Anayeogopa kufa na kutekwa kwasababu ya kusimamia ukweli ni mhaini dhidi ya serikali ya mungu na anamchango mdogo kwenye kujenga nchi bora

Anayeogopa kufa na kutekwa kwasababu ya kusimamia ukweli ni mhaini dhidi ya serikali ya mungu na anamchango mdogo kwenye kujenga nchi bora

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Ndugu zangu waislam na wakristo

Watu wa mungu hawaogopi kufa wala kutekwa kwasababu ya kusimamia ukweli na hao ndio walio changia nchi kupata uhuru hapo awali.

Mungu ataki waoga anataka mashujaa wenye msimamo wa haki kwenye hali yoyote ile wakati huu nchi inapo pitia majaribu tunapaswa kusimama kidete..

Wanadamu waoga wanauaibisha mwili wa mungu waliopewa na ni wahaini dhidi ya serikali yake ya haki na takatifu.
 
Nimekupa bonge la idea ya biashara, una kitu utafika mbali
biashara? kweli nimethibitisha akili huna mimi hapo nimeongelea utekaji na mauwaji wewe unaongelea biashara hizi ni akili za wapi.

Je, hayo ni mambo ya kufanya biashara?
 
Ndugu zangu waislam na wakristo

Watu wa mungu hawaogopi kufa wala kutekwa kwasababu ya kusimamia ukweli na hao ndio walio changia nchi kupata uhuru hapo awali.

Mungu ataki waoga anataka mashujaa wenye msimamo wa haki kwenye hali yoyote ile wakati huu nchi inapo pitia majaribu tunapaswa kusimama kidete..

Wanadamu waoga wanauaibisha mwili wa mungu waliopewa na ni wahaini dhidi ya serikali yake ya haki na takatifu.
Heri ya huyo kuliko wanaoteka na kuua wakidhani wanaweza kusimamisha muda. Hawa ni wabaya kuliko hata mavii.
 
Hivi kwani mkiandika maandiko yenu ni lazima mpka muite watu wa mungu asee nkionaga maandiko ha hivi nakosa interest kabsa, haya madini mnayoshikiloa ndyo yanawaponza zaidi, yatatumika kuwaunganisha watawala wakitaka na yatatumika kuwatenganisha vilevile wakijiskia watawala DINI ni KANSA kwa nchi masikini
 
Hivi kwani mkiandika maandiko yenu ni lazima mpka muite watu wa mungu asee nkionaga maandiko ha hivi nakosa interest kabsa, haya madini mnayoshikiloa ndyo yanawaponza zaidi, yatatumika kuwaunganisha watawala wakitaka na yatatumika kuwatenganisha vilevile wakijiskia watawala DINI ni KANSA kwa nchi masikini
Naunga mkono hoja
 
Kuliko kuwaza yanayoendelea humu nchini bora ufanye yako tu waweza lisha hata familia!, shida hata uwapigie kelele vipi hawa viongoz wetu wanakuwa kama wamezibwa masikio vile.
 
Ndugu zangu waislam na wakristo

Watu wa mungu hawaogopi kufa wala kutekwa kwasababu ya kusimamia ukweli na hao ndio walio changia nchi kupata uhuru hapo awali.

Mungu ataki waoga anataka mashujaa wenye msimamo wa haki kwenye hali yoyote ile wakati huu nchi inapo pitia majaribu tunapaswa kusimama kidete..

Wanadamu waoga wanauaibisha mwili wa mungu waliopewa na ni wahaini dhidi ya serikali yake ya haki na takatifu.
Wewe usieogopa kufa endelea, sisi tuache hapa hapa.
Ushujaa wa kingese peleka kwa familia ya nyumbu.

KWENYE DUNIA HII UKICHOKONOA MASLAHI/ ULAJI WA WATU TEGEMEA MABAYA YAKUPATE.
KUTEKWA, KUFI...., KUFA YOTE NI STAHIKI YAKO.
HAPA DUNIANI TAFUTA AMANI.
KUPATA HAKI NI KWA MOLA TU.
 
Back
Top Bottom