figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,662
- 59,101
Basi imebeba abilia, lakini mtu anaamua kuifanyia fujo Basi yenye abiria. Mbaya zaidi anatoa Bastola ili ampige risasi Dereva.
Wasiojulikana wametamalaki. Trafiki hata ulipoti hawanyi chochote..
Sasa kuna watu wapo Juu ya Sheria
Angalia anavyofanya fujo ili Basi ipate ajali. Au Majini yao yamewatumia damu za watu?
NB: Ni barabara ya Mombasa
Wasiojulikana wametamalaki. Trafiki hata ulipoti hawanyi chochote..
Sasa kuna watu wapo Juu ya Sheria
Angalia anavyofanya fujo ili Basi ipate ajali. Au Majini yao yamewatumia damu za watu?
NB: Ni barabara ya Mombasa