Anga limechafuka

Anga limechafuka

Hapana ni consultant wao
Mchawi mkubwa wewe! Utatoa consultation kwa mchawi kama wewe siyo mchawi? Keanza huku kwangu nimevunjiwa wezi wakachukua vitu vyangu vingi sana, nisaidie basi kuwavimbisha matumbo au mbupuma!
 
Kwa hiyo watu wako busy kumkonfuzi rais wetu si ndivyo?? Yan akiona jipu gafla ligeuke kuwa kidoti ama?? Mbele za mungu na sala za jamaa atalala mbele hata na.hivyo vidoti.
 
73e490198ef2c5368cb76c1f6d8d4e0e.jpg
Ni kitu cha kushangaza mno lakini kwa sasa anga halifai, watu wanapishana angani ardhini na majini...!ni kutafuta kinga na ulinzi wasitumbuliwe majipu mali zao zisifilisiwe wala wasikamatwe na kushtakiwa
Kama kuna wakati waganga wa kienyeji wanapiga pesa ni sasa viunga vyao vimesheheni wageni
Hali ni mbaya kuliko inavyodhaniwa
Inamaana waganga wana make kuliko kipindi cha uchaguz???
 
73e490198ef2c5368cb76c1f6d8d4e0e.jpg
Ni kitu cha kushangaza mno lakini kwa sasa anga halifai, watu wanapishana angani ardhini na majini...!ni kutafuta kinga na ulinzi wasitumbuliwe majipu mali zao zisifilisiwe wala wasikamatwe na kushtakiwa
Kama kuna wakati waganga wa kienyeji wanapiga pesa ni sasa viunga vyao vimesheheni wageni
Hali ni mbaya kuliko inavyodhaniwa

Dakitari yupo ki-Mungu zaidi sasa sujui itakuwaje hapo
 
Sisi wananchi tupo makanisani tunamwombe rais magufuli hawatumbue tu wanayoyafanya yanazidi kumtia nguvu mh magufuli maana ndo anazidi kuyaona majipu vizur.hapa tunajiandaa kuona hili jipu uchungu January makamba anavyokamuliwa.
 
Back
Top Bottom