gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,942
- 6,139
Tofauti ya salary na wage ni swali la kihasibu. Sio la kisheria
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nadhani kwa jana lilikuwa na muktadha wa kisheria , na kwa muktadha ule wa jana nimeona Faiza umeeleza hapo juu ni sawa. Ila kihasibu/kiuchumi salary/wage is just a reward for labour,yaani salary na wage zinakuwa treated kama kitu chenye maana moja ya malipo ya mfanya/mtenda kazi.Ni kisheria. Kwani wage au salary ni makubaliano ya muajiri na muajiriwa. Mhasibu atatimiza tu kuona makubaliano yenu mnalipana na kumbukumbu zinakuwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app