Ha ha ha kaka Mshana Jr..naona ww ulitembelea.Tembelea vijiwe vyao uone
Ha ha ha kaka Mshana Jr..naona ww ulitembelea.Tembelea vijiwe vyao uone
Hahaha mshana Jr. Hii ni ukweli mtupuNi kitu cha kushangaza mno lakini kwa sasa anga halifai, watu wanapishana angani ardhini na majini...!ni kutafuta kinga na ulinzi wasitumbuliwe majipu mali zao zisifilisiwe wala wasikamatwe na kushtakiwa![]()
Kama kuna wakati waganga wa kienyeji wanapiga pesa ni sasa viunga vyao vimesheheni wageni
Hali ni mbaya kuliko inavyodhaniwa
mchawi mkubwa wewe.
swissme
huyu jamaa sometime i think its true what he right here and his doing that its not story.Daahhhh jf ni noma yaani haujamkopesha ni kavu live...nimecheka peke angu usiku huu maana hizi kauli uswazi wanazitoa vijeba waliozindikwa (Kwa maana anaiweza league)...
Lakini Mada za huyu jamaa zinamuonesha kama mtu anaevifanya na si anaehadithiwa au kuskiza story za vijiweni...... MUNGU NA WASTAARABU, SHETANI NA WAHUNI
Nilienda kuongeza knowledge kidogo now nimekuja na technology mpyaa mkuuUlikuwa adimu jukwaani natumai kila kitu kiko sawa
Hapo nitakutafuta unipelekeHuku makazini ni hatari atiiii! Watu walozi vibaya sana...... Mtu anakula pesa ya serikali na anasahaulika hadaiwi, hatari sana
mambo ya kilingeni...Huku makazini ni hatari atiiii! Watu walozi vibaya sana...... Mtu anakula pesa ya serikali na anasahaulika hadaiwi, hatari sana
lushoto...kwedikwazu au handeni ..au msambiazi?Duu umenikumbusha kilinge cha kwemvumo na gologoto...hivyo vilinge visikie hivi hivi ni habari nyingine kabisa
Mimi sio mtaalam wa haya mambo lakini hili nimeshudia mwenyewemambo ya kilingeni...