Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 12,630
- 23,838
Usifurahi juu yangu eeh adui yangu niangukapo mimi nitasimama tena
Ndoa 80000000000!!!Dada ana bahati ya ndoa huyu, km marehemu Dida vile.
Alooo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndoa 80000000000!!!
Yule Mjeda alifanyiwa deportation kuna mtu aliwahi niambia ,nadhani tangu Mwaka jana kuna issue alufanya akaondolewa USA.Mh yule mjeda waliachana lini tena
Single Mom mwenye bahati yake ya kuolewa, Mungu ampe nini tena!?Dada ana bahati ya ndoa huyu, km marehemu Dida vile.
Alooo.
Kwa kweli ana bahati sana huyu Dada, Jah aendeler kumuwekea baraka zaidi.Single Mom mwenye bahati yake ya kuolewa, Mungu ampe nini tena!?
Acha tu aolewe,akiona aliko mambo si shwari, acha aachike.
MremboooSingle Mom mwenye bahati yake ya kuolewa, Mungu ampe nini tena!?
Acha tu aolewe,akiona aliko mambo si shwari, acha aachike.
Dada shkamoo.Mrembooo
Ila kama ameachika tena itakuwa noma 🙌Kwa kweli ana bahati sana huyu Dada, Jah aendeler kumuwekea baraka zaidi.
Marhaaaaba mambooDada shkamoo.
Na anaolewa tena.Ila kama ameachika tena itakuwa noma [emoji119]
Sijambo DadaMarhaaaaba mamboo
Anna
Wako vzr Nashukuru sijui weyee.....Habari za MbeyaSijambo Dada
REY NA VERO hawajambo?
usipotee sana kabla hatujawasiliana tafadhali dear..!😌PM inagoma wanasema kuna changamoto huwezi amini mmesahau ht namna ya kufungua ili uweze kuni access!!!ngoja nijaribu tena