Andrew Chenge asingeshindwa jibu(wages vs salary)

Andrew Chenge asingeshindwa jibu(wages vs salary)

Hapo haihitaji ushabiki,binadam tuna tabia ya kusahau hususani mtu anapohama toka mada moja kwenda nyingine,ndio maana before speech Una make review ya content utakayoifanyia kazi-kushindwa Ku recall haraka vitu Ni tatizo la kila mtu
 
Salary ni mshahara ambao upo "fixed" kila mwezi au kila wiki au kila kipindi (interval) yoyote ya malipo mliyokubaliana, ukiifanya hiyo kazi pungufu ya muda au zaidi ya muda, salary ipo pale pale.

Wages ni malipo kwa muda au kwa kazi fulani utapoimaliza, kila saa kazini au kila siku malipo yako ni kadhaa. Saa/ siku ambazo hujafanya kazi hazina malipo. Au kazi fulani utapoimaliza malipo yatakuwa hivi. Ikuchukuwe mwezi su miezi mitatu mradi mmeshakubaliana "wage" basi ndiyo malipo yako.

Mimi si mwanasheria lakini hivyo ndiyo nielewavyo tofauti ya salary na wage.
 
Andrew Chenge maarufu kama joka la makengeza, mwanasheria hodari graduate from Harvard namkubali sana Kwa kutoa majibu ya hapo kwa papo Kwa masala yanayohusu Sheria.

Nilishuhudia mwansheria wa serikali jana kwenye Kikao kuhusu mafao ikulu,akishindwa kufafanua tofauti ya wages na salary.

Wengine mtaweza kutetea ya kwamba siyo lazima ajue kila kitu ,binafsi sikubaliani na kushindwa kwake kufafanua tofauti iliyojificha baina ya wages na salary pale alipoombwa kufanya hivyo na rais. Sababu mkubwa ni kutopenda kujisomea Sheria na kanuni mbalimbali,tena Kwa Jambo siyo kama hili la mafao.

Kamwe joka la Makengeza hasingeshindwa kutoa ufafanuzi wa papo Kwa hapo iwapo ingetokea tokea fursa ya yeye kufanya hivyo (historia inamlinda Kwa hili kwani amefanya hivyo mara nyingi).[/QUOTE



Ukweli ndio huo Mkuuu KIONGOZI WA Bariadi hashindwi hata na pia mzee wa vijisentiiiiii
 
Andrew Chenge maarufu kama joka la makengeza, mwanasheria hodari graduate from Harvard namkubali sana Kwa kutoa majibu ya hapo kwa papo Kwa masala yanayohusu Sheria.

Nilishuhudia mwansheria wa serikali jana kwenye Kikao kuhusu mafao ikulu,akishindwa kufafanua tofauti ya wages na salary.

Wengine mtaweza kutetea ya kwamba siyo lazima ajue kila kitu ,binafsi sikubaliani na kushindwa kwake kufafanua tofauti iliyojificha baina ya wages na salary pale alipoombwa kufanya hivyo na rais. Sababu mkubwa ni kutopenda kujisomea Sheria na kanuni mbalimbali,tena Kwa Jambo siyo kama hili la mafao.

Kamwe joka la Makengeza hasingeshindwa kutoa ufafanuzi wa papo Kwa hapo iwapo ingetokea tokea fursa ya yeye kufanya hivyo (historia inamlinda Kwa hili kwani amefanya hivyo mara nyingi).
Naunga mkono hoja, niliwahi kusema hivi kuhusu mtu huyu

Pamoja Na Ufisadi Wake Wote, Chenge is One of Best Brains Kwenye Bunge Full of Ignorants - JamiiForums

P
 
Back
Top Bottom