Andrew Chenge asingeshindwa jibu(wages vs salary)

Andrew Chenge asingeshindwa jibu(wages vs salary)

professionary = professionally

Ina maana anakwenda kikao cha kazi huku sheria ya malipo ya kazi haifahamu? Upuuzi huo.
Asante kwa kunisahihisha hiyo lugha ya kitumwa siijui sana mkuu. Kama ulifuatilia ule mkutano kuna mjumbe alitoa changamoto kuwa kuna sheria ya mfuko mmoja inatamka wages na inafanya calculation ya makato kutoka kwenye mshahara wa mfanyakazi baada ya ku include na allowances hivyo mchango unakuwa mkubwa ukilinganisha na sheria inayotamka salary ambapo makato yanatoka kwenye gross/basic salary hivyo ha include allowances. Kwa maoni yangu hii ilihitaji kusoma hizo sheria mbili ili kujibu kisheria zaidi na wala si kisiasa.
 
Hiyo ni translation ya kawaida kwenye sheria kuna kuwa nafasiri kulingana na sheria husika.
Sasa pale Magu alitaka maana ya kawaida tu si ya kisheria,au angetoa maana mbili,ya kisheria na ya kawaida
 
Ilikuwaje asipitie apo kabla?ina maana ilisainiwa bila kupitiwa na mwanasheria ?
Lazima upate kuipitia sheria kama kinachosemwa ni sawa kunauwezekano mjumbe ametafasiri tofauti hivyo inahitajika na wewe ujiridhishe kwanza kabla ya kujibu kisiasa
 
Asante kwa kunisahihisha hiyo lugha ya kitumwa siijui sana mkuu. Kama ulifuatilia ule mkutano kuna mjumbe alitoa changamoto kuwa kuna sheria ya mfuko mmoja inatamka wages na inafanya calculation ya makato kutoka kwenye mshahara wa mfanyakazi baada ya ku include na allowances hivyo mchango unakuwa mkubwa ukilinganisha na sheria inayotamka salary ambapo makato yanatoka kwenye gross/basic salary hivyo ha include allowances. Kwa maoni yangu hii ilihitaji kusoma hizo sheria mbili ili kujibu kisheria zaidi na wala si kisiasa.
Hiyo lugha ya waliokuchukua utumwani lugha ya kitumwa ni ile yako mtumwa. Kumbuka hilo.

Mwanasheria mkuu anakwenda kikao cha kazi kwa Rais halafu haifahamu sheria kanuni ya malipo ya kazi?

That is stupidity.
 
Hiyo lugha ya waliokuchukua utumwani lugha ya kitumwa ni ile yako mtumwa. Kumbuka hilo.

Mwanasheria mkuu anakwenda kikao cha kazi kwa Rais halafu haifahamu sheria kanuni ya malipo ya kazi?

That is stupidity.
Haya bhana!! Sikuwezi bibi yangu! Usiku mwema mimi naingia kulala usiku umeenda sana huku!
 
Kwa mujibu ya sheria ya mafao ya uzeeni

“salary” means gross salary of the member payable to an employee in consideration of the service rendered under the contract of service or apprenticeship or any other form of office of call, excluding bonus, commission, cost of living allowance, overtime payment director’s fees or any other additional emoluments;”

wages - payment for work done normally fixed per hour or per day (casual labour).
 
Mshahara ni malipo halali kabisa kwa kazi afanyayo mtu na hakuna unyonyaji bali ujira ni malipo kiduchu alipwayo mtu kwa kazi aifanyayo na kwa kawaida imetawaliwa na unyonyaji juu ya mfanyakazi kutoka kwa mwajiri.
Tafsiri yako itakuwa imejaa kumbukumbu za enzi za unyonyaji wa wahindi na mabepari(wazungu) ila IPO sawa, labda aliogopa maana watu wengi wanapata wages,tafsiri yake ingesababisha watu ku "quote "
 
Mshahara ni malipo halali kabisa kwa kazi afanyayo mtu na hakuna unyonyaji bali ujira ni malipo kiduchu alipwayo mtu kwa kazi aifanyayo na kwa kawaida imetawaliwa na unyonyaji juu ya mfanyakazi kutoka kwa mwajiri.
Tafsiri yako itakuwa imejaa kumbukumbu za enzi za unyonyaji wa wahindi na mabepari(wazungu) ila IPO sawa, labda aliogopa maana watu wengi wanapata wages,tafsiri yake ingesababisha watu ku "quote "
 
Hivi wahitimu wa Havard hawana maadili kumbe? ndivyo wanafundishwa kuwa majizi kumbe!
 
Back
Top Bottom