Angela Kiziga alichota bil 45+ peke yake bila kutoa mgao ?

Angela Kiziga alichota bil 45+ peke yake bila kutoa mgao ?

Walimu tunahangaika sana
. Tunaishi kwa kutegemea mshahara tu. Ukiiba boksi la chaki kinaumana shule nzima.

Wenzetu wanajichotea mabilions of cash.

Lakini mtu anaweza kupiga bil 45+ bila kuwa na mtandao ambao atagawa mgao?
Jiulize hapo halmashauri mtu anaweza kuiba pesa tuseme DEO anaweza kuiba pesa bila kumshirikisha DT na DED ??
 
Huwezi kula hela yote peke yako ndio maana kuna kitu kinaitwa circle.

Unakuta circle zako ni zile hellenic club pale kwa wagiriki nyuma ya NMb hse au crcle zako za Gymkhana lazima ule na washkaji zako.

Sawa na Msofe papaa apige hela lazima wale machizi boti wenzie akina Mathias wa G8 nao wapate mili.5 za hennessy. Hii inaitwa staying in your lane na wanao.
 
Walimu tunahangaika sana
. Tunaishi kwa kutegemea mshahara tu. Ukiiba boksi la chaki kinaumana shule nzima.

Wenzetu wanajichotea mabilions of cash.

Lakini mtu anaweza kupiga bil 45+ bila kuwa na mtandao ambao atagawa mgao?
Oya hatufanani mkuu kuna binadamu wengine wapo kwa ajili ya kupata tabu tu hapa duniani..yaani haya uangaike vipi hupati deal lolote la maana na ukisema ufanye magendo wewe ndio unakuwa wa mfano.
Acha tu..
 
Oya hatufanani mkuu kuna binadamu wengine wapo kwa ajili ya kupata tabu tu hapa duniani..yaani haya uangaike vipi hupati deal lolote la mana na ukisema ufanye magendo wewe ndio unakuwa wa mfano.
Acha tu..
🤣
 
Walimu tunahangaika sana
. Tunaishi kwa kutegemea mshahara tu. Ukiiba boksi la chaki kinaumana shule nzima.

Wenzetu wanajichotea mabilions of cash.

Lakini mtu anaweza kupiga bil 45+ bila kuwa na mtandao ambao atagawa mgao?
Atakuwa amegawana na shosti wake huoni hata watoto wao wakipiga dili wanagawana nyara.
 
Back
Top Bottom