Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 299,604
- 752,014

Kama kuna wakati waganga wa kienyeji wanapiga pesa ni sasa viunga vyao vimesheheni wageni
Hali ni mbaya kuliko inavyodhaniwa
Mmmmh me na hayo mambo tofaut Ila kuna siku kilintokea kitu hcho ndo nikaanza kuviamin kdgTembelea vijiwe vyao uone
Jmn embu usipende kumhukum mtu....mchaw ulimuona akiroga?mchawi mkubwa wewe.
swissme
Hahahahah![]()
![]()
![]()
![]()
mchawi mdogo wewe
Tembelea vijiwe vyao uone
mimi sitaki hata kijibishana nawe nisije vimbishwapUmbUQ the best way for the next couple days.![]()
![]()
![]()
![]()
mchawi mdogo wewe
Nna kaz yangu Ila sina ela unaweza kunisaidia doctor?Nimetoka Bagamoyo ni fully booked, naelekea Msata then Handeni nitaleta mrejesho! Binafsi nina oda kadhaa
mshana jr uko sahihi kabisaa...!!!Ni kitu cha kushangaza mno lakini kwa sasa anga halifai, watu wanapishana angani ardhini na majini...!ni kutafuta kinga na ulinzi wasitumbuliwe majipu mali zao zisifilisiwe wala wasikamatwe na kushtakiwa![]()
Kama kuna wakati waganga wa kienyeji wanapiga pesa ni sasa viunga vyao vimesheheni wageni
Hali ni mbaya kuliko inavyodhaniwa