua ndani yako ni Uduni na Unyonge, kiasi cha kujiona kuwa ni sawa na mnyama. Hilo si tokeo la kujitambua bari kumezeshwa makusudio ya watu.

We are not sub humans, na hatujawahi kuwa ila tu kwa wanyonge.
Usijidunishe Mkuu, huko ni kukwepa wajibu wako huku ukifikiri uko sahihi sana. Cheza nafasi yako kikamilifu hata kama in ndogo kiasi gani.
For sure,black Africans are not sub human beings,but our behaviour,our way of doing things,stamps us to be one
 
For sure,black Africans are not sub human beings,but our behaviour,our way of doing things,stamps us to be one
Hii ni Afrika, ina Historia yake, Mazingira na Nyakati zake mahusui kwa watu wake.

M-Asia, Mzungu au Mmarekani atakapotaka kufanya kiafrikaafrika ni lazima nae aonenekane Kituko/sub human being, vile Leo unavyojidharau na kujitusi kwa kushindwa kuishi their ways, in Utumwa.
 
H
Hii ni Afrika, ina Historia yake, Mazingira na Nyakati zake mahusui kwa watu wake.

M-Asia, Mzungu au Mmarekani atakapotaka kufanya kiafrikaafrika ni lazima nae aonenekane Kituko/sub human being, vile Leo unavyojidharau na kujitusi kwa kushindwa kuishi their ways, in Utumwa.
Mkuu,hamna kitu kama hicho,Uafrika Afrika,na Uznungu zungu

kitu kikubwa cha kuzingatia ni vipi mtu husika anatumia akili yake kuendeleza mazingira yake

Wafrika chini ya Jangwa la Sahara,wanapiga watoto wao kama adhabu pale mtoto anapokosea

Watu wa mabara mengine,wameona kumpiga mtoto ni kumdumaza mototo kiakili

Katika baadhi ya Wafrika takribani wengi wote tunaamini kuwa mtoto wa Kiafrika hapati malezi mazuri bila ya kumpiga

Wanyama takribani wote malezi yao kwa watoto wao ni ya upendo na Busara,jaribu kufatilia wanyama,mfano,kuku,mbwa,paka nk

Kwa ufupi Waafrika chini ya jangwa la sahara ni sub human being,..bora mnyama kuliko mtu mweusi

Bahati nzuri sijawahi kupigwa,au kupewa adhabu ya bakora na wazee wangu,na mimi naendeleza huo utamaduni..
 
Mkuu, kujiita Sub-human
H
Mkuu,hamna kitu kama hicho,Uafrika Afrika,na Uznungu zungu

kitu kikubwa cha kuzingatia ni vipi mtu husika anatumia akili yake kuendeleza mazingira yake

Wafrika chini ya Jangwa la Sahara,wanapiga watoto wao kama adhabu pale mtoto anapokosea

Watu wa mabara mengine,wameona kumpiga mtoto ni kumdumaza mototo kiakili

Katika baadhi ya Wafrika takribani wengi wote tunaamini kuwa mtoto wa Kiafrika hapati malezi mazuri bila ya kumpiga

Wanyama takribani wote malezi yao kwa watoto wao ni ya upendo na Busara,jaribu kufatilia wanyama,mfano,kuku,mbwa,paka nk

Kwa ufupi Waafrika chini ya jangwa la sahara ni sub human being,..bora mnyama kuliko mtu mweusi

Bahati nzuri sijawahi kupigwa,au kupewa adhabu ya bakora na wazee wangu,na mimi naendeleza huo utamaduni.
Bado nitasisitiza, Kujiita Sub Human Being ni KUKIMBIA WAJIBU WAKO. Uko trained kujikataa, na kuwa conditioned kutukuza Unyonge wako.

Una malalamiko mengi mno kichwani, nilikushauri kuyapunguza ili uwe guru katika tafakari. Ulianzana ya kunyimwa haki na Uhuru, sasa umehamia kwenye Malezi... Mbaya zaidi unalaumu waafrika kutumia hisia zao zaidi. USIKIMBIE WAJIBU WAKO KWA KUJIDUNISHA kujiona so chochote.

Ninyi ndio mnaofikiri kuvaa Lubega kwa mmasai si ustaarabu, lakini kushinda na suti Dar ni kustaarabika.

Heri yao wazee wako maana malezi yao yamekukuza vema kuwaita jina zuri la Sub-humans.

Seems umelelewa kizungu, sasa si ajabu tena kubeba fikra ulizonazo. Fikra ulizonazo ndio kusudio hasa la malezi ya kizungu.

Kujitambua si suala la kujisemea Mkuu, Waliofanikiwa katika hilo wanaweza kuwa hawajajijua wenyewe na kujifikiri wao si kitu.
 
Mkuu, kujiita Sub-human

Bado nitasisitiza, Kujiita Sub Human Being ni KUKIMBIA WAJIBU WAKO. Uko trained kujikataa, na kuwa conditioned kutukuza Unyonge wako.

Una malalamiko mengi mno kichwani, nilikushauri kuyapunguza ili uwe guru katika tafakari. Ulianzana ya kunyimwa haki na Uhuru, sasa umehamia kwenye Malezi... Mbaya zaidi unalaumu waafrika kutumia hisia zao zaidi. USIKIMBIE WAJIBU WAKO KWA KUJIDUNISHA kujiona so chochote.

