Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,077
- 4,523
Aisee wanajamvi nashindwa kuelewa kama ni upendo pekee au kuna kichochezi..
Huyu mwanamke Mama watoto wangu kila kitu anachotaka kutoka kwangu ninampatia kwa gharama yoyote ile.
Akinikwaza kidogo tu nikimwambia akijibu tu ninatulia, kila akisema jambo namsikiliza.
Yaani napoteza sauti yangu taratibu juu yake. Ndugu zangu hebu niambieni mtu aliyepewa limbwata anakuwaje?
Huyu mwanamke Mama watoto wangu kila kitu anachotaka kutoka kwangu ninampatia kwa gharama yoyote ile.
Akinikwaza kidogo tu nikimwambia akijibu tu ninatulia, kila akisema jambo namsikiliza.
Yaani napoteza sauti yangu taratibu juu yake. Ndugu zangu hebu niambieni mtu aliyepewa limbwata anakuwaje?