johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Najaribu tu kuwakumbusha wale wanaomwandama Mbowe kwamba aliwanyanyasa kijinsia baadhi ya wabunge wa viti maalumu Chadema. Kiukweli mnamuonea bure kabisa mwenyekiti.
Utaratibu wa kuwapata wabunge wa viti maalumu umekuwa na sintofahamu tokea chama hicho kiasisiwe.
Nitoe mifano michache ya wabunge waliokuwa na uhusiano na viongozi wa Chadema na wakateuliwa kutumikia viti maalumu
Katibu mkuu Dr Slaa na " mama watoto" wake Rose Kamili
Naibu Katibu mkuu Zitto Kabwe na dada yake
Mwanasheria wa Chama mzee Marando na shemejie Chiku Abwao
Mjumbe wa CC/mwanasheria Tundu Lisu na dada yake rip
Mjumbe wa CC Ndesamburo rip na mkwewe Grace
Mjumbe wa CC Ndesamburo rip na mwanae Owenya
Katika mazingira kama hayo anayelalamika anapaswa kuzungumzia mfumo mzima na siyo kumsimanga Mbowe ambaye hajampa ubunge ndugu yake yoyote.
Kama huna mtu wa kukubeba basi ni lazima utatumia mbinu za ziada kwahiyo unapolialia baadae ni kwamba ama unajidharirisha au unatangaza biashara kwa chama chako kipya.
Maendeleo hayana vyama!
Utaratibu wa kuwapata wabunge wa viti maalumu umekuwa na sintofahamu tokea chama hicho kiasisiwe.
Nitoe mifano michache ya wabunge waliokuwa na uhusiano na viongozi wa Chadema na wakateuliwa kutumikia viti maalumu
Katibu mkuu Dr Slaa na " mama watoto" wake Rose Kamili
Naibu Katibu mkuu Zitto Kabwe na dada yake
Mwanasheria wa Chama mzee Marando na shemejie Chiku Abwao
Mjumbe wa CC/mwanasheria Tundu Lisu na dada yake rip
Mjumbe wa CC Ndesamburo rip na mkwewe Grace
Mjumbe wa CC Ndesamburo rip na mwanae Owenya
Katika mazingira kama hayo anayelalamika anapaswa kuzungumzia mfumo mzima na siyo kumsimanga Mbowe ambaye hajampa ubunge ndugu yake yoyote.
Kama huna mtu wa kukubeba basi ni lazima utatumia mbinu za ziada kwahiyo unapolialia baadae ni kwamba ama unajidharirisha au unatangaza biashara kwa chama chako kipya.
Maendeleo hayana vyama!