Ninyi ndio mnaofikiri kuvaa Lubega kwa mmasai si ustaarabu, lakini kushinda na suti Dar ni kustaarabika.

Heri yao wazee wako maana malezi yao yamekukuza vema kuwaita jina zuri la Sub-humans.

Seems umelelewa kizungu, sasa si ajabu tena kubeba fikra ulizonazo. Fikra ulizonazo ndio kusudio hasa la malezi ya kizungu.

Kujitambua si suala la kujisemea Mkuu, Waliofanikiwa katika hilo wanaweza kuwa hawajajijua wenyewe na kujifikiri wao si kitu.
Hahaha ,mkuu..tukitaka tusitake,wengine wasio Wafrika wataendelea kutuita kIla majina..

Majina kama Monkeys,sub human beings,shit hole countries,etc,etc

Kama hatutabadilika mtizamo wetu wa kuona vitu,kama hatutabadilsha vipi tunatoa maamuzi yetu,kama hatutabadilsha the whole mind set of ours

Binaadamu wa kwanza katokea Afrika,Ustaarabu wa kwanza umeanzia Afrika mimi sio wakushangaa Mmasai kuvaa Rubega,Hata Watusi wanavaa Rubega,..

Rubega sio hoja katika huu mjadala,..
 
Africa kila kukicha ni maugomvi yasiyokuwa na kichwa wala miguu.
Mimi nawaza tu ada ya mwanangu haijatimia. Inabidi aondoke na 1m muhula wa kwanza. Huyo ni form 2. Yule wa chuo nadaiwa 1.1m semister hii. Sijapunguza hata kidogo. Kulwa na doto wanahitaji 1.2m kule VETA.

Halafu watu Wana nafasi ya kujadili anglophone and francophone. Heri yenu.
 
Hahaha ,mkuu..tukitaka tusitake,wengine wasio Wafrika wataendelea kutuita kIla majina..

Majina kama Monkeys,sub human beings,shit hole countries,etc,etc

Kama hatutabadilika mtizamo wetu wa kuona vitu,kama hatutabadilsha vipi tunatoa maamuzi yetu,kama hatutabadilsha the whole mind set of ours

Binaadamu wa kwanza katokea Afrika,Ustaarabu wa kwanza umeanzia Afrika mimi sio wakushangaa Mmasai kuvaa Rubega,Hata Watusi wanavaa Rubega,..

Rubega sio hoja katika huu mjadala,..
Shida ni kwamba hujataka kutafakari kujua Kusudio hasa la yule anayekuita wewe sub-human being, Ukapokea tu ukazibeba kama zilivyo na kuanza kuzieneza kwa wengine. Umenasa kwenye mitego yao, na wamekufanya ujisikie fahari na ukuu kujitusi.

Mwisho wa siku wewe ndio unayejiita majina mabaya, si wao tena.

Lubega haikuwa hoja ndio, hoja ni Mindset ya Unyonge na Uduni uliyonayo dhidi ya ngozi nyeusi. Nimesemea kukwepa kwako majukumu kwa kujiona si kamilifu, na kutaka kwako kuenenda vile wengine wafanyavyo.
 
Mimi nawaza tu ada ya mwanangu haijatimia. Inabidi aondoke na 1m muhula wa kwanza. Huyo ni form 2. Yule wa chuo nadaiwa 1.1m semister hii. Sijapunguza hata kidogo. Kulwa na doto wanahitaji 1.2m kule VETA.

Halafu watu Wana nafasi ya kujadili anglophone and francophone. Heri yenu.
Kahangaikie ada ya Kulwa na Doto VETA kwanza. Huyo wa Form Two 1m per semester ungeweza kukwepa, hulazimiki. Huyo wa chuo nae hutegemea aina ya kozi asomayo, laaa VETA ndiko kwenye Maarifa sahihi zaidi.

Huwezi zui mijadala, wengine ndio iwapayo tumaini la kuisubiri kesho. Ipo gharama pia ya kufanya matatizo yako yawe ya wote.

Tambua kuwa, kinachokuumiza kichwa Leo (elimu) wapo wakionacho kuwa ni batili, hakiwezi kuwashughulisha hivyo na hata kufikiri na kujadili kukifuta kabisa.
 
Shida ni kwamba hujataka kutafakari kujua Kusudio hasa la yule anayekuita wewe sub-human being, Ukapokea tu ukazibeba kama zilivyo na kuanza kuzieneza kwa wengine. Umenasa kwenye mitego yao, na wamekufanya ujisikie fahari na ukuu kujitusi.

Mwisho wa siku wewe ndio unayejiita majina mabaya, si wao tena.

Lubega haikuwa hoja ndio, hoja ni Mindset ya Unyonge na Uduni uliyonayo dhidi ya ngozi nyeusi. Nimesemea kukwepa kwako majukumu kwa kujiona si kamilifu, na kutaka kwako kuenenda vile wengine wafanyavyo.
Mkuu,mimi ni mwafrika,haina haja ya mtu kueleza vipi wafrika weusi tulivyo,..

Ukweli uko wazi,...
 
Mimi nawaza tu ada ya mwanangu haijatimia. Inabidi aondoke na 1m muhula wa kwanza. Huyo ni form 2. Yule wa chuo nadaiwa 1.1m semister hii. Sijapunguza hata kidogo. Kulwa na doto wanahitaji 1.2m kule VETA.
Pole sana kwa majukumu mkuu...
 
Back
Top Bottom