- Thread starter
- #41
Kuna watu wanapewa ofisi zinawazidi
Kuna watu wanapewa ofisi zinawazidi
Kashindwa kujibu.Wasichokijua watu hapa ni kwamba AG hakuulizwa tofauti ya hayo maneno.
Aliulizwa tofauti ya hayo maneno kama yalivyotumika katika hiyo sheria.
Ulishawai kuona daktari anajifanyia upasuaji kuondoa uvimbe tumboni ?Sheria zina " ubobezi" na unapomjibu Rais wa nchi hutakiwi kubahatisha . Huyo Chenge alivyogonga bajaj na kuua watu ilibidi akatafute mawakili wa kumtetea Marekani.......kama yeye ni nguli angeweza kujitetea mwenyewe!
Si kweli.
wahasibu hawasomi sheria? kaa chini!Tofauti ya salary na wage ni swali la kihasibu. Sio la kisheria
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umetoa ufafanuzi mzuri sanaKashindwa kujibu.
Inamaana hizo sheria/kanuni hazijapitia kwake? Au alipoitwa na Rais kuhudhuria kikao cha jana hakujuwa wataongelea nini?
Yeye angefafanua tofauti ya salary na wages kisheria.
Usitetee uzembe.
Salary na wages kama yametumika katika sheria basi lazima yawe na tafasiri yake kwenye sheria husika. Lazima watakuwa wameeleza maana ya salary au wages kwenye sheria hiyo. Hivyo Mwanasheria alijibu professionally zaidi na wala si kisiasa. Na amefanya vizuri sana ili aweze kuzipitia sheria hizo mbili ambayo inatamka salary na hiyo inayotamka wages.Salary ni mshahara ambao upo "fixed" kila mwezi au kila wiki au kila kipindi (interval) yoyote ya malipo mliyokubaliana, ukiifanya hiyo kazi pungufu ya muda au zaidi ya muda, salary ipo pale pale.
Wages ni malipo kwa muda au kwa kazi fulani utapoimaliza, kila saa kazini au kila siku malipo yako ni kadhaa. Saa/ siku ambazo hujafanya kazi hazina malipo. Au kazi fulani utapoimaliza malipo yatakuwa hivi. Ikuchukuwe mwezi su miezi mitatu mradi mmeshakubaliana "wage" basi ndiyo malipo yako.
Mimi si mwanasheria lakini hivyo ndiyo nielewavyo tofauti ya salary na wage.
vitabu vya book keeping vinatofautisha hivyo, si kweli kwamba weekly payments ya ozil ni wages?Si kweli.
Hiyo ni translation ya kawaida kwenye sheria kuna kuwa natafasiri kulingana na sheria husika.Salary is a fixed calculated amount of money paid to a worker usually in a month,quarterly or annually,while Wages is a total income of someone in given time period, can be hourly or weekly,like vibarua wanalipwa wages, bora huyu mwanasheria angetoa hata maana ya neno moja hata kwa kujaribu,
Tatizo LA wasomi wetu hawana tabia ya kusoma vitabu wakishafanikiwa kupata ajira au kutoka kimaisha,elimu inatoka taratibu lakini kwa uhakika,Someni vitabu mpate maarifa,
huyo mbeba box hakuna anachojua.Kwamba hujui au ndio umekuwa mtu wa kuendeshwa na personal grudges?
Kweli mkuu!Wasichokijua watu hapa ni kwamba AG hakuulizwa tofauti ya hayo maneno.
Aliulizwa tofauti ya hayo maneno kama yalivyotumika katika hiyo sheria.
Umeongea ukweli mtupuSalary is a fixed calculated amount of money paid to a worker usually in a month,quarterly or annually,while Wages is a total income of someone in given time period, can be hourly or weekly,like vibarua wanalipwa wages, bora huyu mwanasheria angetoa hata maana ya neno moja hata kwa kujaribu,
Tatizo LA wasomi wetu hawana tabia ya kusoma vitabu wakishafanikiwa kupata ajira au kutoka kimaisha,elimu inatoka taratibu lakini kwa uhakika,Someni vitabu mpate maarifa,
Salary na wages kama yametumika katika sheria basi lazima yawe na tafasiri yake kwenye sheria husika. Lazima watakuwa wameeleza maana ya salary au wages kwenye sheria hiyo. Hivyo Mwanasheria alijibu professionary zaidi na wala si kisiasa. Na amefanya vizuri sana ili aweze kuzipitia sheria hizo mbili ambayo inatamka salary na hiyo inayotamka wages.
Sio mpak uwe mwanasheria.mi nimefundishwa hiyo kitu form 2Chenge ni Mhasibu?!
Ilikuwaje asipitie apo kabla?ina maana ilisainiwa bila kupitiwa na mwanasheria ?Salary na wages kama yametumika katika sheria basi lazima yawe na tafasiri yake kwenye sheria husika. Lazima watakuwa wameeleza maana ya salary au wages kwenye sheria hiyo. Hivyo Mwanasheria alijibu professionary zaidi na wala si kisiasa. Na amefanya vizuri sana ili aweze kuzipitia sheria hizo mbili ambayo inatamka salary na hiyo inayotamka wages.
Hahahha what nonsense...kutofautisha Kati ya wages na salary kumbe lazima uwe mhasibu,?? Let mbururalazaChenge ni Mhasibu?!
Salary ni mshahara, basic salary, wages ni take home ambayo ina has includes basic salary plus allowances. Usually salary ni ndogo, wages ambayo ni take home ni kubwa.Salary ni mshahara ambao upo "fixed" kila mwezi au kila wiki au kila kipindi (interval) yoyote ya malipo mliyokubaliana, ukiifanya hiyo kazi pungufu ya muda au zaidi ya muda, salary ipo pale pale.
Wages ni malipo kwa muda au kwa kazi fulani utapoimaliza, kila saa kazini au kila siku malipo yako ni kadhaa. Saa/ siku ambazo hujafanya kazi hazina malipo. Au kazi fulani utapoimaliza malipo yatakuwa hivi. Ikuchukuwe mwezi su miezi mitatu mradi mmeshakubaliana "wage" basi ndiyo malipo yako.
Mimi si mwanasheria lakini hivyo ndiyo nielewavyo tofauti ya salary na wage.