CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,741
Hizi ni dalili za umasikini uliotopea. Hutaki mtu akuzidi, hutaki kusikia mafanikio ya wenzako. Chuki hizi mnazitumia hadi muwapo makazini na mwisho mnakuwa wafitini.Mambo ya vijisenti yamerudi kama mvua ya mafuriko! Sidhani kweli kama hii nchi hata hiyo 2025 itafika kwa mwendo huu.
Usikute zile trilioni 1.3 za Bi Mikopo, Mzee wa Vijisenti angedai ni vipesa tu vya chenji wala havina athari yoyote kwa taifa.