Andrew Chenge asingeshindwa jibu(wages vs salary)

Andrew Chenge asingeshindwa jibu(wages vs salary)

Yule mtu ni kilaza tu, mtoto wa form two aliyesoma commerce anajibu lile swali vizuri kabisa.
 
Yes mshahara ni kipato ila mshahara kiofisi ni basic salary haijumlishi allowances, lakini wages ni take home ina include every income basic salary ikiwa inclusive.

P
Duh! Unaposema kipato unamaanisha income? Maana hapa unajiconfuse kiongozi.

Kwetu sisi wages ni ujira wa vibarua, mara nyingi ni nakubaliano ya muda mfupi kufanya kazi flani kwa ujira flani.

Nchi kama marekani, wale wanaolipwa mwisho wa mwezi bila kutizama masaa ya kazi, huwa wanaita salary, na wale wanaolipwa kwa masaa ndiyo wages.
 
Pascal sasa naona una deserve position yoyote serikalini ,una hoja na uko fair haupendelei upande
I don't deserve position yoyote serikalini kwa sababu niliishawahi kuwa mtumishi wa serikalini na nikafukuzwa kazi kwa summary dismissal kwa kosa la insubordination, hivyo siwezi kuajiriwa tena serikalini.
P
 
Erla
Screenshot_20181229-134914.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20181229-134914.jpeg
    Screenshot_20181229-134914.jpeg
    49.6 KB · Views: 19
Andrew Chenge maarufu kama joka la makengeza, mwanasheria hodari graduate from Harvard namkubali sana Kwa kutoa majibu ya hapo kwa papo Kwa masuala yanayohusu Sheria.

Nilishuhudia mwanasheria wa serikali jana kwenye Kikao kuhusu mafao ikulu,akishindwa kufafanua tofauti ya wages na salary.

Wengine mtaweza kutetea ya kwamba siyo lazima ajue kila kitu ,binafsi sikubaliani na kushindwa kwake kufafanua tofauti iliyojificha baina ya wages na salary pale alipoombwa kufanya hivyo na rais. Sababu mkubwa ni kutopenda kujisomea Sheria na kanuni mbalimbali,tena Kwa Jambo ambalo lipo hot miezi ya hivi karibuni ,suala kama la mafao na kikokoteo .

Kamwe joka la Makengeza hasingeshindwa kutoa ufafanuzi wa papo Kwa hapo iwapo ingetokea tokea fursa ya yeye kufanya hivyo (historia inamlinda Kwa hili kwani amefanya hivyo mara nyingi).
Tundu Antipas Lissu.
 
Mshahara ni basic salary ambayo ni income ila haujumuishi marupurupu, income night kila unachoingiza.
P
Mkuu kama kipato ndiyo income, basi vyote salary na wages ni vipato.

Tofauti yake, moja ni malipo ya mkataba mara nyingi wa mwezi, na mwingine ni kutokana na masaa ya kazi. Nimefanya editing kwenye posting iliyopita ambayo nimekujibu, ambapo nimeongezea information.
 
Tofauti ya mshahara na Ujira inahtaji CPA holder?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujira ni malipo ya mtu baada ya kumaliza kufanya Kazi. Nikimaanisha michango yake yote aliokuwa anaichangia na kuchangiwa wakati anafanya Kazi. Usije ukachanganya na pensheni, Pensheni ni malipo ya mtu alie lipwa ujira baada ya kufanya kazi, baadae anaanza kulipwa malipo ya mafungu mafungu kwa muda wote atakao ishi. Na mshahara ni malipo ya kila mwezi ya ujira ukiwa kazini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No clear differences between wage and salary. Labda uje na opinion zako there is no single book which has managed to show out the diff.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu acha kudanganya watu. Salary na wage zinatofauti kibao. Mfano dalary huwa ni fixed ila wage ina vary sana kwendana na masaa kazini. Salary hulipwa mfanya kazi wa mwez hata akifanya kazi masaa pungufu au zaidi ya yale working hours kwenye mkataba kwa siku( mainly 8hrs) ila wage hulipwa kwa mtu kwa masaa aliofanya kazi meaning kama keo kafanya masaa matano atalipwa kwa masaa aliofanyia kazi. Pia salary hulipwa kwa employees ila wage hulipwa kwa labour. Naamin utakuwa unajua tofauti ya employee na labour mfano kwenye ujenzi wale unaowaona wanabeba zege ni labour ila maeng na maqs ni employees. Pia tofauti ya mwisho ni kuwa salary hulipwa mainly kwa skilled personell ila wage ni kwa semi skilled na unskilled personell.



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom